Mere guessingTaarifa tulizonazo zinaonyesha kwamba mipango yote ya kumuondosha Mwigulu kwenye Wizara ya fedha imekamilika , Bali haijafahamika hasa sababu ya njama hizo na wala bado hajafahamika aliyezipanga , bali inafahamika kwamba zinaungwa mkono na ofisi ya Bunge .
Kuna tetesi kwamba Sababu kubwa ya jambo hili la siri inatajwa kuwa ni Urais wa 2025 .
Tutaendelea kuwaletea Taarifa zaidi kwa kadri tunavyozipata hasa baada ya Mwigulu kung'olewa rasmi siku chache zijazo .
Usiondoke JF
Hata mbuyu ulianza kama mchicha
2025 is reserved for mwenyeki, mtu yeyote ambaye yuko serious na political ambitions zake hawezi kucheza kamari ya kumjaribu mwenyekiti 2025. Atangoja 2030.kwanini siyo 2025 ?
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]Mwigulu amesimamia uchumi vizuri wakati wa vita ya Ukraine.
Siyo NJAMA ni MpangoTaarifa tulizonazo zinaonyesha kwamba mipango yote ya kumuondosha Mwigulu kwenye Wizara ya fedha imekamilika , Bali haijafahamika hasa sababu ya njama hizo na wala bado hajafahamika aliyezipanga , bali inafahamika kwamba zinaungwa mkono na ofisi ya Bunge .
Kuna tetesi kwamba Sababu kubwa ya jambo hili la siri inatajwa kuwa ni Urais wa 2025 .
Tutaendelea kuwaletea Taarifa zaidi kwa kadri tunavyozipata hasa baada ya Mwigulu kung'olewa rasmi siku chache zijazo .
Usiondoke JF
Scarf ya kijani ni ishara ya Uizi, Uizi na upofuNdiyo maana wapo tayari kumpigia magoti kiongozi wao wa chama ilimradi wapate teuzi
Kwamba Over invoicing kuhusu ndege haimo kwenye Ripoti ya cag bt mkubwa kaisema kimkakati kimtego?Taarifa tulizonazo zinaonyesha kwamba mipango yote ya kumuondosha Mwigulu kwenye Wizara ya fedha imekamilika , Bali haijafahamika hasa sababu ya njama hizo na wala bado hajafahamika aliyezipanga , bali inafahamika kwamba zinaungwa mkono na ofisi ya Bunge .
Kuna tetesi kwamba Sababu kubwa ya jambo hili la siri inatajwa kuwa ni Urais wa 2025 .
Tutaendelea kuwaletea Taarifa zaidi kwa kadri tunavyozipata hasa baada ya Mwigulu kung'olewa rasmi siku chache zijazo .
Usiondoke JF
Na hiyo ndiyo 'spidi gavana'!Fomu inatolewa moja tu kama 2020, huo ni utamaduni.
Chawa tafuta kaziMwigulu ni Waziri smart kuliko Mawaziri wote
"Lazima hali ya aina hii itokee ili pumba zikae pembeni na twende sawa "Hii ni vita ya aina yake.