Mwigulu Awaonya Wanaoshabikia CHADEMA Iramba

Mwigulu Awaonya Wanaoshabikia CHADEMA Iramba

mimi ni mmoja ya watu wanaotilia shaka elimu na kiwango cha uelewa cha mwigulu nchemba,inaonekana jamaa "mweupe" kabisa yaani hajitambui hata kidogo.
 
Tukiwa kama wana Iramba eneo la Urafiki Club, Ukumbi wa Nyangumi leo jioni 03/08/2013. Bwana Mwigulu Nchemba amewaonya wana Iramba Kuishabikia CHADEMA akisema kwamba, yeyote atakayeshabikia CHADEMA atakuwa anajitenga na maendeleo, na yatakayompata asimlaumu yeyote wala kuiomba serkilali msaada wa aina yeyote, kwa sababu wameonywa mapema lakini waka kaidi.Alisisitiza kwamba CHADEMA ni chama Cha Kighaidi. Rafiki yao Zitto Ameshindwa itakuwa wao !

Mwigulu Aliendelea kusema kwamba Iramba imebarikiwa kupata kiongozi wa ngazi ya juu kwenye chama tawala, kwa hiyo kero zao zote zitasikizwa. Zaidi ya wadau wachache, Kikao kiliudhuriwa na Mkuu wa wilaya ya Iramba Ndugu Yahya Nawanda, pamoja na Ndugu Kilimba ambaye amewahi kuwa mbunge wa Iramba Magharibi 2005-2010
1006039_520227701364392_1927460830_n.jpg

Kushoto ni Mh.Mkuu wa wilaya ya Iramba Ndugu Yahya Nawanda,Mwigulu na ,Kulia ni Ndugu Kilimba
Naomma nwaulize CCM swali hili: hivi kweli hakuna kiongozi au mtu ndani ya chama hiki kikongwe hapa nchini ambaye anaweza kusimama na kumkemea huyu nchemba Mwigulu asiendelee na huu upuuzi wake jamani? Viongozi na wanachama wa CCM mnamkumbatia mwigulu kwa matendo yake haya hambayo yanahatarisha amani ya nchi na nyie mnaendelea kumchekea tu? Nawambien kuwa ipo siku mtakuja kujutia huu ukimya wenu. waswahli wanasema ''ukcheka na nyani utavuna mabua'' Vyombo vya usalama mko wapi?mmeamua kumuacha huyu jama aendelee kuchochea uvunjifu wa amani ya nchi yetu.amin nawamieni mnafanya kosa ambalo litalighalimu taifa.vyombo vya usalama ni wajibu wenu kuhakikisha usalama wa raia unalindwa kwa gharama yoyote ile.haiwezekan mtu anwatisha watu hadharani,tena mbele ya viongozi kama mkuu wa wilaya ambaye ndiye mwenyekiti wa kamati ya ulinzi na usalama wa eneo hilo halafu vyombo vya usalama hamchukui hatua stahiki!sisi tusio navyama vya kisiasa tunaona kuwa mwgulu nchemba anaenda mbali zaidi ya siasa.tunaomba hatua stahiki zichukuliwe kwa yeyote anayehatarisha na kuleta hofu ndani ya nchi eti kwasababu yeye ni kiongozi mkuu katiaka chama.
 
Tukiwa kama wana Iramba eneo la Urafiki Club, Ukumbi wa Nyangumi leo jioni 03/08/2013. Bwana Mwigulu Nchemba amewaonya wana Iramba Kuishabikia CHADEMA akisema kwamba, yeyote atakayeshabikia CHADEMA atakuwa anajitenga na maendeleo, na yatakayompata asimlaumu yeyote wala kuiomba serkilali msaada wa aina yeyote, kwa sababu wameonywa mapema lakini waka kaidi.Alisisitiza kwamba CHADEMA ni chama Cha Kighaidi. Rafiki yao Zitto Ameshindwa itakuwa wao !

Mwigulu Aliendelea kusema kwamba Iramba imebarikiwa kupata kiongozi wa ngazi ya juu kwenye chama tawala, kwa hiyo kero zao zote zitasikizwa. Zaidi ya wadau wachache, Kikao kiliudhuriwa na Mkuu wa wilaya ya Iramba Ndugu Yahya Nawanda, pamoja na Ndugu Kilimba ambaye amewahi kuwa mbunge wa Iramba Magharibi 2005-2010
1006039_520227701364392_1927460830_n.jpg

Kushoto ni Mh.Mkuu wa wilaya ya Iramba Ndugu Yahya Nawanda,Mwigulu na ,Kulia ni Ndugu Kilimba

wana ccm wanafanya makosa makubwa kuwalazimisha watanzania kuipenda ccm ilihali wanasahau watu wengi hawampendi Mungu aliyewaumba na kuwapa uhai hadi leo

pia haiwezekani watu wote tukaipenda CDM au chama chochote cha siasa.

hadi dunia itaisha kuna watu hawatajiunga na chama chochote cha siasa bali watakuwa wapiga kura wazuri wa kuamua mustakabali wa nchi zao. hii ni sawa na swing states the marekani ambazo huangalia nani amewashawishi na kumwamini bila shaka kuwa atawaletea maendeleo na usalama wa maisha yao, ndiye ambaye humchagua. hii hata kwetu ndivyo itakavyoendelea kudumu, itafikia mikoa fulani haitakuwa na chama kabisa
 
Chadema ikishutumiwa ghafla utona kwny uzi.....majibu ya Dr.Slaa.ila madongo kwa Chama cha Madawa ya kulevya huwa hayajibiwi.huwezi kukuta.,.. majibu ya Dr.Kikwete
 
asante mungu kwa kumpeka huyu mjinga(nwigulu) ccm kwa sababu ana akili anaonekana atahiyo degree alinunua coz alisha zoea rushwa
 
hivi kunakutishana mpaka dunia ya leo? mwigulu kafie mbali.....hivi hata mkeo anajua ana mume au tangazo.....
 
Chadema ikishutumiwa ghafla utona kwny uzi.....majibu ya Dr.Slaa.ila madongo kwa Chama cha Madawa ya kulevya huwa hayajibiwi.huwezi kukuta.,.. majibu ya Dr.Kikwete


Tatizo vingozi wote wa CCM wamezungukwa na Ufisadi, Biashara ya madawa ya kulevya, wizi na uharifu wa kila aina kama matundu ya chujio la nazi. Nani atamfunga Paka kengere?
 
Hata heshima yake na mvuto kwa jamii. Vimepotea kabisa zaidi sana watu wananwogopa hakuna mkakati wake hata mmoja ulofaulu awe kama kinana mangula cdm hata waweza yeye afanye na atimize wajibu wake kwa wananchi
 
CHADEMA, mfungulieni mashataka huyu mtu. Mnavyomlea anazidi kujihalalishia tabia chiafu na zisizofaa duniani. Pale atakaposhindwa kuthibitisha maneno yake kwamba CDM ni chama cha kigaidi, ndipo itakuwa mwisho wa ujinga wake. Hawezi kuwa anatamba kwa kuwasingizia kashfa za namna hiyo haelafu mnamwanch. Pia mfahamu kwamba watu wenye uelewa tu ndio watakaojua jamaa mwehu. Lakini kumbukeni cccm imwekeza zaidi katika mtaji wake wa ujinga na umaskini kwa watz waliowengi. Msishangae wajinga hao ambao ndio wengi wakawa wanaguswa na maneno ya huyu mwehu.
 
Mwigulu anaumwa akili, sio mzima huyu ni mwendawazimu.
 
kwa mantiki hii nchemba anatuambia wale wabunge wasoi na vyeo ndani ya chama na serikali hawajaliwi na hata kusikilizwa juu ya kero za majimbo yao
 
Mwigulu ni kirusi kikuu cha magamba. Anaimaliza magamba. ..
 
mwigulu kapewa madaraka makubwa na walio mpa hawakujua uwezo wake wa kutafakari, mwigulu ni mchanga sana kifikra na ndo mana hadi leo bado anawaza siasa za mabavu kasahau kwamba ulimwengu ulisha hama huko siku nyingi ,kifupi mwigulu ana siasa za kitoto sana, kimsingi ndani ya ccm namchukia sana huyu kijana.anakiharibu sana chama ,anasahahu kuwa kauli zake ndizo zinazo tumiwa na upinzani kuiangamiza CCM na walipo ndani ya chama hawalioni hilo.



Ndugu, wanamuona na ndio msafi wa kutetea chama, wengine wamechoka e.g Pinda
 
-Dawa ya mwigulu ni kutolewa p-umbu ndo atashika adabu.........Oneni vituka anayomfanyia Nape?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom