mitindo huru
JF-Expert Member
- Apr 26, 2016
- 1,610
- 1,602
Hadi tunakwenda mitamboni kwa mara ya pili Mwanza 60% arusha 50%.
Ngoja tuendelee kuona matokeo.
Ngoja tuendelee kuona matokeo.
Iyo mimawe inazngua aseehahahahahaha matajiri wa Mwanza... Huko ndio Capri Point wanakoishi matajiri hahahahahahaha.. Sema Mwanza Mwanza
![]()
Ooooohh barabara za mitaa ya Arusha mbovu.. Sasa hapa hata toyo inapita kweli??? hahahahahaha
[/Tosha mkuu unatuvunja mbavu![]()
Nan judge?Hadi tunakwenda mitamboni kwa mara ya pili Mwanza 60% arusha 50%.
Ngoja tuendelee kuona matokeo.
Mmmh div 5 uborani[emoji4]Hadi tunakwenda mitamboni kwa mara ya pili Mwanza 60% arusha 50%.
Ngoja tuendelee kuona matokeo.
Hadi tunakwenda mitamboni kwa mara nyingine Mwanza 60% arusha 40%.Nan judge?
Hivi ukipata emergency ambulance itawahi huko??? Tukisema maisha ya Mwanza ni duni ndio hii tunamaanisha.. Jiji lenye watu Million 3 kasoro kidogo sana linazidiwa kodi na Jiji lenye watu laki 8.. Alafu hapohapo wanadanganya mzunguko wa pesa mkubwa.. Yaani watu millioni 3 kodi inakusanywa Billion 117 wakati Arusha watu laki 8 kodi inakusanywa Billion 242Iyo mimawe inazngua asee
Wale Samaki wanaouzwa soko kuu la Arusha wametokea Ziwa Duluti unataka kutuambia ama...?Tatizo ni samaki wameisha ziwa victoria. Vwanda vya samak vimekufa hta vya pamba pia vimekufa vimebaki vya bia na viroba.
Soma uelewa kwanzaWale Samaki wanaouzwa soko kuu la Arusha wametokea Ziwa Duluti unataka kutuambia ama...?
Sasa si umesema samaki wameisha...?! Ni kiwanda kipi cha samaki kimefungwa, wakatangaza samaki wameisha ziwani Victoria...Soma uelewa kwanza