Mwigulu ni mwandani sana wa bi tozo, hagusikiTaarifa tulizonazo zinaonyesha kwamba mipango yote ya kumuondosha Mwigulu kwenye Wizara ya fedha imekamilika , Bali haijafahamika hasa sababu ya njama hizo na wala bado hajafahamika aliyezipanga , bali inafahamika kwamba zinaungwa mkono na ofisi ya Bunge .
Kuna tetesi kwamba Sababu kubwa ya jambo hili la siri inatajwa kuwa ni Urais wa 2025 .
Tutaendelea kuwaletea Taarifa zaidi kwa kadri tunavyozipata hasa baada ya Mwigulu kung'olewa rasmi siku chache zijazo .
Usiondoke JF
Hata bila urais lakini Mwigulu ni hewa, hafai hata kua mbungeTaarifa tulizonazo zinaonyesha kwamba mipango yote ya kumuondosha Mwigulu kwenye Wizara ya fedha imekamilika , Bali haijafahamika hasa sababu ya njama hizo na wala bado hajafahamika aliyezipanga , bali inafahamika kwamba zinaungwa mkono na ofisi ya Bunge .
Kuna tetesi kwamba Sababu kubwa ya jambo hili la siri inatajwa kuwa ni Urais wa 2025 .
Tutaendelea kuwaletea Taarifa zaidi kwa kadri tunavyozipata hasa baada ya Mwigulu kung'olewa rasmi siku chache zijazo .
Usiondoke JF
Naomba kukuuliza, ktk awamu ya 6 ulishawahi kusikia Waziri ametumbuliwa kisa Upigaji???Mzaha mzaha mwisho utunga usaha.
Kama ni kweli bunge litakuwa seriously safari hii namuona Mwigulu akirudi jimboni mapema.
Wabunge wengi waliochangia ripoti ya CAG wameelekeza lawama zote kwa waziri wa fedha wakisema kuwa yeye ndiye mlipaji mkuu wa serikali.
Sasa sijui kama huu moto ulioanza kukolea pale mjengoni kutamuwacha salama kaka yetu Maderu.View attachment 2578425
Story zake hazijawahi kubalance hata siku moja. Huwa nasoma kwa bahati mbaya. Sijui ni hizo biasharaDuh...!.
P
Full drama zinaendelea BungeniSukuma gang kazini
CCM kwenye ripoti ya CAG imenunua vyuma chakavu vya milion zaidi ya 59 za HAZINA.Nikisikia neno ccm huwa nahisi maumivu makali sana moyoni
Hakuna mkate mgumu mbele ya chai. Kama mwenyekiti na kamanda mkuu siku hizi na yeye anamsifia mtawala aliyeko madarakani, baada ya kulambishwa asali! Yeye ni nani mpaka akikwepe hicho kijiko kitamu cha asali?Duh, nawewe umekula mlungula mzee..
Mwigulu akiondoka au akibaki nini kinabadilika?
We are the worst generation ever...
Awachinje tu maana naona wameanza hata kukaribia sana sahani ya mkubwa waoGame of musical chairs!
Sultani amchinje mbuzi
Mbuzi ayanywe maji
Maji yauzime moto
Moto uichome fimbo
Fimbo imchape mbwa
Mbwa amuume Kalumekenge
Kalumekenge aende shule.
Mama hawa mbuzi uliwaruhusu kula kwa urefu wa kamba zao lakini ulipaswa kuwafungia kamba fupi.
Sasa itabidi uwachinje.