Lete clip mkuuMkuu labda kama hausikilizi redio wala hauperuzi mitandaoni ,Chadema kupitia Mnyika katamka wazi kwamba CHADEMA hawakupeleka majina yeyote TUME.
ya leo kaliToeni tamko kuhusu akina Mdee. Mkikaa kimya kama mlivyofanya Kwa Aidan, CHADEMA mnaizika.
Wafukuze, hawana tofauti na wauaji ambao wamewaua akina Mawazo, Ben na wengine.
Mawazo alikufa ili nyinyi muwe wasaliti
Ukimya wa Mbowe unasema kila kitu tatizo mnataka mpaka mtafuniwe, Mbowe hajaongea toka maandamano yakose watu, yule ni mfanyabiashara anajua kusoma alama za nyakati... chama bila ruzuku kitakufa, bora lawama kuliko fedhehaWakikaa kimya nitajua nao wanahusika na huenda wamehongwa!
Yaliyotokea ni aibu ya pili katika nchi ndani ya mwezi mmoja!
Ni aibu kusaliti wananchi
Ni aibu kusaliti viongozi wa chama
Ni aibu kusaliti vikao vaya chama
Mbowe kakaa kimya sana aisee! Sijui ana maana ganiBinafsi napongeza sana kilichofanyika leo, Uchaguz sawa ulikuwa wa dhulma sasa Unagomea nafasi ambazo hata ukizigomea majamaa yataendelea na kazi kama kawa na hakuna kitachobadilika. Upinzani wangegomea kabisaa hizi nafasi kwny hiyo battle wao ndo wangekuwa looser.
Wamefurahi J Mnyika kudhalilishwa?Vile MATAGA wamefurahia leo!View attachment 1634036
Mkuu kwa akili yako kweli unaamini hili suala halina baraka za Mbowe na Mnyika?Wakikaa kimya nitajua nao wanahusika na huenda wamehongwa!
Yaliyotokea ni aibu ya pili katika nchi ndani ya mwezi mmoja!
Ni aibu kusaliti wananchi
Ni aibu kusaliti viongozi wa chama
Ni aibu kusaliti vikao vaya chama
Clip sina kwasasa ila nimesikiliza Azam TV Mnyika akihojiwa na Ivona Kamuntu.Lete clip mkuu
Wahenga walinena Aliye kula kitovu chako hatakuachia utumbo ndicho kinachoendelea ndani ya CHADEMAToeni tamko kuhusu akina Mdee. Mkikaa kimya kama mlivyofanya Kwa Aidan, CHADEMA mnaizika.
Wafukuze, hawana tofauti na wauaji ambao wamewaua akina Mawazo, Ben na wengine.
Mawazo alikufa ili nyinyi muwe wasaliti
Alivyo panda mtumbwi hakuwa na kumbukumbu za risasi 16, aliporusha helicopter "bila" kibali hakuwa na kumbukumbu za risasi 16, alipokuwa anawaamrisha dereva wake kuziba njia mpaka gari yao ije, alikuwa hana kumbukumbu ya hizo risasi?? Na wakati wa kampeni alivyokuwa anatoa kauli za vitisho alikuwa hana kumbukumbu ya hizo risasiVitisho vya maisha kwa mtu aliyenusurika mauaji kwa risasi 16 si ya kubeza
Kila mtu ana haki ya kunusuru uhai wake