Je, Kati ya Halima Mdee na John Mnyika nani mkweli sakata la Wabunge wa Viti Maalum?

Aug 1, 2020
46
26
Tumeona mtafaruku na mtifuano kwenye Social Media mara tu baada ya wale wanaodaiwa wabunge wa viti maalumu kutoka chama cha CHADEMA kuapa mbele ya spika leo.

Mara tu baada ya tukio hilo katibu mkuu wa chama hicho ameandika kwenye kurasa yake ya twitter kwamba hawajatuma majina ya viti maalumu kwenye ofisi ya bunge.

Lakini zinasambaa taarifa Mdee akimshukuru mwenyekiti na katibu wa chama chake kwa kuwapa wabunge hao ushirikiano wa kutosha.

Lakini swali la kujiuliza ni kwamba wabunge hawa walikwenda kuapishwa bila baraka za chama? Au chama hakikuwa na taarifa za wabunge hawa kuelekea Dodoma?

Je, ni nani mkweli kati ya Mdee na Mnyika?
 
Tumeona mtafaruku na mtifuano kwenye social media mara tu baada ya wale wanaodaiwa wabunge wa viti maalumu kutoka chama cha chadema kuapa mbele ya spika leo. Mara tu baada ya tukio hilo katibu mkuu wa chama hicho ameandika kwenye kurasa yake ya twitter kwamba hawajatuma majina ya viti maalumu kwenye ofisi ya bunge.

Lakini zinasambaa taarifa Mdee akimshukuru mwenyekiti na katibu wa chama chake kwa kuwapa wabunge hao ushirikiano wa kutosha. Lakini swali la kujiuliza ni kwamba wabunge hawa walikwenda kuapishwa bila baraka za chama? Au chama hakikuwa na taarifa za wabunge hawa kuelekea dodoma?
Je, ni nani mkweli kati ya Mdee na Mnyika?
CHADEMA ni taasisi dhaifu sana! Nilimshauri Ndugu yangu Zitto Kabwe siku 3 zilizopita aache kabisha kufuata ushauri wa CHADEMA na chama chake na ACT Wazalendo ipeleke jina la Makamu wa Kwanza wa Rais na ichukue nafasi zake zote Zanzibar na Tanzania Bara otherwise CHADEMA itawaruka. Na ukweli sasa umedhihirika.

Hapa wanachofanya CHADEMA ni kumzuga Tundu Lissu ! Wewe unadhani CHADEMA hawataki Ruzuku, Mnyika atakula mawe hapo Ufipa kwa miaka 5?
 
Ndoano waliyomeza 2015 ndio matokeo yake haya maana watu halisi wamezungukwa na watu wasiohalisi(mamluki)....

Pole sana mnyika.....

Dhambi iliingia duniani kupitia mwanamke kadhalika wokovu ulipitia kwa mwanamke.
 
Tumeona mtafaruku na mtifuano kwenye social media mara tu baada ya wale wanaodaiwa wabunge wa viti maalumu kutoka chama cha chadema kuapa mbele ya spika leo.
Baada ya wabunge hao kuapishwa, sasa ni wabunge halali wa Bunge la JMT, huwezi kuwaita wanaodaiwa wabunge as if you are not sure. Wakweli ni walioapishwa, waongo ni wasio amini ukweli bayana!.
P
 
Tumeona mtafaruku na mtifuano kwenye social media mara tu baada ya wale wanaodaiwa wabunge wa viti maalumu kutoka chama cha chadema kuapa mbele ya spika leo. Mara tu baada ya tukio hilo katibu mkuu wa chama hicho ameandika kwenye kurasa yake ya twitter kwamba hawajatuma majina ya viti maalumu kwenye ofisi ya bunge.

Lakini zinasambaa taarifa Mdee akimshukuru mwenyekiti na katibu wa chama chake kwa kuwapa wabunge hao ushirikiano wa kutosha. Lakini swali la kujiuliza ni kwamba wabunge hawa walikwenda kuapishwa bila baraka za chama? Au chama hakikuwa na taarifa za wabunge hawa kuelekea dodoma?
Je, ni nani mkweli kati ya Mdee na Mnyika?
Msaliti yeyote ni fimbo tu. CHADEMA si ya Mbowe, Mnyika au hao madada poa.
 
Tumeona mtafaruku na mtifuano kwenye social media mara tu baada ya wale wanaodaiwa wabunge wa viti maalumu kutoka chama cha chadema kuapa mbele ya spika leo. Mara tu baada ya tukio hilo katibu mkuu wa chama hicho ameandika kwenye kurasa yake ya twitter kwamba hawajatuma majina ya viti maalumu kwenye ofisi ya bunge.

Lakini zinasambaa taarifa Mdee akimshukuru mwenyekiti na katibu wa chama chake kwa kuwapa wabunge hao ushirikiano wa kutosha. Lakini swali la kujiuliza ni kwamba wabunge hawa walikwenda kuapishwa bila baraka za chama? Au chama hakikuwa na taarifa za wabunge hawa kuelekea dodoma?
Je, ni nani mkweli kati ya Mdee na Mnyika?
Mkweli Kigogo2014 peke yake
 
Tumeona mtafaruku na mtifuano kwenye Social Media mara tu baada ya wale wanaodaiwa wabunge wa viti maalumu kutoka chama cha CHADEMA kuapa mbele ya spika leo.

Mara tu baada ya tukio hilo katibu mkuu wa chama hicho ameandika kwenye kurasa yake ya twitter kwamba hawajatuma majina ya viti maalumu kwenye ofisi ya bunge.

Lakini zinasambaa taarifa Mdee akimshukuru mwenyekiti na katibu wa chama chake kwa kuwapa wabunge hao ushirikiano wa kutosha. Lakini swali la kujiuliza ni kwamba wabunge hawa walikwenda kuapishwa bila baraka za chama? Au chama hakikuwa na taarifa za wabunge hawa kuelekea dodoma?
Je, ni nani mkweli kati ya Mdee na Mnyika?
Tusubiri press kwanza!
 
Tumeona mtafaruku na mtifuano kwenye Social Media mara tu baada ya wale wanaodaiwa wabunge wa viti maalumu kutoka chama cha CHADEMA kuapa mbele ya spika leo.

Mara tu baada ya tukio hilo katibu mkuu wa chama hicho ameandika kwenye kurasa yake ya twitter kwamba hawajatuma majina ya viti maalumu kwenye ofisi ya bunge.

Lakini zinasambaa taarifa Mdee akimshukuru mwenyekiti na katibu wa chama chake kwa kuwapa wabunge hao ushirikiano wa kutosha. Lakini swali la kujiuliza ni kwamba wabunge hawa walikwenda kuapishwa bila baraka za chama? Au chama hakikuwa na taarifa za wabunge hawa kuelekea dodoma?
Je, ni nani mkweli kati ya Mdee na Mnyika?
Hivi CHADEMA ni chama cha siasa?
 
Back
Top Bottom