Duh! Mwigulu ingawa sikufahamu lakini chadema umewaweza. Maana yake hawapati usingizi kwa sababu yako, na wakifanikiwa kusinzia tuu wanaota jinamizi la mwigulu linawakaba.
Mwigulu bila kutamka CDM angalau mara tatu kwa siku kama panadol 2x3x7 anakuwa mgonjwa mahututi
Tukiwa kama wana Iramba eneo la Urafiki Club, Ukumbi wa Nyangumi leo jioni 03/08/2013. Bwana Mwigulu Nchemba amewaonya wana Iramba Kuishabikia CHADEMA akisema kwamba, yeyote atakayeshabikia CHADEMA atakuwa anajitenga na maendeleo, na yatakayompata asimlaumu yeyote wala kuiomba serkilali msaada wa aina yeyote, kwa sababu wameonywa mapema lakini waka kaidi.Alisisitiza kwamba CHADEMA ni chama Cha Kighaidi. Rafiki yao Zitto Ameshindwa itakuwa wao !
Mwigulu Aliendelea kusema kwamba Iramba imebarikiwa kupata kiongozi wa ngazi ya juu kwenye chama tawala, kwa hiyo kero zao zote zitasikizwa. Zaidi ya wadau wachache, Kikao kiliudhuriwa na Mkuu wa wilaya ya Iramba Ndugu Yahya Nawanda, pamoja na Ndugu Kilimba ambaye amewahi kuwa mbunge wa Iramba Magharibi 2005-2010
![]()
Kushoto ni Mh.Mkuu wa wilaya ya Iramba Ndugu Yahya Nawanda,Mwigulu na ,Kulia ni Ndugu Kilimba
CHADEMA ikichukua Nchi natamani nipate nafasi katika Wizara ya Mambo ya Ndani na ninawaahidi wanaCHADEMA kwamba sitawaangusha,Kati ya watu nitakaodili nao wa kwanza kabisa lazima awe Mwigulu atakwenda Segerea bila kupitia Mahakamani wakati huo uko Segerea nitakuwa nimemtayarishia mtu maalum (Mnyapara) wa kumshughurikia ili hatimaye auone ukweli kuwa kumbe Duniani kuna Madume na vijidume.Akishawekwa sawa kule baadaye namtoa.Akili yake itakaa sawa baada ya hapo.
Mbona vitisho lakini? Halafu huyu si amekataliwa kuingilia kazi za polisi? Eti baya likiwakuta wasiombe msaada serikalini...ni baya lipi alikuwa ana maanisha
tupia picha,hapo uko ki-analojia zaidi maana naona wau watatu tu ambao wako high table na ndio waalikaji. Ukumbini mbona hakuna picha inayoonyesha waliohudhuria.Si mlileta usi kuwa watu hawakuudhuri? Alihutubia viti?
Ulikuwa mshenga kwenye harusi yake au matron mbona unaleta maswala binafsi.mwigulu analeta ubabe kwenye mapenzi binafsi..
basi hata mkwe alimuoa kwa kumlazimisha..
Daima waliopotea hujifanya kama hawaoni kiza wanachokiendea.hakika CDM ni kama dozi ya dawa anayotumia lazima inywe
Ulikuwa mshenga kwenye harusi yake au matron mbona unaleta maswala binafsi.
Mwigulu bila kutamka CDM angalau mara tatu kwa siku kama panadol 2x3x7 anakuwa mgonjwa mahututi