Ndegemakwava
Member
- Jun 23, 2022
- 55
- 119
Hee, kingine tena ? Ndiyo Nn hiki? Hivi vitu huku kwetu ni vigeni.Mimi nimekosa Nutella
Hee, kingine tena ? Ndiyo Nn hiki? Hivi vitu huku kwetu ni vigeni.Mimi nimekosa Nutella
Acha uongoo nenda hapo royal queen utapata tatizo ujuaji mwingiMimi nimekosa black coffee
Arusha tunapajua sana. Hakuna sehemu ya kishamba kama Arusha. Town Centre ndogo hapo sanawari tu tayari uko kijijini migombani. Hakuna jiji pale ni michosho tu.Ukiongelea miji ya kisasa huwezi kuitaja mwanza. Mwanza inabebwa na population ila ukisasa, kama modern city huwezi kufananisha na Arusha. Arusha jiji proper ni kubwa kuliko mwanza jiji/ilemela. Watu hawaelewi. Arusha ni mji upo exposed kimataifa. Huwa nachekaga sana watu wa mwanza wakishindana na Arusha. Majiji ya kisasa ni mawili tu Tanzania. Arusha na Dar es Salaam.
KatmbweAcha uongoo nenda hapo royal queen utapata tatizo ujuaji mwingi
Siyo matusi ni ukweli mchunguMeno kama njugumawe. Ila ww una matusi sana ww
![]()
🤣🤣🤣Siyo matusi ni ukweli mchungu
Tena ile Nyamhongolo ya kishua yenye vijana wenye pesa zao.Asitutanie huyu Chalii wa Arachuga aliyekuja na pesa yake ya mawazo Jiji la MwanzaBila kusahau Nyamhongolo
Sasa wewe hata hiyo cappuccino yenyewe unaijua au ndiyo umegoogle ukaja hapa kucomment.Hebu tupisheni hapa nyie chalii wa Arusha na ushamba wenu wa kufakamia mibangi ovyo ovyo mnajikuta mnaishi JamaicaAisee...
Nikiuliza cappuccino au macchiato skinny latte, sio watasema nawatukana?


HUU MKATE UNAWAFAA WENYE KISUKARI IRINGA IPO SANA SUPERMARKETS
Mwanza kwanza siku zote chakula kikuu ni ugali wa dona uliochanganywa na Muhogo na samaki wa kuchemsha or kuchoma.Mwanza Chips ni kitu cha ziada kwao wala hakuna mtu anahangaika nazo zaidi ya wageni.Brown breads ipo ya kutosha tu,kuna Royal Bakery,Pizzeria,Supermarkets za Wahindi zimejaa.Huyu lengo lake halikuwa kusema amekosa mikate,alitaka tu kulitweza Jiji la Mwanza.Binadamu wengi kwa sasa wamehami kula vyakula vilivyokobolewa, huenda Mwanza wako mbele zaidi
Mwanza, wenye mahitaji kama yako huenda hawapo au wakawa wachache sana, wafanyabiashara hawawezi kuweka dukani bidhaa isiyonunuliwa, ni hasara kwao.Juzi kati nilikuwa Mwanza, sasa huwa mimi sipatani sana na hivi vitu vilivyo kobolewa aunatakaga kupunguza, kwamba vingine basi viwe ni vile havijakobolewa kama ngano.
Nikauliza wenyeji wangu kwamba nitapata brown bread Mwanza? Wakaniambia ndio nini hio nikawaambia mikate ambayo ngano yake haijakobolewa, wakaniambia hawajawahi ziona na hawazijui, Ikabidi sasa nianze kuzunguka kwenye Super Market ndogo ndogo zote hakuna, nikapata wazo la kwenda Rock city Mall, Kufika kule yaani ndio kabisa hata staff hawaijui, nilichoka sana fikiria Jiji kubwa kama lile hakuna products kama zile.
Ikabidi ninunue unga wa ngano wa Atta nikapike Chapati nyumbani.
Nikakumbuka Arusha au Dar mikate kama ile unakuta nayo maduka ya mitaani kabisa ukiachana na Super Markets.
Mwanza ni ukubwa tu ila ni jiji la kishamba sana huwezi compare na Arusha au Dar, tuiacha Dar ni kubwa sana ila huwezi ilinganisha na Arusha kamwe.
Anakuja hapa na afya yake ya mgogoro inayochagua hata vyakula halafu anatutambia kabisa amekosa brown bread.Ukiona hivyo ujue asilimia kubwa ya watu wako healthy hawana haja ya kucontrol sugar wanayokula as brown bread ni kwa ajili ya special diet ila kula kawaida ule mkate hapana kwakweli mana hauna tofauti na pumba za kuku ladha yake!