Iran yatishia kuziba mfereji wa Gibraltar ambako meli zinazozunguka Afrika Kusini hupita kwenda Israel

Webabu

JF-Expert Member
Apr 29, 2010
7,183
10,913
Baada ya kukaa kimya kwa muda mrefu wakati vita vikiendelea,mori wa vita sasa umepanda kwa Iran na kusema iwapo vita havitasimama basi dunia ijitayarishe kuona taifa hilo likiuziba mfereji wa Gibraltar.
Mfereji huo kama ilivyo kwa mfereji wa Sueza na bahari nyekundu nao ni njia kubwa ya baharini inayounganisha mabara na nchi nyingi katika usafiri wa baharini.Mfereji huo uko baina ya kaskazini ya Afrika eneo la Morocco na Spain na ndipo meli zote zinazoelekea Ulaya kaskazini na Marekani zinapopita baada ya kupita mfereji wa Suez
Tamko hilo limetolewa na Brigedia Mohammad Reza Naqdi wa Iran.Japo Iran haipakani moja kwa moja na mfereji huo lakini washirika wake wa Lebanon na Syria wanapakana na bahari ya Medeteranean.
Kuonesha kuwa chagizo hilo linawezekana pindi washirika hao wakikusudia,leo meli nyengine yenye uhusiano na Israel ikitokea Saudi Arabia kuelekea India imepigwa na droni na kushika moto pamoja na kwamba eneo hilo tayari lina ulinzi wa nchi 20 zikiongozwa na Marekani.

Iran threatens to shut Strait of Gibraltar as tensions ramp up

 
Baada ya kukaa kimya kwa muda mrefu wakati vita vikiendelea,mori wa vita sasa umepanda kwa Iran na kusema iwapo vita havitasimama basi dunia ijitayarishe kuona taifa hilo likiuziba mfereji wa Gibraltar.
Mfereji huo kama ilivyo kwa mfereji wa Sueza na bahari nyekundu nao ni njia kubwa ya baharini inayounganisha mabara na nchi nyingi katika usafiri wa baharini.Mfereji huo uko baina ya kaskazini ya Afrika eneo la Morocco na Spain na ndipo meli zote zinazoelekea Ulaya kaskazini na Marekani zinapopita baada ya kupita mfereji wa Suez
Tamko hilo limetolewa na Brigedia Mohammad Reza Naqdi wa Iran.Japo Iran haipakani moja kwa moja na mfereji huo lakini washirika wake wa Lebanon na Syria wanapakana na bahari ya Medeteranean.
Kuonesha kuwa chagizo hilo linawezekana pindi washirika hao wakikusudia,leo meli nyengine yenye uhusiano na Israel ikitokea Saudi Arabia kuelekea India imepigwa na droni na kushika moto pamoja na kwamba eneo hilo tayari lina ulinzi wa nchi 20 zikiongozwa na Marekani.

Iran threatens to shut Strait of Gibraltar as tensions ramp up

Kwa nini vita visitishwe wakati hamas ameshinda si hamas aendeleze kichapo kwa mazayuni🤣😅😁
Kweli mficha maradhi kifo humuumbua
 
Kwa nini vita visitishwe wakati hamas ameshinda si hamas aendeleze kichapo kwa mazayuni🤣😅😁
Kweli mficha maradhi kifo humuumbua
We subiri tu.Vita vinapanuka siku baada ya siku na Israel ameshachoka kwa kupiga adui asiyeonekana.
Oman wamekataa kufanywa kibaraka,Aljeria wanazuia ndege za silaha kupita juu yao,houth anazidonoa meli za Israel.Iran akizuia Gibraltar Israel kwisha kabisa.Watakufa njaa kama wanavyowaua wapalestina.
 
Baada ya kukaa kimya kwa muda mrefu wakati vita vikiendelea,mori wa vita sasa umepanda kwa Iran na kusema iwapo vita havitasimama basi dunia ijitayarishe kuona taifa hilo likiuziba mfereji wa Gibraltar.
Mfereji huo kama ilivyo kwa mfereji wa Sueza na bahari nyekundu nao ni njia kubwa ya baharini inayounganisha mabara na nchi nyingi katika usafiri wa baharini.Mfereji huo uko baina ya kaskazini ya Afrika eneo la Morocco na Spain na ndipo meli zote zinazoelekea Ulaya kaskazini na Marekani zinapopita baada ya kupita mfereji wa Suez
Tamko hilo limetolewa na Brigedia Mohammad Reza Naqdi wa Iran.Japo Iran haipakani moja kwa moja na mfereji huo lakini washirika wake wa Lebanon na Syria wanapakana na bahari ya Medeteranean.
Kuonesha kuwa chagizo hilo linawezekana pindi washirika hao wakikusudia,leo meli nyengine yenye uhusiano na Israel ikitokea Saudi Arabia kuelekea India imepigwa na droni na kushika moto pamoja na kwamba eneo hilo tayari lina ulinzi wa nchi 20 zikiongozwa na Marekani.

Iran threatens to shut Strait of Gibraltar as tensions ramp up

Si huwa mnawasifia Hamas wanawaua waisrael vitani sasa kwanini mnaomba vita viishe
 
Kwa nini vita visitishwe wakati hamas ameshinda si hamas aendeleze kichapo kwa mazayuni🤣😅😁
Kweli mficha maradhi kifo humuumbua
mipasho ya aina hiyo yanatambulisha jinsia yako.
Hujaona ya kuwa hasara ya hii vita haiko upande mmoja pekee.Na kila siku zinavyokwenda Israel na Marekani wataumia zaidi.
 
Baada ya kukaa kimya kwa muda mrefu wakati vita vikiendelea,mori wa vita sasa umepanda kwa Iran na kusema iwapo vita havitasimama basi dunia ijitayarishe kuona taifa hilo likiuziba mfereji wa Gibraltar.
Mfereji huo kama ilivyo kwa mfereji wa Sueza na bahari nyekundu nao ni njia kubwa ya baharini inayounganisha mabara na nchi nyingi katika usafiri wa baharini.Mfereji huo uko baina ya kaskazini ya Afrika eneo la Morocco na Spain na ndipo meli zote zinazoelekea Ulaya kaskazini na Marekani zinapopita baada ya kupita mfereji wa Suez
Tamko hilo limetolewa na Brigedia Mohammad Reza Naqdi wa Iran.Japo Iran haipakani moja kwa moja na mfereji huo lakini washirika wake wa Lebanon na Syria wanapakana na bahari ya Medeteranean.
Kuonesha kuwa chagizo hilo linawezekana pindi washirika hao wakikusudia,leo meli nyengine yenye uhusiano na Israel ikitokea Saudi Arabia kuelekea India imepigwa na droni na kushika moto pamoja na kwamba eneo hilo tayari lina ulinzi wa nchi 20 zikiongozwa na Marekani.

Iran threatens to shut Strait of Gibraltar as tensions ramp up

muda ukifika msiseme anaonewa , haya yote mnayaona , waislam hamchelew kusahaau haya yote , yatunzen vzr sn , Israel haiez kubali kufutwa kijinga , hii migogoro wanaitaka waarab wachache na wapersia
 
We subiri tu.Vita vinapanuka siku baada ya siku na Israel ameshachoka kwa kupiga adui asiyeonekana.
Oman wamekataa kufanywa kibaraka,Aljeria wanazuia ndege za silaha kupita juu yao,houth anazidonoa meli za Israel.Iran akizuia Gibraltar Israel kwisha kabisa.Watakufa njaa kama wanavyowaua wapalestina.
tangu lin mmeanza shiriki swala lenu la kuifuta Israel , hz mbinu zenu mlikuwa wap kuzifanya miaka hiyo?
 
Kwa nini vita visitishwe wakati hamas ameshinda si hamas aendeleze kichapo kwa mazayuni
Kweli mficha maradhi kifo humuumbua
Sasa si ndo vita inaendelea ikiwa ni pamoja na kumdhohofisha mwenzako kiuchumi kwa kushambulia vyanzo vyake vya kiuchumi au ulitaka achekewe?

Kwanza unacho takiwa kujua ni kuwa mshindi wa vita huwa ahamuliwi kwa mauaji au uharibifu alio ufanya bali mshindi wa vita huwa anaamuliwa kwa kutimiza lengo lililo mpeleka vitani.

Kila mtu aliingia vitani akiwa na malengo yake ,upande wa Hamas waliingia Israel wakateka watu kwa ajili ya kufanya mabadilishano na wafungwa wote wa kipalestina ina maana Israel ingekubali sharti hilo mpaka sasa vita hii usingekuwepo na Hamas angejitangaza mshindi.

Upande wa Israel marengo yake ni kukomboa mateka na kuiangamiza Hamas ili atangaze ushindi ni razima atimize malengo hayo tofauti na hapo ni ameshindwa vita.

Israel ilitoa pendekezo la kubadilishana mateka na usitishaji wa vita kwa wiki moja lakini hamas wenyewe wakakataa kuwa hatima ya mateka itaamuliwa baada ya vita kuisha.

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Kuna muda nilikuwa nawaza kuwa namjibu great thinker kumbe ni mtu anayeendeshwa na mihemko, kuanzia leo inabidi niwe naangalia majinanya waleta uzi kwanza 🤔🤔🤔
 
Back
Top Bottom