Mwigulu alitumia robot kuandika nchi nzima?

Mwigulu alitumia robot kuandika nchi nzima?

Haya mawe yapo kandokando ya barabara unapoelekea Singida toka Dodoma......

Ni kweli ila jamaa anasubiri kuapishwa kuwa Mkuu wa Wilaya ya Iramba....2020.......hii ndiyo CCM Mpya!! chuo cha mafunzo.
 
Alidhani mawe y
Wana jamvi poleni na misuko suko ya kujitafutia ridhiki huku tukiwa ktk tahadhali kubwa ya janga la corona.

Nauliza hivi ni kwa kasi ya aina gani Mwigulu aliweza kuandika na kubandika maneno ya kujipigia kampeini nchi mzima tena ktk sehemu nyingine za kutisha kama hizo hapo chini?

Au alitumia robot? Tafadhali mwenye kujua hilo atifahamishe. View attachment 1420220

In God we Trust
Alidhani wanao ingia kwenye kamati ya uteuzi ni mawe.
 
Mwigulu ametoa Mamilioni kuandika jina lake kwenye mawe wakati huko Iramba watu wanakunywa tope
 
Wana jamvi poleni na misuko suko ya kujitafutia ridhiki huku tukiwa ktk tahadhali kubwa ya janga la corona.

Nauliza hivi ni kwa kasi ya aina gani Mwigulu aliweza kuandika na kubandika maneno ya kujipigia kampeini nchi mzima tena ktk sehemu nyingine za kutisha kama hizo hapo chini?

Au alitumia robot? Tafadhali mwenye kujua hilo atifahamishe. View attachment 1420220

In God we Trust
Huyu Mwigulu ni Mungu ametuepusha tu. Kwa baadhi ya matukio niliyowahi kuyaona akiwa na madaraka kama Naibu Katibu Mkuu BARA CCM na Waziri wa Mambo ya Ndani, naamini Mwigulu angepata U-Rais angekuwa mbaya kuliko Jiwe na BASHITE. Haya mauaji aliyaanza yeye, kumbukeni bomu la Kaloleni na Mbauda Arusha. Au vile vifo vya kwenye viroba
 
Ahaaaaa Ahaaaaa yaani rais wa mawe na miamba na madaraja!

In God we Trust
90553399_818643631957722_4883443227903918080_n.jpg
Ndo maana Magu hataki kumsamehe mwigulu,mzee anakosa jiwe la kulalia kila mahali pameandikwa Mwigulu
 
Back
Top Bottom