Mwigulu Awaonya Wanaoshabikia CHADEMA Iramba

Mwigulu Awaonya Wanaoshabikia CHADEMA Iramba

Huyu mtu anayeitwa Mwigulu atakuwa anaugua pepopunda. Yeye kule Arusha alikuwa anakwenda kufanya nini? Huyu jamaa anajitia mbabe wakati hana lolote, mavi ya fisi tu! Kama yeye mbabe sana atangaze kumi na Matumla, manake hata kina Matumla na ubabe wao kwenye ndondi hawajafikia huku.

Kama hauwezi kujenga hoja, kaa pembeni, hizi ni siasa, na katika siasa hizi tunataka kupata watu bora wanaoweza kutransform our societies kuwa better. Huu siyo wakati wakutisha watu wazima kama watoto wako nyumbani, ------- wewe!!!

Wewe Mwigulu kama unajifanya mjanja na usalama wako wataifa, kaa ukijua kwamba ukijifanya kuatarisha maisha ya watu na wewe utashughulikiwa tu, hautabaki, tutakusaka hatakama utakuwa umeshakufa! Hauna adabu kabisa!!

haaaaaaaaaaaa kwaiyo mkuu huyu bwana mwigulu ana [pepo punda?] haaaaaaaaaaaaa,
 
jamani siasa ni karama lakini kwa huyu bwana mdogo nchemba, hafai kuwa mwana siasa karama yake ni kuwa kiranja wa jeshi la mgambotu,
 
Mwigulu amezidiwa sana mwisho sasa ameanza kupaniki! Na kadri anavyopiga kelele ndo nguvu ya chadema inavyoongezeka na kibaya zaidi wenzake kama akina Nape wamemtupa kabisa, so the man is frustruated!
 
Siku zote DEBE tupu haliwachi makelele na Mwingulu ni DEBE tupu. Ajuwe tu vitisho havisaidii maana CCM mwisho wake 2014 na kuzikwa 2015
 
kama akitokea mtu wa Iramba akampigia kura 2013 basi tutajua kuwa Wanyiramba wamekwisha. Ameonyesha wazi kwamba hakuna tena mwenye uwezo wowote kule bila yeye. Hivi hii ni kweli?
 
Mwigulu amezidiwa sana
mwisho sasa ameanza kupaniki! Na kadri anavyopiga kelele ndo nguvu ya
chadema inavyoongezeka na kibaya zaidi wenzake kama akina Nape wamemtupa
kabisa, so the man is frustruated!

Mwigulu anajua kabisa upepo wa siasa umekaaje Iramba! Lazma ang'oke kura za wapambe wake na wazee waganga njaa ni kidogo sana, Sisi ndo wenye Iramba bwana.
 
Duh! jamaa ameamua kunyoa sasa, alisoma alama za nyakati kuwa watu wangemkimbia kwao. hata hivyo mahudhurio mabovu ni kumuogopa huyo savimbi, yeye mwanzoni alidhani ni sifa. akome.

Tukiwa kama wana Iramba eneo la Urafiki Club, Ukumbi wa Nyangumi leo jioni 03/08/2013. Bwana Mwigulu Nchemba amewaonya wana Iramba Kuishabikia CHADEMA akisema kwamba, yeyote atakayeshabikia CHADEMA atakuwa anajitenga na maendeleo, na yatakayompata asimlaumu yeyote wala kuiomba serkilali msaada wa aina yeyote, kwa sababu wameonywa mapema lakini waka kaidi.Alisisitiza kwamba CHADEMA ni chama Cha Kighaidi. Rafiki yao Zitto Ameshindwa itakuwa wao !

Mwigulu Aliendelea kusema kwamba Iramba imebarikiwa kupata kiongozi wa ngazi ya juu kwenye chama tawala, kwa hiyo kero zao zote zitasikizwa. Zaidi ya wadau wachache, Kikao kiliudhuriwa na Mkuu wa wilaya ya Iramba Ndugu Yahya Nawanda, pamoja na Ndugu Kilimba ambaye amewahi kuwa mbunge wa Iramba Magharibi 2005-2010
1006039_520227701364392_1927460830_n.jpg

Kushoto ni Mh.Mkuu wa wilaya ya Iramba Ndugu Yahya Nawanda,Mwigulu na ,Kulia ni Ndugu Kilimba
 
CHADEMA ikichukua Nchi natamani nipate nafasi katika Wizara ya Mambo ya Ndani na ninawaahidi wanaCHADEMA kwamba sitawaangusha,Kati ya watu nitakaodili nao wa kwanza kabisa lazima awe Mwigulu atakwenda Segerea bila kupitia Mahakamani wakati huo uko Segerea nitakuwa nimemtayarishia mtu maalum (Mnyapara) wa kumshughurikia ili hatimaye auone ukweli kuwa kumbe Duniani kuna Madume na vijidume.Akishawekwa sawa kule baadaye namtoa.Akili yake itakaa sawa baada ya hapo.

Haswa maana Mwigulu hakuna mtu bali ni kivuli cha .......................
 
Kati yaa mambo ambayo Mwigulu anakosea ni kulazimisha watu waipende ccm na kuichukia cdm,kwa nn ni lazima kuwa mwana ccm? kwann unalazimisha kubaki ccm hata kama watu hawakipendi?
mwigulu kapewa madaraka makubwa na walio mpa hawakujua uwezo wake wa kutafakari, mwigulu ni mchanga sana kifikra na ndo mana hadi leo bado anawaza siasa za mabavu kasahau kwamba ulimwengu ulisha hama huko siku nyingi ,kifupi mwigulu ana siasa za kitoto sana, kimsingi ndani ya ccm namchukia sana huyu kijana.anakiharibu sana chama ,anasahahu kuwa kauli zake ndizo zinazo tumiwa na upinzani kuiangamiza CCM na walipo ndani ya chama hawalioni hilo.
 
Tehe! Tehe! Tehe! jamaa kanyoa ndevu kawa mzuri kama miss sijui anataka nn Chadema?
 
-Ha!ha! ha! ha! ha!....Super sana. mimi nawaombeni makamanda, siku mnashida dola, mumkamateni huyu supar mburulaz, mumtoe hadi pumbuu nikamslishe mbwa wangu. Manina zake
 
Tukiwa kama wana Iramba eneo la Urafiki Club, Ukumbi wa Nyangumi leo jioni 03/08/2013. Bwana Mwigulu Nchemba amewaonya wana Iramba Kuishabikia CHADEMA akisema kwamba, yeyote atakayeshabikia CHADEMA atakuwa anajitenga na maendeleo, na yatakayompata asimlaumu yeyote wala kuiomba serkilali msaada wa aina yeyote, kwa sababu wameonywa mapema lakini waka kaidi.Alisisitiza kwamba CHADEMA ni chama Cha Kighaidi. Rafiki yao Zitto Ameshindwa itakuwa wao !

Mwigulu Aliendelea kusema kwamba Iramba imebarikiwa kupata kiongozi wa ngazi ya juu kwenye chama tawala, kwa hiyo kero zao zote zitasikizwa. Zaidi ya wadau wachache, Kikao kiliudhuriwa na Mkuu wa wilaya ya Iramba Ndugu Yahya Nawanda, pamoja na Ndugu Kilimba ambaye amewahi kuwa mbunge wa Iramba Magharibi 2005-2010
1006039_520227701364392_1927460830_n.jpg

Kushoto ni Mh.Mkuu wa wilaya ya Iramba Ndugu Yahya Nawanda,Mwigulu na ,Kulia ni Ndugu Kilimba
anayoyasema Mwigulu hayana tofauti na yanayosemwa na Sheik Ponda,sasa kwa nini Ponda anasakwa wakati Mwigulu anaachiwa?
 
Tukiwa kama wana Iramba eneo la Urafiki Club, Ukumbi wa Nyangumi leo jioni 03/08/2013. Bwana Mwigulu Nchemba amewaonya wana Iramba Kuishabikia CHADEMA akisema kwamba, yeyote atakayeshabikia CHADEMA atakuwa anajitenga na maendeleo, na yatakayompata asimlaumu yeyote wala kuiomba serkilali msaada wa aina yeyote, kwa sababu wameonywa mapema lakini waka kaidi.Alisisitiza kwamba CHADEMA ni chama Cha Kighaidi. Rafiki yao Zitto Ameshindwa itakuwa wao !

Mwigulu Aliendelea kusema kwamba Iramba imebarikiwa kupata kiongozi wa ngazi ya juu kwenye chama tawala, kwa hiyo kero zao zote zitasikizwa. Zaidi ya wadau wachache, Kikao kiliudhuriwa na Mkuu wa wilaya ya Iramba Ndugu Yahya Nawanda, pamoja na Ndugu Kilimba ambaye amewahi kuwa mbunge wa Iramba Magharibi 2005-2010
1006039_520227701364392_1927460830_n.jpg

Kushoto ni Mh.Mkuu wa wilaya ya Iramba Ndugu Yahya Nawanda,Mwigulu na ,Kulia ni Ndugu Kilimba
siasa za Mwigulu ni za enzi ya simba na yanga ilipokuwa vigumu kumkuta mke yanga mme simba.tunachofanya chadema ni siasa za kileo zinazoruhusu mke kuwa yanga na mme kuwa simba tunawashukuru sana viongozi wa chadema kwa kuliwezesha hilo
 
Aache ujinga huyo..kwani kuwa CHADEMA unavunja sheria gani ya hii nchi? Huu ni ushenzi.
 
Wewe cdm ina nguvu kushinda jk unasema hilo chemba arusha alikiona cha moto siku zake zinaisha haati tena uingozi ccm waajifunza tkk wampe uongozj chaa inaporomoka tu
 
ndugu yangu huyu bwana amedhamiria kuwamaliza CDM si unakumbuka aliyoaidi arusha kuwa watu wasiudhurie mikutano ya CDM na kilichotokea Soweto kila mtu anajua.
Ushauri kwa makamanda wa Iramba ni MKIONA JAMAA AMEENDA CHINA KILA KAMANDA AKILI KUMKICHWA
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom