Otorong'ong'o
Platinum Member
- Aug 17, 2011
- 39,243
- 29,099
Hivi mkuu @mchomejr unajua AICC wanaanza ujenzi wa Ukumbi mkubwa Africa Mashari na kati wa mikutano utakaoitwa The Kilimanjaro International Conference Centre....?? Utagharimu karibu billion 210 za Kitanzania maeneo ya Njiro..??Najua hampendi tuweke hii maana mwanza hakuna...ila kwa wale ambao hawafaham huu ndo ukumbi wa mikutano wa kimataifa wa AICCView attachment 347866View attachment 347867View attachment 347868View attachment 347869View attachment 347870