Undetectable
JF-Expert Member
- Aug 20, 2018
- 1,699
- 2,266
Huyu yupo Nyasaka Msumbiji.Hiyo mikate Jijini Mwanza ni ya kumwaga sijui alishindwaje kuipata !
Huyu yupo Nyasaka Msumbiji.Hiyo mikate Jijini Mwanza ni ya kumwaga sijui alishindwaje kuipata !
Ndiyo tunamshangaa huyu aliyeleta ze Comedy yake ya kukosa Brown Bread Mwanza.Nyasaka ni Ununio au Mbweni ya Dar,nyumba za kishua na mitaa imepangika balaaNyasaka watu wanajenga balaa.
TBH Mwanza ni pazuri compared na Arusha..hata town yao ni kubwa na inapendeza.
😀😀 Hebu tupumuzisheni yaani Nutella??? Ninauhakika hata ukienda kule kazulamimba-Kigoma hii unaikuta.Mimi nimekosa Nutella
Ni kijijini lakini mbona vitu vya kawaida tu lakini gharama zipo juu sana kuzidi hata sehemu zenye machimbo
Ukiongelea miji ya kisasa huwezi kuitaja mwanza. Mwanza inabebwa na population ila ukisasa, kama modern city huwezi kufananisha na Arusha. Arusha jiji proper ni kubwa kuliko mwanza jiji/ilemela. Watu hawaelewi. Arusha ni mji upo exposed kimataifa. Huwa nachekaga sana watu wa mwanza wakishindana na Arusha. Majiji ya kisasa ni mawili tu Tanzania. Arusha na Dar es Salaam.Juzi kati nilikuwa Mwanza, sasa huwa mimi sipatani sana na hivi vitu vilivyo kobolewa aunatakaga kupunguza, kwamba vingine basi viwe ni vile havijakobolewa kama ngano.
Nikauliza wenyeji wangu kwamba nitapata brown bread Mwanza? Wakaniambia ndio nini hio nikawaambia mikate ambayo ngano yake haijakobolewa, wakaniambia hawajawahi ziona na hawazijui, Ikabidi sasa nianze kuzunguka kwenye Super Market ndogo ndogo zote hakuna, nikapata wazo la kwenda Rock city Mall, Kufika kule yaani ndio kabisa hata staff hawaijui, nilichoka sana fikiria Jiji kubwa kama lile hakuna products kama zile.
Ikabidi ninunue unga wa ngano wa Atta nikapike Chapati nyumbani.
Nikakumbuka Arusha au Dar mikate kama ile unakuta nayo maduka ya mitaani kabisa ukiachana na Super Markets.
Mwanza ni ukubwa tu ila ni jiji la kishamba sana huwezi compare na Arusha au Dar, tuiacha Dar ni kubwa sana ila huwezi ilinganisha na Arusha kamwe.
Unapotumia assumption bila logic .hoja yako inakuwa ya kipuuziUkiongelea miji ya kisasa huwezi kuitaja mwanza. Mwanza inabebwa na population ila ukisasa, kama modern city huwezi kufananisha na Arusha. Arusha jiji proper ni kubwa kuliko mwanza jiji/ilemela. Watu hawaelewi. Arusha ni mji upo exposed kimataifa. Huwa nachekaga sana watu wa mwanza wakishindana na Arusha. Majiji ya kisasa ni mawili tu Tanzania. Arusha na Dar es Salaam.
upi ukweli sasa? Mimi nafasiri ya muandishi tu sijawahi ulizia brown bread Mwanza.Urongo
Assumptions kivipi wakati naifaham Mwanza?Unapotumia assumption bila logic .hoja yako inakuwa ya kipuuzi
HUU MKATE UNAWAFAA WENYE KISUKARI IRINGA IPO SANA SUPERMARKETS
Yani ukose kahawaMimi nimekosa black coffee
Yani tofauti ya shs 100 unaona vitu viko juu? Je ulizunguka kote au ni hapo tu ulitaka kuuziwa hayo maji? Je kama hapo ulipoenda ndiyo kijiwe cha wanene wa Misungwi?Ni kijijini lakini mbona vitu vya kawaida tu lakini gharama zipo juu sana kuzidi hata sehemu zenye machimbo
🤣🤣🤣🤣🤣🤣Meno kama njugumawe. Ila ww una matusi sana ww🙆🙆🙆Endelea kujitekenya na kujifariji lakini ukweli mchungu ni kwamba Arusha mpaka Yesu anarudi haitakuja kuifikia Mwanza kamwe. Pole sana mwenye meno ya rangi kama kashata.
Yani SHUKURU MUNGU nmeandika nmefuta nmeandika nmefuta hicho kipara chako na uhakika kingetoa checheJuzi kati nilikuwa Mwanza, sasa huwa mimi sipatani sana na hivi vitu vilivyo kobolewa aunatakaga kupunguza, kwamba vingine basi viwe ni vile havijakobolewa kama ngano.
Nikauliza wenyeji wangu kwamba nitapata brown bread Mwanza? Wakaniambia ndio nini hio nikawaambia mikate ambayo ngano yake haijakobolewa, wakaniambia hawajawahi ziona na hawazijui, Ikabidi sasa nianze kuzunguka kwenye Super Market ndogo ndogo zote hakuna, nikapata wazo la kwenda Rock city Mall, Kufika kule yaani ndio kabisa hata staff hawaijui, nilichoka sana fikiria Jiji kubwa kama lile hakuna products kama zile.
Ikabidi ninunue unga wa ngano wa Atta nikapike Chapati nyumbani.
Nikakumbuka Arusha au Dar mikate kama ile unakuta nayo maduka ya mitaani kabisa ukiachana na Super Markets.
Mwanza ni ukubwa tu ila ni jiji la kishamba sana huwezi compare na Arusha au Dar, tuiacha Dar ni kubwa sana ila huwezi ilinganisha na Arusha kamwe.
Ndo ungetuambia namna unavyoifahamu na mwanza na facts za kuwa ni ndogo kuliko mwanza . wakati metropolitan area ya mwanza Ina wilaya mbili zenye hadhi ya manispaa na jiji wakti Arusha Ina wilaya Moja yenye hadhi ya jiji...Assumptions kivipi wakati naifaham Mwanza?
Bila kusahau NyamhongoloHiyo ni mitaa ya kishua nyumbani kwao na Lau Masha hiyo kwa Dar ongelea Oysterbay au Masaki.Pia kuna Bwiru Uzunguni na Isamilo.Kuna maeneo ya Nyasaka kule ni kama Mbweni au Bunju A kwa hapa Dar na maeneo mengi sana,sijaongelea hapo Nyakato,Nyegezi,Mwananchi huko kuna maeneo ya kishua zaidi pia.
Waghill!......Noted. 👍