Mwigulu alitumia robot kuandika nchi nzima?

Mwigulu alitumia robot kuandika nchi nzima?

Wana jamvi poleni na misuko suko ya kujitafutia ridhiki huku tukiwa ktk tahadhali kubwa ya janga la corona.

Nauliza hivi ni kwa kasi ya aina gani Mwigulu aliweza kuandika na kubandika maneno ya kujipigia kampeini nchi mzima tena ktk sehemu nyingine za kutisha kama hizo hapo chini?

Au alitumia robot? Tafadhali mwenye kujua hilo atifahamishe. View attachment 1420220

In God we Trust
Hayo ni masharti aliyopewa mficha taarifa za corona

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wana jamvi poleni na misuko suko ya kujitafutia ridhiki huku tukiwa ktk tahadhali kubwa ya janga la corona.

Nauliza hivi ni kwa kasi ya aina gani Mwigulu aliweza kuandika na kubandika maneno ya kujipigia kampeini nchi mzima tena ktk sehemu nyingine za kutisha kama hizo hapo chini?

Au alitumia robot? Tafadhali mwenye kujua hilo atifahamishe. View attachment 1420220

In God we Trust
Unaambiwa alitumia Tsh 150 milioni kujiandika kwenye mawe
 
Kamuulize yule kikongwe wenu
Hata Mzee Lowassa alitumia umafia kuwa Mgombea Urais kupitia Chadema na hakuupata kwasababu Urais unatoka kwa Mungu. Bishia hili.

In God we Trust
 
Anachafua mawe na miamba yetu makusudi wakati ndiyo kivutio cha watalii

In God we Trust
Hiyu ukitaka ayafute ni kumuagiza kwamba sasa hivi kila mwezi atakuwa analipia kwa mwezi kwenye kila jiwe lililochorwa jina lake.
 
Back
Top Bottom