Kwanini Mbeya licha ya kuwa namba 3 kwa kuchangia Uchumi Tanzania ila hakuna hata Mpango wa kujengwa stendi ya Kisasa?

ChoiceVariable

JF-Expert Member
May 23, 2017
43,054
49,743
Majiji yote makubwa na Mikoa Maarufu Ina Standi Kuu za Kisasa kabisa na Sasa Arusha inaenda Kujengwa Standi Kubwa lakini hakuna ambae anataja Mbeya.

On top of that Barabara za mitaani ndio kabisaa ni vumbi tupu.Nikajua Tactic itakuja na package nzuri ya Barabara za mitaa kumbe hole,eti Km 12 ni nini kwenye Jiji lililojaa vumbi Kila sehemu? Nikaangamia stand hakuna Cha maana zaidi ya blaa blaa ya kastendi Cha daladala Airport ya zamani.

Tanga Ina Standi kubwa ya Kange.

Mwanza ina Standi Kubwa 2.

Dodoma ina Standi Kubwa Nanenane.

Dar ndio usiseme kuna Magufuli, Mwenge nk

Morogoro kuna Msanvu.

Iringa Kuna Stand kubwa.

Sumbawanga Kuna Standi Kubwa ya Katumba

Arusha ndio hiyo inaenda kujengwa Pale Bondeni City

20230923_164847.jpg


Swali: Kwa nini Mbeya licha ya kuwa Jiji, Namba 3 kuchangia Uchumi Tanzania ila hakuna hata Mpango wa kujengwa Stand kubwa na ya Kisasa yenye hadhi ya Jiji? Kwa nini hakuwekwi Mpango wa Barabara za mitaa za kutosha?

My Take
Mbeya kuwa na kina Mwambukusi wengi isiwe ndio fimbo ya kuadhibu watu wake.

=====

Screenshot 2023-09-25 110939.png

"Pia kuna stendi za mabasi kwa sababu Miji inakuwa na mahitaji ya Stendi pia ni makubwa tunakwenda kujenda stendi za mabasi 26. Ile stend ya Mabasi ya Arusha ipo katikati ya Mji halafu ni ndogo sana. Mahitaji ni makubwa kwahiyo tunakwenda kujenga stendi kubwa sana Jijini Arusha" Humphrey Kanyeye - Mratibu wa Miradi ya Benk ya Dunia -TARURA

Appreciation
Kelele zimesaidia ,Hatimaye tenda ya ujenzi imetangazwa 👇 👇
Screenshot_20240124-052852.jpg
 
Uchochezi usiokuwa na maana yoyote.

Mbeya INA border mbili Tunduma n Kasumulu.

Mbeya ina station kubwa ya Tazara.

Mbeya INA international Airport Songwe.

Mbeya imeizaa Songwe

Mbeya ina Profesa Mwandyosa.

Mbeya ina Dr Mwakyembe.

Mbeya Ina Spika wa Bunge.

Mbeya ina Rais wake Mr 2 Sugu.

Kwanini unapenda chokochoko, kwani mabasi yanapakia na kushusha wapi?
 
Hawajaamua kujenga hiyo stendi chama Cha mapinduzi. 🙊🙉

chama Cha mapinduzi wamempa uwanja mtume mwamposa wa mbeya. 😳😳
 
Uchochezi usiokuwa na maana yoyote.

Mbeya INA border mbili Tunduma n Kasumulu.

Mbeya ina station kubwa ya Tazara.

Mbeya INA international Airport Songwe.

Mbeya imeizaa Songwe

Mbeya ina Profesa Mwandyosa.

Mbeya ina Dr Mwakyembe.

Mbeya Ina Spika wa Bunge.

Mbeya ina Rais wake Mr 2 Sugu.

Kwanini unapenda chokochoko, kwani mabasi yanapakia na kushusha wapi?
We Mzee unaumwa au siyo?Tunduma sio Mbeya ni Songwe.

Nauliza Kwa nini Mbeya haijengwi Stand ya Kisasa sawa sawa na hadhi yake ya Jiji? Kwa nini Mbeya haipati hadhi Stahiki sawa sawa na hadhi yake kama Mkoa wa 3 Kwa Kuchangia Uchumi Tanzania?
 
Mwanza yenyewe imepata juzi tu, haikuwa na stand ya maana jumlisha na ile airport ambayo ujenzi huwa hauishi kwa miaka kiasi songwe ulijengwa hadi ukamalizika lakini hamna kitu. Na usishangae hata msalato utauacha pia

Japo baadhi ya mikoa mfano mbeya kuwa overlooked sio story mpya. Anko magu kidogo ndo aliwekeza jicho mkoani tofauti na enzi za kila kitu dar
 
Mwanza yenyewe imepata juzi tu, haikuwa na stand ya maana jumlisha na ile airport ambayo ujenzi huwa hauishi kwa miaka kiasi songwe ulijengwa hadi ukamalizika lakini hamna kitu. Na usishangae hata msalato ukamalizika pia
Mwanza Ina stand 2,Mwanza Ina masoko 2 na jingine la samaki linakuja,Mwanza imependelewa ujenzi wa Barabara za tactic km 27 Kwa visingizio vya Kuwa na Manispaa wakati Mbeya licha ya mavumbi Kila Kona ila Imepata km 12 tuu?
 
We Mzee unaumwa au siyo?

Tunduma sio Mbeya ni Songwe.Nauliza Kwa nini Mbeya haijengwi Stand ya Kisasa sawa sawa na hadhi yake ya Jiji? Kwa nini Mbeya haipati hadhi Stahiki sawa sawa na hadhi yake kama Mkoa wa 3 Kwa Kuchangia Uchumi Tanzania?
Wewe ndio unaumwa mavi hujui kitu.

Kuna vitu vipo Songwe lakini ulikuwa ni mgao wa Mbeya, nilipoandika Mbeya imezaa Songwe unaelewa nini?

Morogoro nao wadai airport? Au mkoa wa pwani nao wadai airport?

Kuna vitu vinaweza kuandika na watu wasiokuwa na akili tu.

Sasa stand ya Katumba Sumbawanga Ina faida gani kama siyo mateso tu kwa abiria?
 
Wewe ndio unaumwa mavi hujui kitu.

Kuna vitu vipo Songwe lakini ulikuwa ni mgao wa Mbeya, nilipoandika Mbeya imezaa Songwe unaelewa nini?

Morogoro nao wadai airport? Au mkoa wa pwani nao wadai airport?

Kuna vitu vinaweza kuandika na watu wasiokuwa na akili tu.

Sasa stand ya Katumba Sumbawanga Ina faida gani kama siyo mateso tu kwa abiria?
Toa upuuzi hapa,Songwe ni Mkoa independent na Mbeya.
 
Mbali ya stand barabara hakuna. Hivi sasa jam ya barabara katikat ya jiji ni za kukera. Magari makubwa maroli yaendayo na kutoka zambia na DRC yameiteka yote hiyo barabara,sio asubuhi sio mchana panakera. Uje vibajaji vya tulia. Serikali jiji la mbeya wameliacha hewani kwa muda mrefu. Ila mwendazake alikuwa na nia kabisa ya kutengeneza four way kuanzia igawa kwa uchache mpaka songwe air pot. Magari makubwa maroli yatengewe njia yake ya kuingilia igawa na kutokea mbalizi. Pale mafiat kupigwe fry over na uyole. Lakini ndio hivyo aliondoka na ahadi zake. Hawa kila siku tuko kwenye upembuzi yakinifu,zinapigwa juu kwa juu. Huu upembuzi aliukataa kabisa mwendazake.
 
Toa upuuzi hapa,Songwe ni Mkoa independent na Mbeya.
Kwa sababu wewe ni mtoto Mdogo haya mambo yapo juu ya uwezo wako wa kufikiri.

Morogoro na Tabora ndio mikoa makubwa Tanzania, ikitokea leo imegawanywa hiyo mikoa halafu watu ambao watapata mkoa mpya watakana kwamba stand ya Msamvu haikujengwa kwa ajili yao?

Unachobisha hakina mantiki yoyote, ndio maana tumekataa Chato hawezi kuwa mkoa, plan zote za serikali ni kwa mkoa wa Geita.

Kama una elimu ya kata sitalajii unielewe nilichoandika.
 
Mbali ya stand barabara hakuna. Hivi sasa jam ya barabara katikat ya jiji ni za kukera. Magari makubwa maroli yaendayo na kutoka zambia na drc yameiteka yote hiyo barabara,sio asubuhi sio mchana panakera. Uje vibajaji vya tulia. Serikali jiji la mbeya wameliacha hewani kwa muda mrefu. Ila mwendazake alikuwa na nia kabisa ya kutengeneza four way kuanzia igawa kwa uchache mpaka songwe air pot. Magari makubwa maroli yatengewe njia yake ya kuingilia igawa na kutokea mbalizi. Pale mafiat kupigwe fry over na uyole. Lakini ndio hivyo aliondoka na ahadi zake. Hawa kila siku tuko kwenye upembuzi yakinifu,zinapigwa juu kwa juu. Huu upembuzi aliukataa kabisa mwendazake.
Mbaya zaidi kina Bashe wamemlaghai Rais wamekataa kutwaa maeneo ya mashamba ya Chuo Cha Kilimo Uyole Ili yaendekezwe Kwa Mji wa Kisasa.

Bashe anatukosea kwanza asiwe anakuja Mbeya,Wakatwae mashamba Vijijini huko kama Chunya,Mbozi au Rukwa ndio wakafanyie utafiti sio Katika ya Jiji tena usoni kumejaa mashamba.
 
Kwa kweli Inawezekana Kuna chuki binafsi dhidi ya mkoa wa Mbeya. Maana hata mwenyekiti wa mkoa wa CCM alipojaribu kulalamika alipigwa biti Kali na makamu wa Rais. Lakini Mungu anaitetea Mbeya.
 
Back
Top Bottom