Mwigulu alitumia robot kuandika nchi nzima?

Mwigulu alitumia robot kuandika nchi nzima?

Nimewahi kuona hilo chata pale bagamoyo kiwangwa [emoji1787][emoji1787] na mahali Fulani hivi Tanga pana daraja reli inapita juu chini Barabara

Jamaa ana wazimu sana kachafua nchi nzima hayo maandishi[emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Alijua mawe yanapiga kura,nilikuwa namkubali sana ila kwa lengo lake la kutokuwa transparent katika Covid,simkubali tena.
Mi tangu aongoze movie haeamu ya ugaidi na akaapa kuwa na ushahidi hata mbinguni ili tu apate madaraka ndipo nilipoiona hatari ya mwigulu kua huyu ni mchawi mshirikina na Hana akili kabisa ni wa kupuuzwa.......
Nilifurahi sn staili iliyotunika kumtumbua😀😀........alitumbuliwa akiwa anafanya mkutano wa hadhara.......
Ila alitumia pesa nyingi sana kwenye harakati zake za urais lkn sasa Hana sifa hata ya kupata ubunge sn
 
Ananikumbusha enzi hizo diwani baba Revo kabla hajatoka aliwahi kuandika karibia nyumba zote za kigoma mjini jina lake kwa chaki na mkaa kwa mwandiko unaofanana..

Alikua anajiita jina flani nimelisahau lina herufi tatu linaanza na D
 
Wana ccm wana vituko
Ananikumbusha enzi hizo diwani baba Revo kabla hajatoka aliwahi kuandika karibia nyumba zote za kigoma mjini jina lake kwa chaki na mkaa kwa mwandiko unaofanana..

Alikua anajiita jina flani nimelisahau lina herufi tatu linaanza na D

In God we Trust
 
Back
Top Bottom