Mwigulu alitumia robot kuandika nchi nzima?

Mwigulu alitumia robot kuandika nchi nzima?

Iyo ni Singida tu alitumia walevi na wavuta bangi na ugoro ndio walikua wapiga kura wake

#Stayhome safe COVID-19 is everywhere
Ilikuwa nchi nzima. Mpaka kwenye miundombinu kama vile madaraja. Nadhani mbinu hiyo ilimdisqualify zaidi kwani ustaarabu ulionekana 'efu'.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
huyu mwigulu madelu nahisi kuna kitu kati yake na jiwe maana jiwe hataki kumsamehe kabisa

Jiwe hataki kukaa karibu ya mtu ambae anaweza kuwa challenge kwake!!!! Ndio maana amewacastrate wale wote wanaume alioshindana nao kupata nomination 2015 { Membe na January} ili wasiwe na ndoto hizo tena.!!!!
 
Hiyu ukitaka ayafute ni kumuagiza kwamba sasa hivi kila mwezi atakuwa analipia kwa mwezi kwenye kila jiwe lililochorwa jina lake.
Chanzo kingine cha mapato

In God we Trust
 
Daa nimecheka kifara sana, eti hayajapona!!
mmh huyu rais wa mawe kweli!!
ila nina wasiwasi aliwatumia maaskari trafiki make ukienda karb na sehem wanazojibanza mbele au nyuma yake kdogo ndo unayakuta!!
Yaani kote. Mwanzoni nilifikiri ni utani au watu wanamsingizia, lakini nimejionea mwenyewe mpaka Mtwara. Sio mawe tu hata yale madaraja makubwa nayo hayajapona.

When your toddler was learning to walk, you’d encourage her to get back up after she fell down,Parents should practice that approach as their children get older.
 
Wana jamvi poleni na misuko suko ya kujitafutia ridhiki huku tukiwa ktk tahadhali kubwa ya janga la corona.

Nauliza hivi ni kwa kasi ya aina gani Mwigulu aliweza kuandika na kubandika maneno ya kujipigia kampeini nchi mzima tena ktk sehemu nyingine za kutisha kama hizo hapo chini?

Au alitumia robot? Tafadhali mwenye kujua hilo atifahamishe. View attachment 1420220

In God we Trust
Kuna kichaa mmoja yupo pale Mafinga alimtumia
 
Wewe hujatembea nenda Mwanza, Mara, Bukoba, Dodoma, Arusha, Manyara n.k kote nimeyaona
mkuu umenipa burudani! vipi ulikuwa na private car unazunguka nchi nzima kukagua mawe ya mshkaji? hukuwa na kazi ya kufanya au sijakuelewa? au ulipata funding ya Tanroad?
 
Back
Top Bottom