Mwigulu akaliwa kooni Ufisadi

Mwigulu akaliwa kooni Ufisadi

Taarifa tulizonazo zinaonyesha kwamba mipango yote ya kumuondosha Mwigulu kwenye Wizara ya fedha imekamilika , Bali haijafahamika hasa sababu ya njama hizo na wala bado hajafahamika aliyezipanga , bali inafahamika kwamba zinaungwa mkono na ofisi ya Bunge .

Kuna tetesi kwamba Sababu kubwa ya jambo hili la siri inatajwa kuwa ni Urais wa 2025 .

Tutaendelea kuwaletea Taarifa zaidi kwa kadri tunavyozipata hasa baada ya Mwigulu kung'olewa rasmi siku chache zijazo .

Usiondoke JF
Kama kuna watu wana njama za 2025, mbona wakati wenyewe ndio huu sasa!

Hao akina Mwigulu na wengine wote kama wapo, wenye kutafuta huo urais, kuwaondoa wakati huu kwenye nafasi wanazoshikilia ni kama kuwapa fursa nzuri ya kuutafuta urais bila ya mizengwe ya uwaziri.

Lakini ninajiuliza sana kuhusu hawa watu wengi wanaoigiza siku hizi.
Nikimkumbuka Profesa wa Jalalani alivyokuwa akivimba na "uzalendo" nyakati zile, ungedhani wakati huu ndiyo angekuwa moto kwelikweli kuuonyesha 'uzalendo' wake watu wauone, lakini wapi!

Watu wote ndani ya CCM nikama wategemea fadhira tu, hakuna hata mmoja mwenye ubavu wa kusema anaweza kusimamama na watu wampime.

Wote, hata akina Magufuli, walikuwa wa aina hiyo hiyo, hadi walipobahatisha tu kuopolewa ndipo wakawa moto unaounguza hovyo kila sehemu.
 
Taarifa tulizonazo zinaonyesha kwamba mipango yote ya kumuondosha Mwigulu kwenye Wizara ya fedha imekamilika , Bali haijafahamika hasa sababu ya njama hizo na wala bado hajafahamika aliyezipanga , bali inafahamika kwamba zinaungwa mkono na ofisi ya Bunge .

Kuna tetesi kwamba Sababu kubwa ya jambo hili la siri inatajwa kuwa ni Urais wa 2025 .

Tutaendelea kuwaletea Taarifa zaidi kwa kadri tunavyozipata hasa baada ya Mwigulu kung'olewa rasmi siku chache zijazo .

Usiondoke JF
[emoji3][emoji2][emoji39][emoji14]
IMG-20191216-WA0001.jpg
FB_IMG_1570958487510.jpg


Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
 
Taarifa tulizonazo zinaonyesha kwamba mipango yote ya kumuondosha Mwigulu kwenye Wizara ya fedha imekamilika , Bali haijafahamika hasa sababu ya njama hizo na wala bado hajafahamika aliyezipanga , bali inafahamika kwamba zinaungwa mkono na ofisi ya Bunge .

Kuna tetesi kwamba Sababu kubwa ya jambo hili la siri inatajwa kuwa ni Urais wa 2025 .

Tutaendelea kuwaletea Taarifa zaidi kwa kadri tunavyozipata hasa baada ya Mwigulu kung'olewa rasmi siku chache zijazo .

Usiondoke JF
Acha ndoto
 
Na we ushapenyezewa ushakua chawa!!!!

Chadema ilikua na vijana wenye akili ila tulishasema njaa ikizidi akili inapotea kabisa, tumbo ndo kiungo kinachomponza Sana binadamu ikifatiwa na sehemu za Siri

Mwigulu tozo huyu alituambia tuhamie Burundi Leo hii mnamkingia kifua???
 
Hizo "njama" kama kweli zipo, sababu haiwezi kuwa Urais ulioandika, sababu itakuwa kile kilichotokea jana bungeni nakushangaa sijui kwanini umeficha..

Mwigulu akiondolewa kwa kusema ule ukweli atakuwa ameonewa.
 
Kwa nijuavyo mimi Wizara ya mihela ndiyo yenye jukumu la kuhakiki malipo "controversial" kama yale aliyokuwa akilalamikia Bi Mdashi. In fact, kwa lugha ya kimantiki, bwana madelu ndiye aliyekuwa anaambiwa kwanini hakuona shida ya overpriced invoice na kushauri options badala yake akasema "hiyo ndo invoice hivyo tulipe tu". Kwa msingi huo, bwana madelu huenda ndiye aliyeambiwa apishe. Namkubali sana Madelu kwenye nafasi hiyo ila kama alienda kuomba idhini ya overpriced invoice tajwa, asepe tu. Hatufai. Ana haraka sana ya mafanikio yake binafsi. Tutapata mwingine better kuliko yeye na maisha yatasonga.
 
Na we ushapenyezewa ushakua chawa!!!!

Chadema ilikua na vijana wenye akili ila tulishasema njaa ikizidi akili inapotea kabisa, tumbo ndo kiungo kinachomponza Sana binadamu ikifatiwa na sehemu za Siri

Mwigulu tozo huyu alituambia tuhamie Burundi Leo hii mnamkingia kifua???

Punguza chuki. CHADEMA ineingiaje hapa?. Mtu atoe maoni yake lawama ipewe CHADEMA. Punguza CHADEMA phopia.
 
Taarifa tulizonazo zinaonyesha kwamba mipango yote ya kumuondosha Mwigulu kwenye Wizara ya fedha imekamilika , Bali haijafahamika hasa sababu ya njama hizo na wala bado hajafahamika aliyezipanga , bali inafahamika kwamba zinaungwa mkono na ofisi ya Bunge .

Kuna tetesi kwamba Sababu kubwa ya jambo hili la siri inatajwa kuwa ni Urais wa 2025 .

Tutaendelea kuwaletea Taarifa zaidi kwa kadri tunavyozipata hasa baada ya Mwigulu kung'olewa rasmi siku chache zijazo .

Usiondoke JF
Duh...!.
P
 
Mwigulu for presidency 2025 msomi mahiri

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Kama sasahivi tu ni mwiz wa mali ya umma kiasi hiki hadi kumiliki mabasi yasiyo na idadi basi akiwa pale juu atamiliki kampuni ya ndege ama meli kabisa.

Halafu wewe huoni hata kama jamaa ana makandokando kuzidi wengine kufikia sasa.

Halafu eti nawewe unajiita Doctor? Siamini kama unaitwa doctor bali unajiita mwenyewe.
 
Waokoe muda,wamle kichwa haraka kazi iendelee..Wapo wabunge wengi wenye uwezo hawajapewa nafasi.
Wakimaliza hapo wawa ng'oe February na Nepi ili punguza mgao wa umeme na Space X apewe kibali cha kusambaza internet
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom