Mkuu wa chuo
JF-Expert Member
- Feb 3, 2011
- 7,626
- 5,346
wewe upo mtaa upi...?!Huishi Arusha wewe
wewe upo mtaa upi...?!Huishi Arusha wewe
Jamaa analeta vitu ambavyo hivyo hivyo vinamuumbua... Tatizo kuu la Watanzania ni kutokusoma kitu mpaka mwisho akakielewa... Soma post yangu #455 utaelewa vizuri kwamba data huwa hazipingani hata zikikusanywa na mashirika kumi tofauti yenye weledi..Haha mbuzi kafia kwa muuza supu
Zile title za yale majedwali kwani zinasemaje...?! Nimekuletea habari kutoka citizen na website ya Arusha zikielezea kama mimi nilivyokuelezea lakini wewe unakuja na maelezo tofauti inamaana wewe ni mchumi na unaelewa zaidi kupita wote...Mkuu hivi vitu ni uchumi sio tupige porojo zisizo na Msingi... Hakuna Data yeyote ambayo imeiweka Mwanza mbele ya Arusha hata sehemu moja kwenye makabrasha ya serikali... Mwanza bado sana kwa Arusha.. Data ambazo umeleta wewe mwenyewe hapa zimekuumbua pia sababu hata mambo ya kiuchumi sidhani kama unayafahamu kwa undani...
Ile ambayo wewe umeikomalia inasema Per Capita ya Dar 13 M, Mwanza 7 M na mikoa yote iko juu ya 2 M pale hawakutumia current prices kutafuta hizo GDP... Average GDP ya Tanzania ni Tshs. 1.7 M kwa mwaka 2014 na bandiko lako linasema pia; ngoja nikuwekee ni ukurasa wa 44
View attachment 347284
Sasa kwa akili ya kawaida tu unaweza ukachukua hilo jedwali ambalo wewe unaling'ang'ania ukajumlisha zile GDP za mikoa yote ukagawanya kwa idadi ya mikoa ikaleta hiyo 1.7 M???? Jibu ni kwamba haiwezekani... Sasa chukua hili jedwali, jumlisha mikoa yote alafu gawanya kwa idadi uone kama haitakuletea 1.7 M ambayo ndiyo GDP ya kila Mtanzania..
View attachment 347285
Hapo Arusha iko mbele sana ya Mwanza, na Kilimanjaro pia iko mbele ya Mwanza... Hizi data umeleta wewe mwenyewe mkuu sijazileta mimi. Ila nikushauri tu, kabla hujaleta mabandiko humu inakupasa kwanza uwe na uelewa nayo lakini pia uyasome kwa makini usikurupuke...
Sasa ukitaka uone haya mambo ni kweli; pitia hii hapa chini ambayo niliiweka kutoka kwenye utafiti wa UNDP kushirikiana na GoT... Linganisha hiyo mikoa iliyotajwa kuwa na GDP per capita kubwa na hiyo mikoa ambayo imetajwa na hiyo uliyoileta utaona mikoa ni ile ile ambayo ni Dar, Iringa, Kilimanjaro, Mbeya na Ruvuma...
View attachment 347287
HADI HAPA UKIENDELEA KUBISHA BASI UTAKUWA NA MATATIZO YAKO TU.. ILA DATA ZOTE ZIMEIWEKA ARUSHA MBELE YA MWANZA...
Kwahio hizi za Zitto ni uongo?Jamaa analeta vitu ambavyo hivyo hivyo vinamuumbua... Tatizo kuu la Watanzania ni kutokusoma kitu mpaka mwisho akakielewa... Soma post yangu #455 utaelewa vizuri kwamba data huwa hazipingani hata zikikusanywa na mashirika kumi tofauti yenye weledi..
Sjui kasomea wap hesabu aseeJamaa analeta vitu ambavyo hivyo hivyo vinamuumbua... Tatizo kuu la Watanzania ni kutokusoma kitu mpaka mwisho akakielewa... Soma post yangu #455 utaelewa vizuri kwamba data huwa hazipingani hata zikikusanywa na mashirika kumi tofauti yenye weledi..
Zitto ndio nani mkuu?? Tatizo la watanzania ni kuwaamini wanasiasa kwa kila kitu.. Hivi Zitto mnamwona ana elimu sana?? Mbona humu JF kuna watu wana elimu mara 10 ya huyo Zitto??Zile title za yale majedwali kwani zinasemaje...?! Nimekuletea habari kutoka citizen na website ya Arusha zikielezea kama mimi nilivyokuelezea lakini wewe unakuja na maelezo tofauti inamaana wewe ni mchumi na unaelewa zaidi kupita wote...
Lile bandiko la facebook la Zitto Kabwe ameelezea kwa uzuri zaidi na Zitto ni mchumi kuzidi wewe, bado unakataa tu...
Labda nikuulize swali hivi walioipa Mwanza hadhi ya jiji mwaka 2000 walikuwa ni wehu...?! Kwanini ilianza Mwanza na sio Arusha ambapo kwa mujibu wako inaipita kila kitu Mwanza...
Ni shida sana mtu nimemuwekea na takwimu mikoa inayoongoza kuchangia pato la Taifa, anakuja kunipigia hesabu gani hata sijui...
Zitto ni nani hapa Tanzania?? Tuwekee Official data kutoka any known government institution sio kutuwekea maneno ya wanasiasa... I challenge u, go and find those data from any government institution I will award u 1 million T shillings na nisipokupa wanipige ban ya milele hapa JF...
Huna akili na tunaomba ubadilishe hilo jina unalojiita...Ni shida sana mtu nimemuwekea na takwimu mikoa inayoongoza kuchangia pato la Taifa, anakuja kunipigia hesabu gani hata sijui...
[emoji1] [emoji1] [emoji115]Huna akili na tunaomba ubadilishe hilo jina unalojiita...
Huwezi kujiita mkuu wa chuo wakati kichwani ni mweupe..
Labda nikuulize swali hizo data ulizoweka ndio zinaonyesha kuchangia pato la Taifa...?!Zitto ndio nani mkuu?? Tatizo la watanzania ni kuwaamini wanasiasa kwa kila kitu.. Hivi Zitto mnamwona ana elimu sana?? Mbona humu JF kuna watu wana elimu mara 10 ya huyo Zitto??
Umeleta data humu, tena umeleta mwenyewe na bado hizo data zimekuumbua sasa unakimbilia kwa Zitto tena kapost sijui Facebook, dude are u serious on head?? Nilileta data za UN wakishirikiana na GoT zikisema Arusha iko mbele, ukakataa.. Umeleta za kwako kutoka NBS bado nazo zinasema Arusha iko mbele lakini bado unabisha... Sasa unataka tukuelewaje mkuu??
DATA ZA UN ZINASEMA ARUSHA MWAKA 2012 GDP PER CAPITA NI SHILLING 1,300,000 NA MWANZA SHILLING 900,000.... DATA ZA NBS ZINASEMA ARUSHA 2014 NI SHILLING 2,108,357 NA MWANZA NI SHILLING 1,790,731... PINGANA NA HIZO DATA MOJA NILILETA MIMI NA NYINGINE UMELETA WEWE MWENYEWE..
Kasoma wapi... si unaona wanabishana na data wanakimbilia kusema Zitto kasema... teh teh teh teh yaani mtu analeta data mwenyewe alafu anazikataa... Kama uchumi hukusoma ni bora ukae kimya.. Hata GDP inavyotafutwa hujui ila kelele nyingi..Sjui kasomea wap hesabu asee
Hivi wewe si ndiye ulisema Mkapa ndiye alipendelea huko?? Sasa kama na hiyo hadhi mlipewa tu kwa upendeleo unataka tuhoji??Labda nikuulize swali hizo data ulizoweka ndio zinaonyesha kuchangia pato la Taifa...?!
Walioipa Mwanza hadhi ya jiji mwaka 2000 hawakuelewa na wala hawakuona silolote si chochote...?!
Mbele ya Arusha ambayo imeizidi Mwanza kila kitu kwa mujibu wako...
Sina haja ya kuendelea kubishana na wewe ambaye umekalia kuniambia sina akili unawaita watu hawana akili...Huna akili na tunaomba ubadilishe hilo jina unalojiita...
Huwezi kujiita mkuu wa chuo wakati kichwani ni mweupe..
teh teh teh eti mkuu wa chuo anasema Zitto kasema...[emoji1] [emoji1] [emoji115]
Very true ...serikali iwekeze Mtwara bila kusahau kwetu Bukoba ...Mtwara inakuja juu.. Miaka 10 ijayo itakuwa inapambana na haya majiji makubwa hapa nchini...
Ni kweli huna akili na kama unazo basi umeshindwa hoja ila hutaki kukubali... Data ulizoleta wewe mwenyewe zimekuambia wazi Arusha iko mbele ya Mwanza, data nilizoleta zinasema hivyo hivyo.. Hizi data ni za Serikali ila wewe umekimbia unasema Zitto kawaambia sijui Mwanza, sijui Shinyanga... Huyo Zitto yeye ni serikali?? Huo utafiti wa Zitto umetoka wapi??Sina haja ya kuendelea kubishana na wewe ambaye umekalia kuniambia sina akili unawaita watu hawana akili...
Sikusema Mkapa alipendelea huko ila katika awamu yake ya pili alipakumbuka huko aliweka lami akaweka na miundombinu alijitahidi...Hivi wewe si ndiye ulisema Mkapa ndiye alipendelea huko?? Sasa kama na hiyo hadhi mlipewa tu kwa upendeleo unataka tuhoji??
Bishana na data... Acha porojo sijui jiji sijui nini.. Ruvuma sio jiji ila linachangia pato kubwa kuliko Jiji la Tanga na watu wa Ruvuma wanaishi vizuri kuliko hata wa huko jijini Tanga...
Nakushauri kwa argument hizi za kitoto acha kutumia hilo jina.. Honestly nilikuwa naheshimu sana ID hii nikijua ni ya PhD holder mmoja kumbe hakuna kitu kabisa...
Bukoba tangia ile vita mlianguka sana... Ila naona sasa mnaanza kustawi tena.. Kila la heri huko, chapeni kazi, ongezeni na base ya viwanda kutoka Kagera Sugar mkifungua vingine vichache mtapiga hatua sana...Very true ...serikali iweke Mtwara bila kusahau kwetu Bukoba ...
Unamaanisha yule ambae chadema mlipiga kelele kumtetea baada ya kutumbuliwa?Mkurugenzi Wison Kabwe unategemea nini ?