Mwanza jiji zima hakuna Brown Bread?

Mwanza jiji zima hakuna Brown Bread?

Huo ni miaka nenda
Tangu nasoma Primary ndiyo tulikuwa tunapelekwa pale na Dingi week end au Salma Cone.Baada ya kutoka Mwanza ikawa mara chache nikija naenda pale.Nina muda mrefu sijaenda tena nikifika Mwanza.Nazurura viwanja vingine tu
 
Juzi kati nilikuwa Mwanza, sasa huwa mimi sipatani sana na hivi vitu vilivyo kobolewa aunatakaga kupunguza, kwamba vingine basi viwe ni vile havijakobolewa kama ngano.

Nikauliza wenyeji wangu kwamba nitapata brown bread Mwanza? Wakaniambia ndio nini hio nikawaambia mikate ambayo ngano yake haijakobolewa, wakaniambia hawajawahi ziona na hawazijui, Ikabidi sasa nianze kuzunguka kwenye Super Market ndogo ndogo zote hakuna, nikapata wazo la kwenda Rock city Mall, Kufika kule yaani ndio kabisa hata staff hawaijui, nilichoka sana fikiria Jiji kubwa kama lile hakuna products kama zile.

Ikabidi ninunue unga wa ngano wa Atta nikapike Chapati nyumbani.

Nikakumbuka Arusha au Dar mikate kama ile unakuta nayo maduka ya mitaani kabisa ukiachana na Super Markets.

Mwanza ni ukubwa tu ila ni jiji la kishamba sana huwezi compare na Arusha au Dar, tuiacha Dar ni kubwa sana ila huwezi ilinganisha na Arusha kamwe.
Jaribu ROYAL OVEN mkuu
 
Mwamba kukosa mkate wa rangi ya udongo kajikuta binge la mjanjaaaaaaa watu waliotoka mkoani wakaja kuishi dar siku wakirudi mkoani kwao wanajionaga kama wametoka ulaya acheni ushamba.Mi ni mtoto wa town make nimezaliwa Ilala Amana home ni hapo mtaa wa Songea na kilwa.Ila nyie watu wa mikoani acheni kudharau mikoani kwenu kisa mmeishi dar mkiwa wakubwa.
 
Mwamba kukosa mkate wa rangi ya udongo kajikuta binge la mjanjaaaaaaa watu waliotoka mkoani wakaja kuishi dar siku wakirudi mkoani kwao wanajionaga kama wametoka ulaya acheni ushamba.Mi ni mtoto wa town make nimezaliwa Ilala Amana home ni hapo mtaa wa Songea na kilwa.Ila nyie watu wa mikoani acheni kudharau mikoani kwenu kisa mmeishi dar mkiwa wakubwa.
Wape ukweli hawa wakuja wenzetu
 
Kinachonishangaza ni jinsi gani hamuheshimu "culture "ya sehemu husika, Huwezi kuondoa culture ya kimasai Arusha Kama ambavyo, Huwezi kuiondoa culture ya kisukuma mwanza.
Hata Dubai kuna culture ya waarabu haiwafanyi kuwa washamba.
Kwani umeambiwa. Mwanza ni ya Kinga?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hapa dar hiyo mikate wanauza hadi wanaotembeza mtaani
Ndo maana kuna wanaume wa Dar (wala chipsi na mikate) na wanaume wa kanda ya ziwa (hapa ni ugali wa ulezi+udaga na samaki Hai)
 
Hiyo ni mitaa ya kishua nyumbani kwao na Lau Masha hiyo kwa Dar ongelea Oysterbay au Masaki.Pia kuna Bwiru Uzunguni na Isamilo.Kuna maeneo ya Nyasaka kule ni kama Mbweni au Bunju A kwa hapa Dar na maeneo mengi sana,sijaongelea hapo Nyakato,Nyegezi,Mwananchi huko kuna maeneo ya kishua zaidi pia.
Nyasaka watu wanajenga balaa.

TBH Mwanza ni pazuri compared na Arusha..hata town yao ni kubwa na inapendeza.
 
Ok .... Kwamba Mwanza bado sana hata mikate ya brown hakuna!.😳
Mwisho wa mwaka huu asubuhi sana naamkia Mwanza! ....Wenyeji wa mji ule walioko humu, naomba uzoefu wenu, kuhusu nyumba za wageni, maeneo salama ya kuvinjari, mambo ya kula kula na kumwagilia roho.😀
Natanguliza shukurani.
Anza na waghill. Sehem zingine utazijua zaidi ukifika..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom