OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 49,200
- 103,733
Katibu Mkuu wa CHADEMA, John Mnyika amesema, chama hicho hakijateua majina ya wabunge wa viti maalum “ niliandika barua NEC kuwajulisha. Tunafuatilia yanayojiri Ofisi ya Spika wa Bunge na tukithibitisha hujuma au usaliti hatutasita kuchukua hatua.”
---UPDATE---
Akihojiwa na shirika la utangazaji la BBC
Mnyika anasema kwa mujibu wa taratibu na sheria mwenye mamlaka ya kuteua majina ni baraza kuu la chama na katibu wa chama ndiye mwenye mamlaka ya kuandika barua kwa tume kuwasilisha majina ya wabunge wa viti maalum.
Yanayoendelea Dodoma inabidi tume na spika waseme hayo majina wamepelekewa nan nani toka CHADEMA
Halima Madee na Ester Bulaya kujifanya makamanda kumbe makamanda njaa tu. Hongera CHADEMA kwa msimamo usioyumba. Kesho Kamati Kuu ikae kufukuza wote hao.
---UPDATE---
Akihojiwa na shirika la utangazaji la BBC
Mnyika anasema kwa mujibu wa taratibu na sheria mwenye mamlaka ya kuteua majina ni baraza kuu la chama na katibu wa chama ndiye mwenye mamlaka ya kuandika barua kwa tume kuwasilisha majina ya wabunge wa viti maalum.
Yanayoendelea Dodoma inabidi tume na spika waseme hayo majina wamepelekewa nan nani toka CHADEMA
Halima Madee na Ester Bulaya kujifanya makamanda kumbe makamanda njaa tu. Hongera CHADEMA kwa msimamo usioyumba. Kesho Kamati Kuu ikae kufukuza wote hao.