FisadiKuu
JF-Expert Member
- Nov 19, 2015
- 8,337
- 13,656
hahahahahahaha airport hiyo... hahahaha Mwanzaaa MwanzaaaHaha io ni airpot au bandari?
hahahahahahaha airport hiyo... hahahaha Mwanzaaa MwanzaaaHaha io ni airpot au bandari?
Kwa hiyo hayo Makazi uliyoyaweka unataka utuambie ndio asilimia ya watu wengi Arusha wanaishi hivyo...?!Nimeweka nyumba za watu kwenye makazi tofauti kuanzia Njiro, Uzunguni, Sakina, Sanawari, Burka, Moshono mpaka USA River...
Wewe weka hizo za Ngulelo na Kijenge alafu ufananishe na nyie 70% ya maskini mnaoishi na mawe kama kima huko milimani... Vyoo hamna mnakunya ziwani, maji hakuna mnafulia maji mnayonyea ziwani.. Mtu akiumwa mnapiga filimbi watu waje kumbeba maana ambulance haifiki huko maskini 70% wanakoishi..
Hakuna mji usio na makazi ya watu wa hali ya chini... Dar kuna Tandale, Mbagala, Manzese, Temeke, Buguruni, Kigogo, Mburahati lakini Dar ndio Capital City yako... Huko unakosema tuweke picha weka wewe alafu ulinganishe na huko maskini mnakoishi huko milimani..
Mwanza waeipiku arusha population yao kubwa afu manisipaa mbili ndo zinaunda jiji,huwa kuna vgezo vinaangaliwa ili sehemu iwe manispaa first ni population..so ata arusha ingekuwa populated pia ingekuwa the same..ishu nyngne mji kuwa mkubwa haina maana kuna kila kitu au ndo umejengeka sana..hahahahahahaha airport hiyo... hahahaha Mwanzaaa Mwanzaaa
Haha burka ni arumeru ee asante mkuuKwa hiyo hayo Makazi uliyoyaweka unataka utuambie ndio asilimia ya watu wengi Arusha wanaishi hivyo...?!
yaani unasema Mwanza ina tatizo la maji na asilimia 70 hawana vyoo...?! Ndio maana mi nimebaki kimya tu, sababu wewe unapiga ligi na kuchangamsha kijiwe tu, ndio maana nakuchukulia kama ze komedi tu...
Kama tukiongelea Halmashauri ya jiji, hizo Burka, Tengeru na hata kule Ngurdoto hadi USA River kule hazipo ndani ya jiji, zipo chini ya Halmashauri ya Wilaya ya Meru, zipo Meru...
Sema kwasababu umebaki kuchekesha jukwaa ndio maana nimebaki naangalia tu, ukiwaita watu Sokwe na Kima...
Lakini labda ujiulize Halmashauri ya jiji la Arusha ina Manispaa ngapi...?!
Hivi ile Satellite city inajengwa wapi...?!Haha burka ni arumeru ee asante mkuu
Ukibishana na mtu asiyejua anachobishia ni kupoteza mda bure. Am in Arusha maeneo ya maji ya chai naifahamu Arusha vizuri mno. Usione tupo kimya, tushajua huu ubishi wenu ni karama si bure, jaribuni kutembea mjigunze.Tukichua tu nyegezi, luchelele na mkolani tukaonyesha hapa makazi ya raia mtatii amri. Bado bwiru na kitangri na nyakato pia. We can't achieve the soln.Akina ngosha wameshindwa kujitetea au? Ngoja niwasaidie,kila mji una mandhari yake ya asili,mandhari ya mwanza ni mawe ya viliman na ziwa,walichokosea ni kuacha watu wajenge kwenye virima tena maskini imeharibu sana taswira ya jiji.Mwanza ni mji wa mawe na mchanga naturally hakuna haja ya pavements wala garden kule milimani.Lakini kuna maeneo ya tambarare kiasi kule buhongwa,igoma,nanenane,SAUT etc waweke picha za maeneo hayo mbona yako vizuri ili kunogesha ligi
Kuna burka,usa na mateveziHivi ile Satellite city inajengwa wapi...?!
Weka picha mkuuUkibishana na mtu asiyejua anachobishia ni kupoteza mda bure. Am in Arusha maeneo ya maji ya chai naifahamu Arusha vizuri mno. Usione tupo kimya, tushajua huu ubishi wenu ni karama si bure, jaribuni kutembea mjigunze.Tukichua tu nyegezi, luchelele na mkolani tukaonyesha hapa makazi ya raia mtatii amri. Bado bwiru na kitangri na nyakato pia. We can't achieve the soln.
Kima unayeishi milimani povu linakutoka kisawa sawa... Hapa tunaongelea Arusha wewe kima usiweke mipaka.. Uzi unaongelea Mwanza na Arusha sasa wewe unaanza kuweka mipaka sijui huko siko we nyambafuuu kweli...Kwa hiyo hayo Makazi uliyoyaweka unataka utuambie ndio asilimia ya watu wengi Arusha wanaishi hivyo...?!
yaani unasema Mwanza ina tatizo la maji na asilimia 70 hawana vyoo...?! Ndio maana mi nimebaki kimya tu, sababu wewe unapiga ligi na kuchangamsha kijiwe tu, ndio maana nakuchukulia kama ze komedi tu...
Kama tukiongelea Halmashauri ya jiji, hizo Burka, Tengeru na hata kule Ngurdoto hadi USA River kule hazipo ndani ya jiji, zipo chini ya Halmashauri ya Wilaya ya Meru, zipo Meru...
Sema kwasababu umebaki kuchekesha jukwaa ndio maana nimebaki naangalia tu, ukiwaita watu Sokwe na Kima...
Lakini labda ujiulize Halmashauri ya jiji la Arusha ina Manispaa ngapi...?!
Wanadhani kuwa na halmashauri mbili ni maendeleo kumbe yanazaana ovyo... Sasa watu hapo mjini tu wako 1.4 Million wakati Arusha ni laki 3 tu wanataka Arusha ipewe halmashauri mbili za nini???Mwanza waeipiku arusha population yao kubwa afu manisipaa mbili ndo zinaunda jiji,huwa kuna vgezo vinaangaliwa ili sehemu iwe manispaa first ni population..so ata arusha ingekuwa populated pia ingekuwa the same..ishu nyngne mji kuwa mkubwa haina maana kuna kila kitu au ndo umejengeka sana..
Okay, unafahamu halmashauri ya jiji inapoishia...?! Pale kwenye daraja ndio mwisho wa Halmashauri ya jiji...Kuna burka,usa na matevezi
Daraja lipi ilo?Okay, unafahamu halmashauri ya jiji inapoishia...?! Pale kwenye daraja ndio mwisho wa Halmashauri ya jiji...
hahahahahahahahaha weka picha... Alafu weka picha na hayo maeneo mabovu ya Arusha uliyosema sio unaongea bila picha mzee..Mpango wa satellite cities mwanza pia upo. Tena maeneo matatu.
Hapa tunaongelea Arusha ila huyo boya anaanza kuweka mipaka hahahahahahahahahaha... Si wanasema Arusha imejengwa eneo dogo sana sasa tukigusa huko USA wanakimbilia kusema huko sio Arusha ati tunaongelea Jiji la Arusha.. Hapa tunaongelea Arusha vs Mwanza hatutaki mtuwekee mipaka..Daraja lipi ilo?