samyz
JF-Expert Member
- Apr 24, 2015
- 589
- 311
Hv kwan mwanama watu hawajajenga na huko chekereni pia afu kwa taarifa yako mji ndo unapokimbilia boyNataka kuwaonyesha sifa mnazojipa ni maneno mengi tu na kuonyesha uwezo wa kupayuka lakini haziendani na uhalisia...
Kuna mwingine naona ana post picha eti makazi ya watu, analeta picha za PPF Olerien na maeneo mengine ya apartment usikute yeye mwenyewe anayepost hizo picha yupo Chekereni au Mwanama Relini, halafu analeta mbwembwe nyingi...