Mwanza inarudi nyuma huku Arusha ikiendelea

Mwanza inarudi nyuma huku Arusha ikiendelea

Have your Spanish Home at Arusha..
SAM_2802.jpg
Wamesepa asee
 
This Home gives you a double view of Mount Kilimanjaro and Mount Meru.. Rented at $ 800 per day... I mean per day.. Ina uwanja wa gold wenye mashimo 18
SAM_0684.jpg
 
Akina ngosha wameshindwa kujitetea au? Ngoja niwasaidie,kila mji una mandhari yake ya asili,mandhari ya mwanza ni mawe ya viliman na ziwa,walichokosea ni kuacha watu wajenge kwenye virima tena maskini imeharibu sana taswira ya jiji.Mwanza ni mji wa mawe na mchanga naturally hakuna haja ya pavements wala garden kule milimani.Lakini kuna maeneo ya tambarare kiasi kule buhongwa,igoma,nanenane,SAUT etc waweke picha za maeneo hayo mbona yako vizuri ili kunogesha ligi
 
Alafu sio sahihi kusema eti urban area ya mwanza ina wakaazi 3million,hapana ina about 1.4 milion people
 
Alafu sio sahihi kusema eti urban area ya mwanza ina wakaazi 3million,hapana ina about 1.4 milion people
Basi Urban ya Arusha pia ina watu laki 3 tu... Still Mwanza is 4 times populated than Arusha..
 
Makazi ya watu yanahakisi kwa kiasi kikubwa hali ya uchumi katika mji na hali ya uchumi wa mtu mmoja mmoja kwenye eneo husika.. Kuanzia leo mkome kuifananisha Arusha na Mwanza, tena mkome kabisa..

Arusha imeizidi Mwanza kila kitu tena kwa mbali sana... Kuanzia uchumi wa mmoja mmoja mpaka uchumi wa mji, kuanzia makazi bora ya watu mpaka huduma za kijamii kama shule, hospitali na sehemu za starehe.. Huitaji shule kujua Mkoa wenye watu Laki 8 kuuzidi kwa mbali sana kwenye ukusanyaji wa kodi mkoa wenye watu million 3.. Tena sio kuuzidi tu, Arusha imeizidi Mwanza mara mbili kwenye makusanyo ya kodi hii ina maana mzunguko wa pesa Arusha ni mara mbili ya mzunguko wa Mwanza.. Mwanza mtapitwa na Mbeya na Mtwara siku si nyingi..
 
Mkuu wa chuo kaenda wap?
Nipo tu naangalia jamaa yako anaweka Makazi ya watu sijui ni watu wa type gani anawaongelea, mi nilidhani ataweka makazi ya watu Mianzini, Ngulelo, Mbauda, Kimandolu, Kijenge au Majengo huko...


Anaweka apartments halafu anasema hayo ndio makazi ya watu wote huku...

Sasa mi nabaki kucheka tu...
 
Hahahaha...wakija arusha waombe tuwatembeze sio wanaishia mianzini alaf wanakuja kupiga kelele huku.
Eti mtu yuko busy kuponda Sekei alafu anakaa Mwanza hahahahaha.. Yeye kule Milimani haoni hali ilivyo mbaya mpaka mawe yanawaporomokea wanapoteza maisha
 
Nipo tu naangalia jamaa yako anaweka Makazi ya watu sijui ni watu wa type gani anawaongelea, mi nilidhani ataweka makazi ya watu Mianzini, Ngulelo, Mbauda, Kimandolu, Kijenge au Majengo huko...


Anaweka apartments halafu anasema hayo ndio makazi ya watu wote huku...

Sasa mi nabaki kucheka tu...
Nimeweka nyumba za watu kwenye makazi tofauti kuanzia Njiro, Uzunguni, Sakina, Sanawari, Burka, Moshono mpaka USA River...

Wewe weka hizo za Ngulelo na Kijenge alafu ufananishe na nyie 70% ya maskini mnaoishi na mawe kama kima huko milimani... Vyoo hamna mnakunya ziwani, maji hakuna mnafulia maji mnayonyea ziwani.. Mtu akiumwa mnapiga filimbi watu waje kumbeba maana ambulance haifiki huko maskini 70% wanakoishi..

Hakuna mji usio na makazi ya watu wa hali ya chini... Dar kuna Tandale, Mbagala, Manzese, Temeke, Buguruni, Kigogo, Mburahati lakini Dar ndio Capital City yako... Huko unakosema tuweke picha weka wewe alafu ulinganishe na huko maskini mnakoishi huko milimani..
 
Back
Top Bottom