Mwanza inarudi nyuma huku Arusha ikiendelea

Mwanza inarudi nyuma huku Arusha ikiendelea

Mkuu wangu umeleta Argument nzuri sana na mwishowe umeingia kingi mwenyewe.. Ile mikoa ambayo ilitajwa kwenye Human Development Index ikiongoza kwa Per Capita Income ndio hata hapa imetajwa pia.. Ile mikoa iliyotajwa kuwa inaongoza kwenye ile report iliyotolewa na UNDP pia inadhibitishwa hapa...

Soma vizuri wakati Arusha per capita ikiwa 2.1 million Mwanza ni 1.7 million... Mikoa inayoongoza hapa ni Dar, Arusha, Kilimanjaro, Iringa, Ruvuma na Mbeya ndio ina Million 2 na kuendelea... Hii PDF umeitoa mwenyewe mkuu...

View attachment 347279
Mi naongelea GDP hiyo uliyoweka ipo ukurasa wa ngapi...?! Kwenye ile report niliyokutumia...?!

Umeangalia ule ukurasa wa 45 niliokwambia mi siongelei HDI, mi naongelea katika kuchangia pato la Taifa...

Anzia ukurasa wa 45 ndio uende mpaka huko 52 ambapo ndionaona hilo jedwali...
 
Mkuu wangu umeleta Argument nzuri sana na mwishowe umeingia kingi mwenyewe.. Ile mikoa ambayo ilitajwa kwenye Human Development Index ikiongoza kwa Per Capita Income ndio hata hapa imetajwa pia.. Ile mikoa iliyotajwa kuwa inaongoza kwenye ile report iliyotolewa na UNDP pia inadhibitishwa hapa...

Soma vizuri wakati Arusha per capita ikiwa 2.1 million Mwanza ni 1.7 million... Mikoa inayoongoza hapa ni Dar, Arusha, Kilimanjaro, Iringa, Ruvuma na Mbeya ndio ina Million 2 na kuendelea... Hii PDF umeitoa mwenyewe mkuu...

View attachment 347279
Fungua ukurasa wa 43 wa hiyo report kuna title ya Regions with Largest shares of GDP, hapo kuna mikoa miwili tu ambayo ni Dar es salaam na Mwanza anzia kusoma hapo ushuke chini mpaka kule unapotaka, uelewe vizuri...
abf9d756b90f5781d01dd5df033c57a9.jpg
 
Mi naongelea GDP hiyo uliyoweka ipo ukurasa wa ngapi...?! Kwenye ile report niliyokutumia...?!

Umeangalia ule ukurasa wa 45 niliokwambia mi siongelei HDI, mi naongelea katika kuchangia pato la Taifa...

Anzia ukurasa wa 45 ndio uende mpaka huko 52 ambapo ndionaona hilo jedwali...

GDP per capita based on current price hii ndio inakubalika kiuchumi na ipo ukurasa wa 47 hapo.. Hiyo unayotaka wewe iwe haipo sababu there is no way GDP ya Dar iwe Million 13 na Mwanza iwe Million 7.. Soma GDP per capita based on current prices ndio utapata GDP za kibongo ambazo average yake ni million 1.7 kama the whole country GDP per capita.. Kama umepitia darasa la uchumi utakuwa umelewa
 
kilimanjaro inaongoza kwa kuwa na watoto mazezeta na tanga kuongoza kwa uchawi huo utafiti umefanywa na nani? ni maneno ya kipuuzi tu ya kuwapaka matope watu na kuwagawa

Sio Tanga, ni Kilimanjaro ndiyo inaongoza kwa uchawi na yenye idadi kubwa ya watoto mazezeta kwani ni uongo?
 
GDP per capita based on current price hii ndio inakubalika kiuchumi na ipo ukurasa wa 47 hapo.. Hiyo unayotaka wewe iwe haipo sababu there is no way GDP ya Dar iwe Million 13 na Mwanza iwe Million 7.. Soma GDP per capita based on current prices ndio utapata GDP za kibongo ambazo average yake ni million 1.7 kama the whole country GDP per capita.. Kama umepitia darasa la uchumi utakuwa umelewa
Kwa hiyo hiyo report wamedanganya ama sijakuelewa...?!

Hebu nikuulize inakuwa vipi Mwanza iwe second largest city badala ya Arusha...?!

Au inakuwa vipi Mwanza iwe na Manispaa mbili zinazounda jiji...?! Tofauti na Arusha...
 
Mimi nawafatilia kwa makini Sana, ntakuja kukonclude mwisho, hapa wanaume WA Dar wanashangaa Tu hawana comments
 
Fungua ukurasa wa 43 wa hiyo report kuna title ya Regions with Largest shares of GDP, hapo kuna mikoa miwili tu ambayo ni Dar es salaam na Mwanza anzia kusoma hapo ushuke chini mpaka kule unapotaka, uelewe vizuri...
abf9d756b90f5781d01dd5df033c57a9.jpg

Mkuu unataka tuongelee GDP au GDP per capita?? Kama ni GDP hata Shinyanga yenye gold inaweza ikaipiku kwa mbali sana Ruvuma ila ukija kwenye utoaji kodi na GDP per capita ya Ruvuma na Shinyanga data zinasema Ruvuma iko mbele sana ya Shinyanga ambayo iko mkiani..

Labda nikufafanulie tu, uchumi wa Ruvuma, Arusha, Kilimanjaro uko diversified kuliko Shinyanga au Mwanza ambako wachache ndio ufaidi.. Mfano Shinyanga wanauvuna pesa hapo ni makampuni ya kibepari na kuwaachia mashimo wakazi wa hapa wakati Arusha kuna wakazi kibao wanamiliki mashimo na wengine wanafaidika na biashara ya Tanzanite.. Nilisoma report ya BOT 2013/14 inasema Tanzanite iliyovunwa nchini kwa mwaka juzi pekee ni Kilogram elfu 14.. Kilo moja ya Tanzanite ni Billion 1 ya Kitanzania sasa piga Kilo 14,000 ni pesa ngapi wakati Gold iliyovunwa nchini kwa ujumla ni Kilo elfu 40.. Kilo moja ya gold ni Million 50 mpaka 60 tu.. Na hiyo ndio sababu hata kodi inayokusanywa Arusha ni kubwa kuliko huko Mwanza..
 
Kwa hiyo hiyo report wamedanganya ama sijakuelewa...?!

Hebu nikuulize inakuwa vipi Mwanza iwe second largest city badala ya Arusha...?!

Au inakuwa vipi Mwanza iwe na Manispaa mbili zinazounda jiji...?! Tofauti na Arusha...

Umesoma uchumi mkuu?? Kama hujasoma kubali nikueleweshe tu.. Hiyo niliyokuwekea ni ukurasa 47 ya hiyo hiyo report yako kutoka NBS
 
Nijibu hayo maswali mengine wakati nikiendelea kusoma hiyo report...

Kwani kuna uhusiano gani kati ya ukubwa wa mji na maendeleo ya mji?? Kuna uhusiano gani kati ya uwingi wa watu katika mji na maendeleo yake?? Unajua ukubwa wa nchi kama UK na mikoa yake ukilinganisha na Tanzania??

Kama mna Manispaa sijui mbili na second largest (not developed) kwanini kodi mnazidiwa na Arusha kwenye takwimu za kiuchumi kuanzia ukusanyaji wa kodi, maendeleo ya wakazi n.k
 
Kwani kuna uhusiano gani kati ya ukubwa wa mji na maendeleo ya mji?? Kuna uhusiano gani kati ya uwingi wa watu katika mji na maendeleo yake?? Unajua ukubwa wa nchi kama UK na mikoa yake ukilinganisha na Tanzania??

Kama mna Manispaa sijui mbili na second largest (not developed) kwanini kodi mnazidiwa na Arusha kwenye takwimu za kiuchumi kuanzia ukusanyaji wa kodi, maendeleo ya wakazi n.k
Maendeleo ya mji ndio yanafanya mji kutanuka na kuwa mkubwa na hapa hatuongelei ukubwa wa kieneo, ingekuwa ni hivyo basi Tabora ingekuwa ni jiji maana ina eneo kubwa tu, Dar es salaam ina eneo dogo kupita mikoa yote lakini ndio jiji kubwa...

Mimi hapa nipo naishi Arusha sasa usidhani ya kwamba napiga ligi tu, tunaongelea fact...
 
Sioni tija ya kugombania miji, tutafute pesa tu
Kuna kitu hamjaki mention hapa!! Huko kote mnakobishania kuwa na maendeleo kuna mtu au watu wameyafanikisha!! Na huyo mtu/watu basi si wengine bali Ni WACHAGGA!! Nani kama mchagga nchi hii?
Let's discriminate the discrimination.
 
Maendeleo ya mji ndio yanafanya mji kutanuka na kuwa mkubwa na hapa hatuongelei ukubwa wa kieneo, ingekuwa ni hivyo basi Tabora ingekuwa ni jiji maana ina eneo kubwa tu, Dar es salaam ina eneo dogo kupita mikoa yote lakini ndio jiji kubwa...

Mimi hapa nipo naishi Arusha sasa usidhani ya kwamba napiga ligi tu, tunaongelea fact...
Huishi Arusha wewe
 
Watp="Kirikou Wa Kwanza, post: 16184699, member: 145764"]Sio Tanga, ni Kilimanjaro ndiyo inaongoza kwa uchawi na yenye idadi kubwa ya watoto mazezeta kwani ni uongo?[/QUOTE]
Watoto kama Chakaza
 
Maendeleo ya mji ndio yanafanya mji kutanuka na kuwa mkubwa na hapa hatuongelei ukubwa wa kieneo, ingekuwa ni hivyo basi Tabora ingekuwa ni jiji maana ina eneo kubwa tu, Dar es salaam ina eneo dogo kupita mikoa yote lakini ndio jiji kubwa...

Mimi hapa nipo naishi Arusha sasa usidhani ya kwamba napiga ligi tu, tunaongelea fact...
Mkuu hivi vitu ni uchumi sio tupige porojo zisizo na Msingi... Hakuna Data yeyote ambayo imeiweka Mwanza mbele ya Arusha hata sehemu moja kwenye makabrasha ya serikali... Mwanza bado sana kwa Arusha.. Data ambazo umeleta wewe mwenyewe hapa zimekuumbua pia sababu hata mambo ya kiuchumi sidhani kama unayafahamu kwa undani...

Ile ambayo wewe umeikomalia inasema Per Capita ya Dar 13 M, Mwanza 7 M na mikoa yote iko juu ya 2 M pale hawakutumia current prices kutafuta hizo GDP... Average GDP ya Tanzania ni Tshs. 1.7 M kwa mwaka 2014 na bandiko lako linasema pia; ngoja nikuwekee ni ukurasa wa 44

gdpnn.png


Sasa kwa akili ya kawaida tu unaweza ukachukua hilo jedwali ambalo wewe unaling'ang'ania ukajumlisha zile GDP za mikoa yote ukagawanya kwa idadi ya mikoa ikaleta hiyo 1.7 M???? Jibu ni kwamba haiwezekani... Sasa chukua hili jedwali, jumlisha mikoa yote alafu gawanya kwa idadi uone kama haitakuletea 1.7 M ambayo ndiyo GDP ya kila Mtanzania..

gdp33.png


Hapo Arusha iko mbele sana ya Mwanza, na Kilimanjaro pia iko mbele ya Mwanza... Hizi data umeleta wewe mwenyewe mkuu sijazileta mimi. Ila nikushauri tu, kabla hujaleta mabandiko humu inakupasa kwanza uwe na uelewa nayo lakini pia uyasome kwa makini usikurupuke...

Sasa ukitaka uone haya mambo ni kweli; pitia hii hapa chini ambayo niliiweka kutoka kwenye utafiti wa UNDP kushirikiana na GoT... Linganisha hiyo mikoa iliyotajwa kuwa na GDP per capita kubwa na hiyo mikoa ambayo imetajwa na hiyo uliyoileta utaona mikoa ni ile ile ambayo ni Dar, Iringa, Kilimanjaro, Arusha, Mbeya na Ruvuma...

hdi2.png


HADI HAPA UKIENDELEA KUBISHA BASI UTAKUWA NA MATATIZO YAKO TU.. ILA DATA ZOTE ZIMEIWEKA ARUSHA MBELE YA MWANZA...
 
Mkuu wangu umeleta Argument nzuri sana na mwishowe umeingia kingi mwenyewe.. Ile mikoa ambayo ilitajwa kwenye Human Development Index ikiongoza kwa Per Capita Income ndio hata hapa imetajwa pia.. Ile mikoa iliyotajwa kuwa inaongoza kwenye ile report iliyotolewa na UNDP pia inadhibitishwa hapa...

Soma vizuri wakati Arusha per capita ikiwa 2.1 million Mwanza ni 1.7 million... Mikoa inayoongoza hapa ni Dar, Arusha, Kilimanjaro, Iringa, Ruvuma na Mbeya ndio ina Million 2 na kuendelea... Hii PDF umeitoa mwenyewe mkuu...

View attachment 347279
Haha mbuzi kafia kwa muuza supu
 
Back
Top Bottom