Mwarabu kafunga njia Red Sea, meli zinazungukia Afrika, watawala wa dunia wamekwama

Verrazanno

JF-Expert Member
Sep 15, 2021
384
783
red sea.PNG

Hakatishi mtu.

Kwa amri na utekelezaji wa wanamgambo wa Houthi wa Yemen.

Nia na madhumuni wamesema ni kuzuia usafirishaji kwenda Israel. Lakini kwa sababu baharini huwa ni vurugu mechi, li meli la Ukraine lina bendera ya Tanzania, wafanyakazi wa Uturuki, waendeshaji wa Ufaransa, na mzigo wa Israeli, Houthi fighters wamesema you ain't fooling nobody, tunapiga chochote kinachokatisha.

Meli inabidi zizunguke dunia kwa Mandela.

AVOIDING RED SEA -7.png

Njia ya kuzungukia kwa Mandela inagharamimu ziada ya dola milioni moja kila safari

Lakini kwa meli zinazoendelea ku take chance hapo hapo red sea makampuni ya bima za meli yamewapandishia gharama mara kumi. Meli zimesema isiwe tabu, bora nusu hasara, wameamua kuzungukia kwa Mandela. Kitumbua cha biashara kati ya Europe na Asia kimeingia mchanga, na hakuna la kufanya.

******

Ni furaha iliyoje kuona hatuna mtawala mmoja wa dunia mwenye nguvu ya kuamua kila kitu, awe mzungu au myahudi na vyombo vyao vya ulinzi na ujasusi na zana nzito za kivita. Hata angekuwa ni Mwarabu, au Mchina, au Mrusi, hatutaki unipolar world.

Kumbe penye nia ya mnyonge kusimamia haki yako ukikazana unaweza kuipata. Watu kama hawa huwezi hata kuwaza kuwarubuni wakupe bandari yao, ukijaribu wanamwaga ugali, wanafunga bahari mazima.

Kwa hili la kusimamia maslahi yake namheshimu Mwarabu! Sijali cha dini yake wala dini ya Myahudi wala ya Mzungu.
 
View attachment 2874016

Hakatishi mtu.

Kwa amri na utekelezaji wa wanamgambo wa Houthi wa Yemen.

Nia na madhumuni wamesema ni kuzuia usafirishaji kwenda Israel. Lakini kwa sababu baharini huwa ni vurugu mechi, li meli la Ukraine lina bendera ya Tanzania, wafanyakazi wa Uturuki, waendeshaji wa Ufaransa, na mzigo wa Israeli, Houthi fighters wamesema you ain't fooling nobody, tunapiga chochote kinachokatisha.


Meli inabidi zizunguke dunia kwa Mandela.

View attachment 2874006

Njia ya kuzungukia kwa Mandela inagharamimu ziada ya dola milioni moja kila safari

Lakini kwa meli zinazoendelea ku take chance hapo hapo red sea makampuni ya bima za meli yamewapandishia gharama mara kumi. Meli zimesema isiwe tabu, bora nusu hasara, wameamua kuzungukia kwa Mandela. Kitumbua cha biashara kati ya Europe na Asia kimeingia mchanga, na hakuna la kufanya.

***********************
Nafurahi kuona hatuna mtawala mmoja wa dunia mwenye nguvu ya kuamua kila kitu, awe mzungu au myahudi na vyombo vyao vya ulinzi na ujasusi na zana nzito za kivita. Hata angekuwa ni Mwarabu, au Mchina, au Mrusi, hatutaki unipolar world.

Kumbe penye nia ya mnyonge kusimamia haki yako ukikazana unaweza kuipata. Watu kama hawa huwezi hata kuwaza kuwarubuni wakupe bandari yao, ukijaribu wanamwaga ugali, wanafunga bahari mazima.

Kwa hili la kusimamia maslahi yake namheshimu Mwarabu! Sijali cha dini yake wala ya Mzungu.
Kuna mpuuzi mmoja aliamua kuitawala dunia kwa hila na huku akifahamu hana akili sawa sawa.

Haya yanatokea chini ya uongozi wa Cowboy na wenzake.

Sipendi vita maana madhara yake yanazidi ya kinachojiri uwanja wa mapambano
 
Dunia bila unipolar inawezekana na ndio tunachozidi kukishuhudia

Americant na Uingereza walitaka kuidanganya dunia na walimwengu kwamba yale mashambulizi yake ama yao yamewapiga houthi na yataregesha safari za meli kama awali kumbe wanajifanganya wenyewe sababu wamechemka

Hakuna meli kupita kwenda wala kuregelea mpaka ghaza iwe huru

Houthi kamatieni hapo hapo
 

Hakatishi mtu.

Kwa amri na utekelezaji wa wanamgambo wa Houthi wa Yemen.

Nia na madhumuni wamesema ni kuzuia usafirishaji kwenda Israel. Lakini kwa sababu baharini huwa ni vurugu mechi, li meli la Ukraine lina bendera ya Tanzania, wafanyakazi wa Uturuki, waendeshaji wa Ufaransa, na mzigo wa Israeli, Houthi fighters wamesema you ain't fooling nobody, tunapiga chochote kinachokatisha.

Meli inabidi zizunguke dunia kwa Mandela.


Njia ya kuzungukia kwa Mandela inagharamimu ziada ya dola milioni moja kila safari

Lakini kwa meli zinazoendelea ku take chance hapo hapo red sea makampuni ya bima za meli yamewapandishia gharama mara kumi. Meli zimesema isiwe tabu, bora nusu hasara, wameamua kuzungukia kwa Mandela. Kitumbua cha biashara kati ya Europe na Asia kimeingia mchanga, na hakuna la kufanya.

******

Nafurahi kuona hatuna mtawala mmoja wa dunia mwenye nguvu ya kuamua kila kitu, awe mzungu au myahudi na vyombo vyao vya ulinzi na ujasusi na zana nzito za kivita. Hata angekuwa ni Mwarabu, au Mchina, au Mrusi, hatutaki unipolar world.

Kumbe penye nia ya mnyonge kusimamia haki yako ukikazana unaweza kuipata. Watu kama hawa huwezi hata kuwaza kuwarubuni wakupe bandari yao, ukijaribu wanamwaga ugali, wanafunga bahari mazima.

Kwa hili la kusimamia maslahi yake namheshimu Mwarabu! Sijali cha dini yake wala ya Mzungu.
Kinachonishangaza ni Israeli inalindwa kwa gharama zozote kuanzi iingereza ujeruman hadi marekani
 
Dunia bila unipolar inawezekana na ndio tunachozidi kukishuhudia

Americant na Uingereza walitaka kuidanganya dunia na walimwengu kwamba yale mashambulizi yake ama yao yamewapiga houthi na yataregesha safari za meli kama awali kumbe wanajifanganya wenyewe sababu wamechemka

Hakuna meli kupita kwenda wala kuregelea mpaka ghaza iwe huru

Houthi kamatieni hapo hapo
Vita vyote hivi ukraine, Palestina, Yemen, loser mkubwa ni Ulaya...

Usa kapakana na China, Japan, Australia, America Kusini na wengineo Hana tabu wala havimdhuru sana.

Ulaya sasa wamepokonywa gesi ya bei rahisi, wapokonywa njia ya Meli, Mafuta juu, uchumi wao unashuka etc.

Ndio maana unaona kuna Nchi zimekataa kuescalate mgogoro na Houth.

Ulaya wasipojiangalia na kusanuka ndo wanapotea taratibu hivyo. Bara zima la Ulaya uchumi umekua 0.6 tu.
 

Hakatishi mtu.

Kwa amri na utekelezaji wa wanamgambo wa Houthi wa Yemen.

Nia na madhumuni wamesema ni kuzuia usafirishaji kwenda Israel. Lakini kwa sababu baharini huwa ni vurugu mechi, li meli la Ukraine lina bendera ya Tanzania, wafanyakazi wa Uturuki, waendeshaji wa Ufaransa, na mzigo wa Israeli, Houthi fighters wamesema you ain't fooling nobody, tunapiga chochote kinachokatisha.

Meli inabidi zizunguke dunia kwa Mandela.


Njia ya kuzungukia kwa Mandela inagharamimu ziada ya dola milioni moja kila safari

Lakini kwa meli zinazoendelea ku take chance hapo hapo red sea makampuni ya bima za meli yamewapandishia gharama mara kumi. Meli zimesema isiwe tabu, bora nusu hasara, wameamua kuzungukia kwa Mandela. Kitumbua cha biashara kati ya Europe na Asia kimeingia mchanga, na hakuna la kufanya.

******

Nafurahi kuona hatuna mtawala mmoja wa dunia mwenye nguvu ya kuamua kila kitu, awe mzungu au myahudi na vyombo vyao vya ulinzi na ujasusi na zana nzito za kivita. Hata angekuwa ni Mwarabu, au Mchina, au Mrusi, hatutaki unipolar world.

Kumbe penye nia ya mnyonge kusimamia haki yako ukikazana unaweza kuipata. Watu kama hawa huwezi hata kuwaza kuwarubuni wakupe bandari yao, ukijaribu wanamwaga ugali, wanafunga bahari mazima.

Kwa hili la kusimamia maslahi yake namheshimu Mwarabu! Sijali cha dini yake wala ya Mzungu.
Waatemen hawajafunga njia, siyo kweli.

Wayemeni walizuwia meli zinazokwanda na kutokea Uyahudi zisipitie kwao..

Baada ya kupigwa bila sababu na Mmarekani na Muingereza, sasa wameongezea na meli zote za Kimarekani na Uingereza, haijalishi zinakwenda wapi, ni halali yao. Wewe kama una meli yako haiendi bandari za Israel au haijapakia kutokea Israel unapita kwa raha zako.
 
Israel itapata mahitaji yake kama kawaida, hao US wana print pesa, kama mtu anatumia missile moja ya iron dome ambayo gharama ni $50K hawezi shindwa afford 1M dollar kusafirisha vitu, hata ingekuwa 5M USD wange afford.

Hasara kubwa ni kuchelewa ka bidhaa tofauti na awali.

Hapo rasi ya tumaini jema ingepaswa kuwe na vichaa kama houthi, hapo ndipo US ingejidhihirisha ubabe wao, vumbi ingeruka majini.
 

Hakatishi mtu.

Kwa amri na utekelezaji wa wanamgambo wa Houthi wa Yemen.

Nia na madhumuni wamesema ni kuzuia usafirishaji kwenda Israel. Lakini kwa sababu baharini huwa ni vurugu mechi, li meli la Ukraine lina bendera ya Tanzania, wafanyakazi wa Uturuki, waendeshaji wa Ufaransa, na mzigo wa Israeli, Houthi fighters wamesema you ain't fooling nobody, tunapiga chochote kinachokatisha.

Meli inabidi zizunguke dunia kwa Mandela.


Njia ya kuzungukia kwa Mandela inagharamimu ziada ya dola milioni moja kila safari

Lakini kwa meli zinazoendelea ku take chance hapo hapo red sea makampuni ya bima za meli yamewapandishia gharama mara kumi. Meli zimesema isiwe tabu, bora nusu hasara, wameamua kuzungukia kwa Mandela. Kitumbua cha biashara kati ya Europe na Asia kimeingia mchanga, na hakuna la kufanya.

******

Nafurahi kuona hatuna mtawala mmoja wa dunia mwenye nguvu ya kuamua kila kitu, awe mzungu au myahudi na vyombo vyao vya ulinzi na ujasusi na zana nzito za kivita. Hata angekuwa ni Mwarabu, au Mchina, au Mrusi, hatutaki unipolar world.

Kumbe penye nia ya mnyonge kusimamia haki yako ukikazana unaweza kuipata. Watu kama hawa huwezi hata kuwaza kuwarubuni wakupe bandari yao, ukijaribu wanamwaga ugali, wanafunga bahari mazima.

Kwa hili la kusimamia maslahi yake namheshimu Mwarabu! Sijali cha dini yake wala ya Mzungu.
Hizo ndio kadi za iran middle east moja ni bab al mandab na ya pili ni kule strait of hormuz huwa alijipanga akizinguliwa na wenye dunia anajihakikisha anateknolojia ya kufunga hayo maeneo.
 
.....Waatemen hawajafunga njia, siyo kweli.

.....Wayemeni walizuwia meli zinazokwanda na kutokea Uyahudi zisipitie kwao..
..... Wewe kama una meli yako haiendi bandari za Israel au haijapakia kutokea Israel unapita kwa raha zako.

MAERSK pamoja na HAPAG-LOYD, makampuni ya meli makubwa kuliko yote duniani, pamoja na mengine wamesitisha safari Red Sea kwa sababu ya mashambulizi ya Houthi, ambayo ni sawa na kufunga njia. Wanamgambo wa Houthi pia wamepanua walengwa wa mashambulizi yao zaidi ya Israel pekee.

Houthi Red Sea interceptions​

SOURCE: ALJAZEERA

They say they are intercepting Israel-bound and Israeli-owned ships passing through Bab al-Mandeb to pressure Israel to cease fire in Gaza or at least allow sufficient humanitarian aid in. But they now seem to have expanded operations after hitting the US ship sailing in the Gulf of Aden, which is at least their second attack on a vessel in the body of water off Yemen’s southern coast.

Red Sea attacks: Greek vessel hit by missile fired by Houthi rebels​

SOURCE: BBC NEWS


The Houthis say they are attacking vessels that are Israeli-owned or operated, or are heading to Israeli ports. However, many of the ships targeted have no connections with Israel.

Why are the Houthis attacking ships in the Red Sea?
SOURCE:
PBS NEWS

The Houthis say their strikes are directed at boats with Israeli interests, and that the attacks will continue until Israel ends its war in Gaza. But in practice, the Houthis have targeted ships indiscriminately, experts say.

Who is attacking ships in the Red Sea and why?
SOURCE:
VOA NEWS

They have threatened to attack any vessel they believe is either going to or coming from Israel. That's now escalated to apparently any vessel given recent attacks, with the Houthis also hailing vessels by radio to try to convince them to change course closer to the territory they control.
 
Vita vyote hivi ukraine, Palestina, Yemen, loser mkubwa ni Ulaya...

Usa kapakana na China, Japan, Australia, America Kusini na wengineo Hana tabu wala havimdhuru sana.

Ulaya sasa wamepokonywa gesi ya bei rahisi, wapokonywa njia ya Meli, Mafuta juu, uchumi wao unashuka etc.

Ndio maana unaona kuna Nchi zimekataa kuescalate mgogoro na Houth.

Ulaya wasipojiangalia na kusanuka ndo wanapotea taratibu hivyo. Bara zima la Ulaya uchumi umekua 0.6 tu.
Duuu 0.6 hali mbaya sana

Halafu kuna nyakati hua najiuliza tu kwamba hawa majamaa ya Europe hawaoni kama wanapoteza kiasi kwamba wanashindwa kusema hapana

Ila wacha tuone hem maana tunapoelekea huko kugumu ila ndio kuzuri zaidi

Ukweli mchungu nikwamba kwa sasa dunia imechafukwa sana yaani nadhani kuliko wakati wowote ule tokea nianze kujitambua
 
Israel itapata mahitaji yake kama kawaida, hao US wana print pesa, kama mtu anatumia missile moja ya iron dome ambayo gharama ni $50K hawezi shindwa afford 1M dollar kusafirisha vitu, hata ingekuwa 5M USD wange afford.

Hasara kubwa ni kuchelewa ka bidhaa tofauti na awali.

Hapo rasi ya tumaini jema ingepaswa kuwe na vichaa kama houthi, hapo ndipo US ingejidhihirisha ubabe wao, vumbi ingeruka majini.
Hao houth wanaundiwa kundi pinzani kama walivyofanya somalia,Libya na Iraq wamalizane wao kwa wao tu
 
Back
Top Bottom