Eli Cohen
JF-Expert Member
- Jun 19, 2023
- 1,311
- 4,019
Kama ilivyo mataifa ya middle east na mapepo yao ya vurugu na kutafuta haki bandia kwa njia vita na unyama, sasa pepo hilo limeamia kwa hawa houthis.
Watu wanashindwa kuelewa kuwa Houthis sio Yemen bali houthis ni houthis kama ilivyo magaidii wengine wa hezbollah na hamas.
Unafikiri dunia itakubali ujinga huo wa kuzuiliwa kupita red sea. Wao wanawaza kutafuta pesa ila hawa magaidi wa middleast wanachowaza ni kutafuta damu. Kwanza hicho kipande wanacho tishia watu wanashare na somali land.
Hamna nchi itakubali kupitia route ya cape of good hope kuelekea Europe na mataifa mengine ya kiarabu. Ni parefu na pia gharama zaidi. Kwa mfano kutoka Taiwan hadi uholanzi kupitia red sea wanatumia siku 26 ila wakisema wapitia cape of good hope waantumia almost siku 35.
Manotetea ujinga wa houthis, hivi mnajua balaa walilofanya, hamjui utapia mlo ulivyo ua watoto wengi sana, au kwa sababu sio Israel na USA??
Sent from my SM-A047F using JamiiForums mobile app
Watu wanashindwa kuelewa kuwa Houthis sio Yemen bali houthis ni houthis kama ilivyo magaidii wengine wa hezbollah na hamas.
Unafikiri dunia itakubali ujinga huo wa kuzuiliwa kupita red sea. Wao wanawaza kutafuta pesa ila hawa magaidi wa middleast wanachowaza ni kutafuta damu. Kwanza hicho kipande wanacho tishia watu wanashare na somali land.
Hamna nchi itakubali kupitia route ya cape of good hope kuelekea Europe na mataifa mengine ya kiarabu. Ni parefu na pia gharama zaidi. Kwa mfano kutoka Taiwan hadi uholanzi kupitia red sea wanatumia siku 26 ila wakisema wapitia cape of good hope waantumia almost siku 35.
Manotetea ujinga wa houthis, hivi mnajua balaa walilofanya, hamjui utapia mlo ulivyo ua watoto wengi sana, au kwa sababu sio Israel na USA??
Watoto 85,000 wamekufa Yemen mara 21 zaidi ya Gaza. Wanaharakati mlikuwa wapi?
They don't care about Muslim lives, it's all about their religion and politics. Ndio maana hakuna alieanzisha trend na maandamano kupinga mauaji ya watoto hawa yanayoendelea katika nchi yenye machafuko baina ya muislam na muislam. Leo ndugu zenu wa hamas wanapigana vita nyuma ya raia wa...
www.jamiiforums.com
Sent from my SM-A047F using JamiiForums mobile app