Mwigulu akaliwa kooni Ufisadi

Mwigulu akaliwa kooni Ufisadi

Taarifa tulizonazo zinaonyesha kwamba mipango yote ya kumuondosha Mwigulu kwenye Wizara ya fedha imekamilika , Bali haijafahamika hasa sababu ya njama hizo na wala bado hajafahamika aliyezipanga , bali inafahamika kwamba zinaungwa mkono na ofisi ya Bunge .

Kuna tetesi kwamba Sababu kubwa ya jambo hili la siri inatajwa kuwa ni Urais wa 2025 .

Tutaendelea kuwaletea Taarifa zaidi kwa kadri tunavyozipata hasa baada ya Mwigulu kung'olewa rasmi siku chache zijazo .

Usiondoke JF
Nakuamini mrembo wa kikinga.
 
Taarifa tulizonazo zinaonyesha kwamba mipango yote ya kumuondosha Mwigulu kwenye Wizara ya fedha imekamilika , Bali haijafahamika hasa sababu ya njama hizo na wala bado hajafahamika aliyezipanga , bali inafahamika kwamba zinaungwa mkono na ofisi ya Bunge .

Kuna tetesi kwamba Sababu kubwa ya jambo hili la siri inatajwa kuwa ni Urais wa 2025 .

Tutaendelea kuwaletea Taarifa zaidi kwa kadri tunavyozipata hasa baada ya Mwigulu kung'olewa rasmi siku chache zijazo .

Usiondoke JF
Anapelekwa wizara gani?
 
Kama kuna watu wana njama za 2025, mbona wakati wenyewe ndio huu sasa!

Hao akina Mwigulu na wengine wote kama wapo, wenye kutafuta huo urais, kuwaondoa wakati huu kwenye nafasi wanazoshikilia ni kama kuwapa fursa nzuri ya kuutafuta urais bila ya mizengwe ya uwaziri.

Lakini ninajiuliza sana kuhusu hawa watu wengi wanaoigiza siku hizi.
Nikimkumbuka Profesa wa Jalalani alivyokuwa akivimba na "uzalendo" nyakati zile, ungedhani wakati huu ndiyo angekuwa moto kwelikweli kuuonyesha 'uzalendo' wake watu wauone, lakini wapi!

Watu wote ndani ya CCM nikama wategemea fadhira tu, hakuna hata mmoja mwenye ubavu wa kusema anaweza kusimamama na watu wampime.

Wote, hata akina Magufuli, walikuwa wa aina hiyo hiyo, hadi walipobahatisha tu kuopolewa ndipo wakawa moto unaounguza hovyo kila sehemu.
Ni kama wamelelewa hivyo, na hapo ndipo ulipo udhaifu wetu waTanganyika usingedhani uhuru tulioulilia kutoka kwa Mkoloni ungezalisha aina hii ya watu ambao wao hujiona mifano ya kuigwa
 
Taarifa tulizonazo zinaonyesha kwamba mipango yote ya kumuondosha Mwigulu kwenye Wizara ya fedha imekamilika , Bali haijafahamika hasa sababu ya njama hizo na wala bado hajafahamika aliyezipanga , bali inafahamika kwamba zinaungwa mkono na ofisi ya Bunge .

Kuna tetesi kwamba Sababu kubwa ya jambo hili la siri inatajwa kuwa ni Urais wa 2025 .

Tutaendelea kuwaletea Taarifa zaidi kwa kadri tunavyozipata hasa baada ya Mwigulu kung'olewa rasmi siku chache zijazo .

Usiondoke JF
Mtakesha, wanajuana hao. Mama analalamika kwangu mimi nalalamika kwake, Mwigulu anamlalamikia mama, CAG anailalamikia serikali, kila mtu analalamika, nchi imekuwa kama kampuni ya fundimaiko haina msimamizi.
 
Taarifa tulizonazo zinaonyesha kwamba mipango yote ya kumuondosha Mwigulu kwenye Wizara ya fedha imekamilika , Bali haijafahamika hasa sababu ya njama hizo na wala bado hajafahamika aliyezipanga , bali inafahamika kwamba zinaungwa mkono na ofisi ya Bunge .

Kuna tetesi kwamba Sababu kubwa ya jambo hili la siri inatajwa kuwa ni Urais wa 2025 .

Tutaendelea kuwaletea Taarifa zaidi kwa kadri tunavyozipata hasa baada ya Mwigulu kung'olewa rasmi siku chache zijazo .

Usiondoke JF

Yani huoni sababu ya mwigulu kutoka? Ni sawa na kusema huoni sababu ya kuoga jioni, haya baai lala na jasho
 
Taarifa tulizonazo zinaonyesha kwamba mipango yote ya kumuondosha Mwigulu kwenye Wizara ya fedha imekamilika , Bali haijafahamika hasa sababu ya njama hizo na wala bado hajafahamika aliyezipanga , bali inafahamika kwamba zinaungwa mkono na ofisi ya Bunge .

Kuna tetesi kwamba Sababu kubwa ya jambo hili la siri inatajwa kuwa ni Urais wa 2025 .

Tutaendelea kuwaletea Taarifa zaidi kwa kadri tunavyozipata hasa baada ya Mwigulu kung'olewa rasmi siku chache zijazo .

Usiondoke JF
Njama kwa namna gani kwa haya yanayotokea, uwe unatumia akili, Mwigulu atapaswa kujibu hoja kiufasaha juu ya malipo mbali mbali yaliyofanyika kama pia mshauri wa rais wetu, utakaposhindwa kufanya hivyo maana yake unashindwa kutimiza wajibu wako vyema, Mwigulu awaeleze watanzania why over billing and so so!.... And others many!
 
Taarifa tulizonazo zinaonyesha kwamba mipango yote ya kumuondosha Mwigulu kwenye Wizara ya fedha imekamilika , Bali haijafahamika hasa sababu ya njama hizo na wala bado hajafahamika aliyezipanga , bali inafahamika kwamba zinaungwa mkono na ofisi ya Bunge .

Kuna tetesi kwamba Sababu kubwa ya jambo hili la siri inatajwa kuwa ni Urais wa 2025 .

Tutaendelea kuwaletea Taarifa zaidi kwa kadri tunavyozipata hasa baada ya Mwigulu kung'olewa rasmi siku chache zijazo .

Usiondoke JF
Uraisi gani kwa mwigulu wewe acha uboya

USSR

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Taarifa tulizonazo zinaonyesha kwamba mipango yote ya kumuondosha Mwigulu kwenye Wizara ya fedha imekamilika , Bali haijafahamika hasa sababu ya njama hizo na wala bado hajafahamika aliyezipanga , bali inafahamika kwamba zinaungwa mkono na ofisi ya Bunge .

Kuna tetesi kwamba Sababu kubwa ya jambo hili la siri inatajwa kuwa ni Urais wa 2025 .

Tutaendelea kuwaletea Taarifa zaidi kwa kadri tunavyozipata hasa baada ya Mwigulu kung'olewa rasmi siku chache zijazo .

Usiondoke JF
Nyie huwa hamjui mnataka nini
 
Hii ni vita ya aina yake.
BAADA YA WAZIRI HUSIKA MWENYE UTAALAMU WA MAMBO YA KIFEDHA THIBITISHA UHALALI WA MALIPO NA KUUPELEKA WARAKA KWA RAIS, RAIS HUWA HANA LINGINE TENA KWA ALIYEMTEUA KUMSAIDIA, RAIS HUTIA SAHIHI, RAIS HUWA AMEMWAMINI MTEULE WAKE KWA KAZI HIYO, MAMBO YA TATHMINI YA GHARAMA SIO RAHISI KWA RAIS WETU KUYATAMBUA HIVYO HAYO HUFANYWA NA TAASISI NYINGINE ZA UMMA.
 
BAADA YA WAZIRI HUSIKA MWENYE UTAALAMU WA MAMBO YA KIFEDHA THIBITISHA UHALALI WA MALIPO NA KUUPELEKA WARAKA KWA RAIS, RAIS HUWA HANA LINGINE TENA KWA ALIYEMTEUA KUMSAIDIA, RAIS HUTIA SAHIHI, RAIS HUWA AMEMWAMINI MTEULE WAKE KWA KAZI HIYO, MAMBO YA TATHMINI YA GHARAMA SIO RAHISI KWA RAIS WETU KUYATAMBUA HIVYO HAYO HUFANYWA NA TAASISI NYINGINE ZA UMMA.
Maelezo yako yanatupeleka kwa scenario ya Zakhia Meghji kusaini jambo bila kusoma.

Something which is very wrong in every aspect.
 
Taarifa tulizonazo zinaonyesha kwamba mipango yote ya kumuondosha Mwigulu kwenye Wizara ya fedha imekamilika , Bali haijafahamika hasa sababu ya njama hizo na wala bado hajafahamika aliyezipanga , bali inafahamika kwamba zinaungwa mkono na ofisi ya Bunge .

Kuna tetesi kwamba Sababu kubwa ya jambo hili la siri inatajwa kuwa ni Urais wa 2025 .

Tutaendelea kuwaletea Taarifa zaidi kwa kadri tunavyozipata hasa baada ya Mwigulu kung'olewa rasmi siku chache zijazo .

Usiondoke JF
Hivi kweli Mwigulu anaweza kuwa Rais wa nchi hii? Anafanya madudu mengi ndani ya Wizara ya Fedha lkn naona kakutuma umtetee kwamba ni njama za kung'oa huyo Rais wa Mawe
 
Taarifa tulizonazo zinaonyesha kwamba mipango yote ya kumuondosha Mwigulu kwenye Wizara ya fedha imekamilika , Bali haijafahamika hasa sababu ya njama hizo na wala bado hajafahamika aliyezipanga , bali inafahamika kwamba zinaungwa mkono na ofisi ya Bunge .

Kuna tetesi kwamba Sababu kubwa ya jambo hili la siri inatajwa kuwa ni Urais wa 2025 .

Tutaendelea kuwaletea Taarifa zaidi kwa kadri tunavyozipata hasa baada ya Mwigulu kung'olewa rasmi siku chache zijazo .

Usiondoke JF
Uuuwiii!! CAG yuko kila mwaka, Bunge ndiyo linajadili, Dr Ng'wigulu Nchema ndiye Waziri mwenye dhamana anajibu swali.

Ghafula bin vuuu kumbe ni Uchaguzi wa Rais 2025 uuuuwiiii?

Hii ni fertile imagination ya CHADEMA. Tuliikuta Ujanani kulikuwa na mabinti ukimgusa kidogo tu anashika mimba shabaash!! Keep on keeping on.
 
Kama nchi ni ya mama yako utafanya utakavyo.
Haitatokea tena kufanya huo ujinga maana hizi hasara zote zilizopo kwenye ripoti ya CAG ni matokeo ya miradi ya hovyo iliyofanywa na Jiwe.
 
Na mama alisubiri ajikaange mwenyewe, halafu ni mnyonge kweli, dunia hii wee aacha tu.
Sijawahi kumwamini Madaru hata siku moja kwenye uadilifu tangu alipo msingizia Rwakatale kuwa ni gaidi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom