Mwanza inarudi nyuma huku Arusha ikiendelea

Mwanza inarudi nyuma huku Arusha ikiendelea

Lengo la mada halijafikiwa
Tumetanguliza mapenzi ya maeneo yetu kuliko uhalisia.
Mada ilikuwa kulinganisha kasi ya ukuaji wa majiji mawili ya Mwanza na Arusha.
Watu kwa mapenzi yao wanaanza kuzungumzia mikoa wakati sio Lengo la mada.
Ukweli ni kuwa jiji la arusha ni dogo kulinganisha na jiji la mwanza
Kimiundombinu jiji la Mwanza ni bora na limejengeka kuliko arusha
Centre za majiji arusha ni ndogo
Matajiri wanaomiliki maeneo ya biashara jijini arusha ni wachache kulinganisha na wa Mwanza.
Nb:jiji la arusha linaanzia daraja kubwa mbele kidogo ya kimandolu kama unaenda moshi na kuishia karibu na kisongo.
Tajiri mmoja wa arusha anaweza akawa anamiliki vitega uchumi kama kumi tofauti lakini kwa Mwanza ni watu kumi wanamiliki vitega uchumi kumi
 
Mwanza hakuna maisha wala hakuna pesa.. Huwezi kuwa na population ya million 3 alafu unakusanya kodi billion 117 wakati Dar ina population ya Million 5 inakusanya Trillion kadhaa... Wakati Kilimanjaro yenye 1.5 Million inakusanya Billion 101.. Hapo ndio mjue Mwanza hakuna pesa hapo
 
Lengo la mada halijafikiwa
Tumetanguliza mapenzi ya maeneo yetu kuliko uhalisia.
Mada ilikuwa kulinganisha kasi ya ukuaji wa majiji mawili ya Mwanza na Arusha.
Watu kwa mapenzi yao wanaanza kuzungumzia mikoa wakati sio Lengo la mada.
Ukweli ni kuwa jiji la arusha ni dogo kulinganisha na jiji la mwanza
Kimiundombinu jiji la Mwanza ni bora na limejengeka kuliko arusha
Centre za majiji arusha ni ndogo
Matajiri wanaomiliki maeneo ya biashara jijini arusha ni wachache kulinganisha na wa Mwanza.
Nb:jiji la arusha linaanzia daraja kubwa mbele kidogo ya kimandolu kama unaenda moshi na kuishia karibu na kisongo.
Tajiri mmoja wa arusha anaweza akawa anamiliki vitega uchumi kama kumi tofauti lakini kwa Mwanza ni watu kumi wanamiliki vitega uchumi kumi
Wacha urongo wewe... Mwanza kuna tajiri hapo?? Tajiri atakaa milimani na mawe??

Arusha kodi Billion 242, Mwanza Billion 117... Yaani kwa udogo huo huo wa Arusha ila kuna mzunguko mkubwa wa pesa kuliko Mwanza...
 
Huyu mleta mada itakua amepata kadem huko kamempa limbwata huko na amelimbwatika kweli kweli kiasikwamba amemzidi hata yule NGOSWE wa penzi kitovu cha uzembe
 
Sakina... Huku hatuishi milimani kama kima hahahaha
130549332681580027.JPG
Vacation%2Brental%2Bhouse.jpg
Kima za Mwanza haya ndio maisha yao.... Alafu wanasema mitaa ya Arusha haina barabara sasa sijui kima anayeishi kule juu anafikaje
mwanza.jpg
Mkuu umeua kabisa
 
Mwanza hakuna maisha wala hakuna pesa.. Huwezi kuwa na population ya million 3 alafu unakusanya kodi billion 117 wakati Dar ina population ya Million 5 inakusanya Trillion kadhaa... Wakati Kilimanjaro yenye 1.5 Million inakusanya Billion 101.. Hapo ndio mjue Mwanza hakuna pesa hapo
Hebu tuambie arudha kodi ni kiac gani?
 
Mwanza hakuna maisha wala hakuna pesa.. Huwezi kuwa na population ya million 3 alafu unakusanya kodi billion 117 wakati Dar ina population ya Million 5 inakusanya Trillion kadhaa... Wakati Kilimanjaro yenye 1.5 Million inakusanya Billion 101.. Hapo ndio mjue Mwanza hakuna pesa hapo
Alafu hiz data cjui umezitoa wapi. Wastan ya kod inaypkusanya TZ ni around 1trion pa month sasa kma dar tu unasema ni zaidi ya I.T izo data umetoa wap?
 
Huo ni uwendawazimu uliokithiri kusema eti mwanza hakuna maisha na watu wake ni washamba wakati wamasai wapo kila kona wanadhurura na kulala nje magetini, halafu unadai eti ni matajiri,. Empty set!!
 
Lengo la mada halijafikiwa
Tumetanguliza mapenzi ya maeneo yetu kuliko uhalisia.
Mada ilikuwa kulinganisha kasi ya ukuaji wa majiji mawili ya Mwanza na Arusha.
Watu kwa mapenzi yao wanaanza kuzungumzia mikoa wakati sio Lengo la mada.
Ukweli ni kuwa jiji la arusha ni dogo kulinganisha na jiji la mwanza
Kimiundombinu jiji la Mwanza ni bora na limejengeka kuliko arusha
Centre za majiji arusha ni ndogo
Matajiri wanaomiliki maeneo ya biashara jijini arusha ni wachache kulinganisha na wa Mwanza.
Nb:jiji la arusha linaanzia daraja kubwa mbele kidogo ya kimandolu kama unaenda moshi na kuishia karibu na kisongo.
Tajiri mmoja wa arusha anaweza akawa anamiliki vitega uchumi kama kumi tofauti lakini kwa Mwanza ni watu kumi wanamiliki vitega uchumi kumi
Umenena mkuu
 
Mi nachukizwa na watu ambao ktk comment zao lazima wawadiss wasukuma, they are trying to brin tribalism in the thread and spoil our minds. Tuzungumzie arusha jiji na mwanza jiji na siyo kutukanana
 
Wacha urongo wewe... Mwanza kuna tajiri hapo?? Tajiri atakaa milimani na mawe??

Arusha kodi Billion 242, Mwanza Billion 117... Yaani kwa udogo huo huo wa Arusha ila kuna mzunguko mkubwa wa pesa kuliko Mwanza...
Amakweli una chuki na watu wa mwanza
 
Huyu mleta mada itakua amepata kadem huko kamempa limbwata huko na amelimbwatika kweli kweli kiasikwamba amemzidi hata yule NGOSWE wa penzi kitovu cha uzembe
Siwezi kuwa upumbavu huo
 
Huo ni uwendawazimu uliokithiri kusema eti mwanza hakuna maisha na watu wake ni washamba wakati wamasai wapo kila kona wanadhurura na kulala nje magetini, halafu unadai eti ni matajiri,. Empty set!!
Hahaha umepanic mkuu
 
Back
Top Bottom