Drone Camera
JF-Expert Member
- Jul 25, 2017
- 14,157
- 14,119
sawa
mkuu umesoma jografia?
Ni 2025 miaka karibu 10 tangu ulipoandika thread yako.na naona walikupinga mdogo mdogo inakua kweli😀 hata makusanyo ya kodi yanaiweka Arusha nyuma ya Dar tuWana JF
Sina lengo la kupambanisha Mwanza Vs Arusha ila kiukweli nashindwa kuelewa nini kimeisibu Mwanza.
Mwaka 2002 Nikiwa shuleni Mwanza nilijiona kama nipo Dar ndogo. Mwanza ilikuwa moto. Mambo yalikwenda faster mji ulikua unakua kwa kasi sana
Nilikuwa nikiamini kufikia 2015 jiji la Mwanza litakuwa la mfano kwa ukuaji wake cha ajabu na kushangaza Arusha ndio inakuja faster huku Mwanza ikidorora kama mtoto mwenye utapiamlo, kulikoni?
Tatizo nini Mwanza? Kama kuongozwa imeongozwa na CDM muda mzuri tu kwanini haipai kwa kasi ilee!?
Nashindwa hata kulinganisha Mwanza VS Arusha maana Arusha kwa sasa ipo moto vibaya kama hali itaendelea kuwa hivi tutegemee Arusha kuwa ndio jiji la pili kwa ukubwa Mwanza inakuja kupitwa na Dodoma itanikera sana.
Behind Dar is DodomaNi 2025 miaka karibu 10 tangu ulipoandika thread yako.na naona walikupinga mdogo mdogo inakua kweli😀 hata makusanyo ya kodi yanaiweka Arusha nyuma ya Dar tu
1.Dar
2.Arusha
3.Dodoma
4.Mwanza
NB; Ni kweli dodoma inaipita mwanza sasa hivi watakataa tu ila ndio ukweli
Kupaa kwenda wapi? Kwa kipiMwanza sasa imeanza kupaa
Unaelewa kwenye kodi ya pili ni arusha Acha kukaza fuvu 😄Behind Dar is Dodoma
Serengeti Airport ikikamilika kwishney habari yenu.Unaelewa kwenye kodi ya pili ni arusha Acha kukaza fuvu 😄
Au unachanganya kodi vs makusanyo ya halmashauri braza
NB: Ukiongelea kodi nchi hii ni Dar + Arusha full stop nyie wengine ni wachumba tu
😆 😄 ngoja tuoneSerengeti Airport ikikamilika kwishney habari yenu.
Hio kitu aiwezekani, after dar zinakuja mwanza and arusha, dodoma imekua jiji juzi tu, arusha na mwanza ni majiji ya mdaa na yameendeleaBehind Dar is Dodoma
Ona mbugila huyu 😆😆Hio kitu aiwezekani, after dar zinakuja mwanza and arusha, dodoma imekua jiji juzi tu, arusha na mwanza ni majiji ya mdaa na yameendelea