Mwigulu akaliwa kooni Ufisadi

Mwigulu akaliwa kooni Ufisadi

Hivi kulipa na kutumia Kuna husianaje?

Kwani kama Wizara za kisekta zimeleta invoice za malipo Sasa Waziri wa Fedha asitoe pesa kama nani?

Hiyo ni kazi ya Mwigulu? Hapa wahusika walioongeza bei huko kwenye Wizara zao na kufuja pesa ndio wawajibishwe Sasa unamuwajibisha Waziri wa Fedha Kwa lipi?
Swali la msingi je invoice ya malipo nani huwa anatoa
 
Huyo bosi wake ni mzee wa mgaso.

Tutapiga kelele wee mpaka tukae kivulini kupumzika..
 
Jamani
Tusihadaiwe na hizi drama.

Mama tulishamwambia kitambo kuwa aliowateua walitemwa na mwanaKwenda sasa akidhani anawafuta machozi basi wanahamishia kilio kwake.

Hapo wanamsafisha Mwigulu kwa kumlazimisha ajiuzulu.

Hapo wanamuokoa Rais na mapungufu makubwa ya uendeshaji wa nchi.

Rais anapaswa kuviamini vyombo vya serikali na avipe uhuru vifanyekazi. Lakini hili suala la kuwaamini wanasiasa aliowateua ambao wamejipa kazi ya uchawa badala ya kumsaidia atakuja kustuka kumekucha
Masisiem ndo yalivyo yaani mazuri ni ya mama ila mabaya ni mama anashauriwa vibaya
 
Huyo bosi wake ni mzee wa mgaso.

Tutapiga kelele wee mpaka tukae kivulini kupumzika..
Pamoja na yote hii nchi kamwe hatuwezi kumkabidhi tena sukuma gang
 
Mzaha mzaha mwisho utunga usaha.

Kama ni kweli bunge litakuwa seriously safari hii namuona Mwigulu akirudi jimboni mapema.

Wabunge wengi waliochangia ripoti ya CAG wameelekeza lawama zote kwa waziri wa fedha wakisema kuwa yeye ndiye mlipaji mkuu wa serikali.

Sasa sijui kama huu moto ulioanza kukolea pale mjengoni kutamuwacha salama kaka yetu Maderu.View attachment 2578425
LISSU: Ufisadi ule ule, watu wale wale, Chama kile kile.....hakuna jipya, Wala tusitegemee hatuna yote kuchukuliwa.
 
LISSU: Ufisadi ule ule, watu wale wale, Chama kile kile.....hakuna jipya, Wala tusitegemee hatuna yote kuchukuliwa.
Hata John Komba ailiimba kabisa kuwa ....ccm ni ileileeeeeee
 
Mzaha mzaha mwisho utunga usaha.

Kama ni kweli bunge litakuwa seriously safari hii namuona Mwigulu akirudi jimboni mapema.

Wabunge wengi waliochangia ripoti ya CAG wameelekeza lawama zote kwa waziri wa fedha wakisema kuwa yeye ndiye mlipaji mkuu wa serikali.

Sasa sijui kama huu moto ulioanza kukolea pale mjengoni kutamuwacha salama kaka yetu Maderu.View attachment 2578425
IMG_20230406_222924.jpg
 
Taarifa tulizonazo zinaonyesha kwamba mipango yote ya kumuondosha Mwigulu kwenye Wizara ya fedha imekamilika , Bali haijafahamika hasa sababu ya njama hizo na wala bado hajafahamika aliyezipanga , bali inafahamika kwamba zinaungwa mkono na ofisi ya Bunge .

Kuna tetesi kwamba Sababu kubwa ya jambo hili la siri inatajwa kuwa ni Urais wa 2025 .

Tutaendelea kuwaletea Taarifa zaidi kwa kadri tunavyozipata hasa baada ya Mwigulu kung'olewa rasmi siku chache zijazo .

Usiondoke JF
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom