mohamedjohn
JF-Expert Member
- Sep 24, 2020
- 467
- 277
Hahahhaahhaaahahahhaahana namna inanibidi nicheke tu kwaviongozi Hawa badosanaChadema asili wamempindulia meza Lissu
EU iache kuingilia mambo ya Tanzania kwa kuwa ina namna yake ya kumaliza changamoto zake za ndani
Huko Znz naskia na Maalim Seif ameanza ku shave ndevu na kunyoa ma panki yale ya 2010-2015
Kidumu chama cha Mapinduzi