Mwanza jiji zima hakuna Brown Bread?

Mwanza jiji zima hakuna Brown Bread?

Ngoja niangalie ligi ya wenye mikoa yao...ila Trump yeye alijumuisha tu kuwa wote tupo kwenye shithole countries 🐒💩
 
Juzi kati nilikuwa Mwanza, sasa huwa mimi sipatani sana na hivi vitu vilivyo kobolewa aunatakaga kupunguza, kwamba vingine basi viwe ni vile havijakobolewa kama ngano.

Nikauliza wenyeji wangu kwamba nitapata brown bread Mwanza? Wakaniambia ndio nini hio nikawaambia mikate ambayo ngano yake haijakobolewa, wakaniambia hawajawahi ziona na hawazijui, Ikabidi sasa nianze kuzunguka kwenye Super Market ndogo ndogo zote hakuna, nikapata wazo la kwenda Rock city Mall, Kufika kule yaani ndio kabisa hata staff hawaijui, nilichoka sana fikiria Jiji kubwa kama lile hakuna products kama zile.

Ikabidi ninunue unga wa ngano wa Atta nikapike Chapati nyumbani.

Nikakumbuka Arusha au Dar mikate kama ile unakuta nayo maduka ya mitaani kabisa ukiachana na Super Markets.

Mwanza ni ukubwa tu ila ni jiji la kishamba sana huwezi compare na Arusha au Dar, tuiacha Dar ni kubwa sana ila huwezi ilinganisha na

Mazoea mabaya sana . Hivi unaweza amini ukiambiwa Kahama wana mikate mizuri kuliko Dsm na Chuga?
 
Juzi kati nilikuwa Mwanza, sasa huwa mimi sipatani sana na hivi vitu vilivyo kobolewa aunatakaga kupunguza, kwamba vingine basi viwe ni vile havijakobolewa kama ngano.

Nikauliza wenyeji wangu kwamba nitapata brown bread Mwanza? Wakaniambia ndio nini hio nikawaambia mikate ambayo ngano yake haijakobolewa, wakaniambia hawajawahi ziona na hawazijui, Ikabidi sasa nianze kuzunguka kwenye Super Market ndogo ndogo zote hakuna, nikapata wazo la kwenda Rock city Mall, Kufika kule yaani ndio kabisa hata staff hawaijui, nilichoka sana fikiria Jiji kubwa kama lile hakuna products kama zile.

Ikabidi ninunue unga wa ngano wa Atta nikapike Chapati nyumbani.

Nikakumbuka Arusha au Dar mikate kama ile unakuta nayo maduka ya mitaani kabisa ukiachana na Super Markets.

Mwanza ni ukubwa tu ila ni jiji la kishamba sana huwezi compare na Arusha au Dar, tuiacha Dar ni kubwa sana ila huwezi ilinganisha na Arusha kamwe.
Kuna bakery kwa nyuma ya gold crest imeangaliana na club galaxy huwezi kukosa brown bread
 
Na mimi nimetafuta shoga mwanza nzima sijapata kweli mwanza jiji la kishamba aisee wanazidiwa hadi na Arusha. Arusha mashoga kibao kama dar.


Mwanza acheni ushamba bana kuweni kama Arusha BASI jiji kubwa kama mwanza mnakosaje mashoga bana
 
Hamna hoja hapa zaidi ya uchokozi TU ...watu wa chuga mnateseka sana ...kama unataka hyo mikate nenda royal oven jirani na gold crest hapo
 
Juzi kati nilikuwa Mwanza, sasa huwa mimi sipatani sana na hivi vitu vilivyo kobolewa aunatakaga kupunguza, kwamba vingine basi viwe ni vile havijakobolewa kama ngano.

Nikauliza wenyeji wangu kwamba nitapata brown bread Mwanza? Wakaniambia ndio nini hio nikawaambia mikate ambayo ngano yake haijakobolewa, wakaniambia hawajawahi ziona na hawazijui, Ikabidi sasa nianze kuzunguka kwenye Super Market ndogo ndogo zote hakuna, nikapata wazo la kwenda Rock city Mall, Kufika kule yaani ndio kabisa hata staff hawaijui, nilichoka sana fikiria Jiji kubwa kama lile hakuna products kama zile.

Ikabidi ninunue unga wa ngano wa Atta nikapike Chapati nyumbani.

Nikakumbuka Arusha au Dar mikate kama ile unakuta nayo maduka ya mitaani kabisa ukiachana na Super Markets.

Mwanza ni ukubwa tu ila ni jiji la kishamba sana huwezi compare na Arusha au Dar, tuiacha Dar ni kubwa sana ila huwezi ilinganisha na Arusha kamwe.
Haha... watu hawajui brown bread? You kept asking wrong people. R.C mall mbona nanunua sana tu brown bread. Royal bakery tu zipo kila siku as long as ukipakuta wazi. Halafu upatikanaji wa aina ya mikate haimaanishi ndo mji mbaya. Nimekaa arusha, mwanza na dar. Ila mwanza maeneo mingi ya mjini hawakati maji wala umeme kama ilivo ars na dar.
.
Arusha bado ni mji mdogo sana compared na mwanza

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wewe ni mshamba tu huna lolote mama yangu ana Kisukari na Mara kwa Mara huwa naenda kumnunulia Mkate wa Brown.

Ukiwa Nata hapo kwenye Msikiti mkubwa mweupe. Upande wa pili wa barabara kuna Supermarket mikate ya Brown ipo mingi tu. Mimi huwa nanunua mara nyingi sana. Hata unga wa ngano usiokobolewa upo pia.
 
Wewe ni mshamba tu huna lolote mama yangu ana Kisukari na Mara kwa Mara huwa naenda kumnunulia Mkate wa Brown.

Ukiwa Nata hapo kwenye Msikiti mkubwa mweupe. Upande wa pili wa barabara kuna Supermarket mikate ya Brown ipo mingi tu. Mimi huwa nanunua mara nyingi sana. Hata unga wa ngano wa Brown unapatina pia.
Namshangaa sana huyo mwamba. Et mwanza nzima hamna
.
Halafu anajudge maendeleo kwa upatikanaj wa mkate,

Sent using Jamii Forums mobile app
 
swali kwa mleta mada. kwa mfano upo zako katikati ya jiji miami,USA.

halafu ukazunguka kwenye migahawa yote maarufu ya miami kutafuta ugali, ukakosa. ni ishara kwamba miami ipo nyuma kimaendeleo?.
Maendeleo kwake ni upatikanaji wa Brown Bread.Hata NY,Paris,Rome,London na kwingineko akikosa anachokitafuta basi hiyo miji inakuwa haina maendeleo
 
Brown bread sio mkate wa wenye kisukari tuu jamani. Ni mzuri kwa afya, mimi ninakula na kupenda sana brown bread na sina kisukari tuache kukariri.

Njombe huko brown bread ndio mikate mikuu na sio kwamba twana visukari ndio maana wanakula, ni chakula kama vyakula vingine.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hoja ni kuwa, mwanza hakuna mikate ya namna hiyo, ili kukazia hoja yake, akaandika hata super Markets za mwanza hawaijui bidhaa hiyo.
Hapa ndipo tumejua huyu alikuwa Mwanza ya mitaa ya Bugarika,Mabatini au Igogo,hata hizo supermarket ndogo ndogo tu hakukanyaga.Vi super market vya Wahindi kibao vina Browm breads,hapo hujawaweka wakongwe kina U Turn Supermarket wanaouza hadi Whysky or Brand kwa zaidi ya 1M kwa chupa aging over 25yrs,ndiyo ije kuwa Brown Breads.
 
Back
Top Bottom