Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 123,252
- 98,255
Wana jamvi poleni na misuko suko ya kujitafutia ridhiki huku tukiwa ktk tahadhali kubwa ya janga la corona.
Nauliza hivi ni kwa kasi ya aina gani Mwigulu aliweza kuandika na kubandika maneno ya kujipigia kampeini nchi mzima tena ktk sehemu nyingine za kutisha kama hizo hapo chini?
Au alitumia robot? Tafadhali mwenye kujua hilo atufahamishe.
In God we Trust
Nauliza hivi ni kwa kasi ya aina gani Mwigulu aliweza kuandika na kubandika maneno ya kujipigia kampeini nchi mzima tena ktk sehemu nyingine za kutisha kama hizo hapo chini?
Au alitumia robot? Tafadhali mwenye kujua hilo atufahamishe.
In God we Trust