Mwanza inarudi nyuma huku Arusha ikiendelea

Mwanza inarudi nyuma huku Arusha ikiendelea

Haiwezi kuifikia Arusha kivipi!?
Chukulia mfano
Dar iliachwa mbali na Nairobi
Lakini kwa sasa ni vitu vichache sana tumebakiza kuipindua Nairobi

Tuache mzaha Arusha itaipindua Mwanza kwa kasi hii

Iipindue mara ngapi??? Arusha imejengeka zaidi kuliko Mwanza. Zaidi ni beach tu,hakuna lingine
 
Iipindue mara ngapi??? Arusha imejengeka zaidi kuliko Mwanza. Zaidi ni beach tu,hakuna lingine
Mi nawashangaa wengne wametembea arusha juu kwa juu hawajajua plan za mji..uku kuna adi viwanda vya kumodify magari
 
Haha hii ripoti nmeipitia mkuu asa apo ndo kuna ukweli hadi gdp mwanza inapitwa na kilimanjaoro sembuse arusha wanakataa ukweli ee huku level nynge afu hao ni according to un.
Acheni kufurahisha kijiwe kama Kilimanjaro anampita Mwanza kwa GDP tena hata Shinyanga tu mi nakula ndala...

Arusha pia akimzidi Shinyanga kwa GDP kwa data zilizopo mi natafuna kobazi...
 
Acheni kufurahisha kijiwe kama Kilimanjaro anampita Mwanza kwa GDP tena hata Shinyanga tu mi nakula ndala...

Arusha pia akimzidi Shinyanga kwa GDP kwa data zilizopo mi natafuna kobazi...

Data umeshawekewa huko juu wewe endelea kujifurahisha au bishana na data
 
Acheni kufurahisha kijiwe kama Kilimanjaro anampita Mwanza kwa GDP tena hata Shinyanga tu mi nakula ndala...

Arusha pia akimzidi Shinyanga kwa GDP kwa data zilizopo mi natafuna kobazi...
Sasa unabishana na ripoti ya human development aya tupe yako ss tuangalie sio unabisha bisha na data proof.
 
2d35d26b8be09f0034bd9fa975b06d74.jpg

Kennedy house international school arusha
 
Sasa unabishana na ripoti ya human development aya tupe yako ss tuangalie sio unabisha bisha na data proof.
Mi naongelea GDP siongelei HDI, katika kuchangia pato la Taifa, sasa leteni report inayoonyesha Arusha ipo juu hata ya Shinyanga...
 
Naelewa mkuu kama unayo eka apa kwa faida ya wote sio tunabishana vtu havipo mezan
Niliona mtu ameiweka tena ndani ya huu uzi, pia akaweka na post ile ya Zitto akikosoa ile report mnayoifagilia...

Akawa anashangaa Shinyanga ni mkoa ambao upo kwenye ile kumi za mwisho maana hiyo report mnayoifagilia ilitoa mikoa kumi ya kwanza na ya mwisho, Kilimanjaro ilionyesha ni mkoa wa pili baada ya Dar katika hiyo report yenu pendwa...

Sasa Zitto akawa anashangaa inakuwa vipi Shinyanga anayemwacha Kilimanjaro mbali katika GDP anakuwa wa mwisho katika hiyo report katika list ile ya mikoa ya mwisho...

Report ya GDP imewekwa humu, au kama vipi check BoT...
 
Niliona mtu ameiweka tena ndani ya huu uzi, pia akaweka na post ile ya Zitto akikosoa ile report mnayoifagilia...

Akawa anashangaa Shinyanga ni mkoa ambao upo kwenye ile kumi za mwisho maana hiyo report mnayoifagilia ilitoa mikoa kumi ya kwanza na ya mwisho, Kilimanjaro ilionyesha ni mkoa wa pili baada ya Dar katika hiyo report yenu pendwa...

Sasa Zitto akawa anashangaa inakuwa vipi Shinyanga anayemwacha Kilimanjaro mbali katika GDP anakuwa wa mwisho katika hiyo report katika list ile ya mikoa ya mwisho...

Report ya GDP imewekwa humu, au kama vipi check BoT...
Jiongezee mkuu
 
Back
Top Bottom