Mwanza inarudi nyuma huku Arusha ikiendelea

MOTOCHINI

JF-Expert Member
Jan 20, 2014
27,574
29,959
Wana JF

Sina lengo la kupambanisha Mwanza Vs Arusha ila kiukweli nashindwa kuelewa nini kimeisibu Mwanza.

Mwaka 2002 Nikiwa shuleni Mwanza nilijiona kama nipo Dar ndogo. Mwanza ilikuwa moto. Mambo yalikwenda faster mji ulikua unakua kwa kasi sana

Nilikuwa nikiamini kufikia 2015 jiji la Mwanza litakuwa la mfano kwa ukuaji wake cha ajabu na kushangaza Arusha ndio inakuja faster huku Mwanza ikidorora kama mtoto mwenye utapiamlo, kulikoni?

Tatizo nini Mwanza? Kama kuongozwa imeongozwa na CDM muda mzuri tu kwanini haipai kwa kasi ilee!?

Nashindwa hata kulinganisha Mwanza VS Arusha maana Arusha kwa sasa ipo moto vibaya kama hali itaendelea kuwa hivi tutegemee Arusha kuwa ndio jiji la pili kwa ukubwa Mwanza inakuja kupitwa na Dodoma itanikera sana.
 
Wana JF

Sina lengo laku pambanisha Mwanza Vs Arusha ila kiukweli Nashindwa kuelewa nini kimeisibu Mwanza.

Mwaka 2002 Nikiwa shuleni Mwanza nilijiona kama nipo Dar ndogo

Mwanza ilikuwa moto
Mambo yalikwenda faster mji ulikua unakua kwa kasi sana

Nilikuwa nikiamini kufikia 2015 jiji la Mwanza litakuwa Lamfano kwa ukuaji wake

Cha ajabu na kushangaza Arusha ndio inakuja faster Huku Mwanza ikidorola kama mtoto mwenye utapia mlo
Kulikoni !!

Tatizo nini Mwanza!?
Kama kuongozwa imeongozwa na CDM muda mzuri tu kwanini Haipai kwa kasi ilee!!!?


Nashindwa hata kulinganisha MWANZA VS ARUSHA

Maana Arusha kwasasa ipo moto vibaya

Kama hali itaendelea kuwa hivi
Tutegemee Arusha kuwa ndio jiji la pili kwa ukubwa
Mwanza inakuja kupitwa na Dodoma Itanikera sana
Sasa kama Mameya walikuwa Mabula na Matata , unategemea nini ?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom