Mwanza inarudi nyuma huku Arusha ikiendelea

Mwanza inarudi nyuma huku Arusha ikiendelea

Kuna mahali naona mikoa yenye maendeleo ni kilimanjaro,arusha,dar ila facebook sidhani kama ni ya kuaminika anyway leta data za mwanza mi nakusanya data za mapato ya arusha sasa hivi nasubiri kujibu.
Usiangalie Fb
Angalia alie leta habari Fb
Na chanzo cha habari

Mwaka 2013 umeikataa
Nimekupa ya 2015
Bado unabisha
Hebu lete zako
 
Sioni tija ya kugombania miji, tutafute pesa tu
 
Huyu mtoa mada hajawa specific maendeleo gan kwanza coz wengne wanasema barabara,kodi,magorofa,mitaa,mall.
 
Usiangalie Fb
Angalia alie leta habari Fb
Na chanzo cha habari

Mwaka 2013 umeikataa
Nimekupa ya 2015
Bado unabisha
Hebu lete zako
Teh!.Wee chalii vipi kwani mashindano lazima ushinde ujue naumia jiji langu nalolipenda linakuwa nyuma kuchangia uchumi wa taifa.Ila sikubali nimegoogle sijaridhika naenda kusaka data benki kuu hapa arusha usintanie kabisa.
 
Teh!.Wee chalii vipi kwani mashindano lazima ushinde ujue naumia jiji langu nalolipenda linakuwa nyuma kuchangia uchumi wa taifa.Ila sikubali nimegoogle sijaridhika naenda kusaka data benki kuu hapa arusha usintanie kabisa.
Hahaha kumbeee [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Ndio hivyo
 
Kinachoifanya Mwanza ishuke sasa ivi. Mwanza biashara nyingi zimeamia Kahama. Mizigo mingi iliyokuwa inakuja na Treni kwenda Bukoba, Uganda na baadhi Kenya aifiki tena mwanza. Meli ya MV Victoria aifanyi kazi vizuri kila siku ni mbovu. Kwa iyo wafanyabiashara wengi wanahamia Kahama. Wafanyabiashara wengi wamehamishia biashara zao kalibia na migodi kwy mizunguko ya pesa.
 
Kinachoifanya Mwanza ishuke sasa ivi. Mwanza biashara nyingi zimeamia Kahama. Mizigo mingi iliyokuwa inakuja na Treni kwenda Bukoba, Uganda na baadhi Kenya aifiki tena mwanza. Meli ya MV Victoria aifanyi kazi vizuri kila siku ni mbovu. Kwa iyo wafanyabiashara wengi wanahamia Kahama. Wafanyabiashara wengi wamehamishia biashara zao kalibia na migodi kwy mizunguko ya pesa.
Kingine ni Viwanda vingi Mwanza kupwaya
Samaki Ziwani hakuna maana mnavua hadi vitoto na mayai
 
Mimi naishi Arusha mwaka wa 7 sasa,Mwanza pia naifahamu vzr.Arusha ni mji wa kawaida sana,huwezi kuulinganisha na Mwanza.Mwanza imeizidi Arusha kwa ukubwa wa mji,Barabara nzuri(Miundombinu),Majengo mazuri,mitaa iliyopangika na inayofikika kiurahisi na pia biashara na popolation pia.Kitu pekee ambacho Arusha imeizidi Mwanza ni hotels,Arusha kuna hotels nyingi zenye hadhi kuzidi Mwanza.Kuh Barabara Arusha imezidiwa hata na Moshi,Arusha hakuna double road hata moja,lkn mwanza wanayo.Pia mitaa ya Arusha mingi haifikiki kirahisi barabara ni mbovu sana na nyumba za miti/udongo ni nyingo sana kwenye maeneo ya jiji kama Unga limited,sanawari,ilboru,kimandol nk.pia Arusha hakuna stend za mabasi makubwa,stend iliyopo sasa ni ndogo sana ni kama stend ya vijimji vidogo kama same au babati.Mwanza ipo juu ya Arusha kwa kila kitu kasoro hotels.
 
Kingine ni Viwanda vingi Mwanza kupwaya
Samaki Ziwani hakuna maana mnavua hadi vitoto na mayai
Nashukulu kwa kunikumbusha apo bwana motochini.
Samaki wapo isipokuwa miaka ya zamani kulikuwa na wazawa wa Kanda ya ziwa ambao ndio walikuwa wanafanya biashara ya uvuvi. Sasa ivi awa waindi ndio Wana Boti kubwa za kuvua alafu wazawa awaruhusiwi kwenda kuvua sehemu ambazo wanamiliki awa waindi na baadhi ya wabongo ambao nao ni vibaraka wa waindi.
Alafu hata samaki ukiwavua anaenunua ni huyu muindi kwa bei ndogo na ndio maana wafanyabiashara wengi wanashindwa. Kingine watanzania wengi wameuawa wakienda kuvua ktk ayo maeneo. Zamani kulikuwa na matajiri pale mwanza na walikuwa wanawekeza pale pale. Lakini waindi wao wanaishi pale kwenye nyumba za NHC. Na wengineo wanawekeza apa Dar es salaam Tanzania. Ndio maana wazawa waliokuwa wanafanya biashara waliamua kukimbilia pale Geita, Kahama, Musoma na bukoba. Izo ndio sbb zilizofanya mwanza irudi nyuma
 
Wana JF

Sina lengo laku pambanisha Mwanza Vs Arusha ila kiukweli nashindwa kuelewa nini kimeisibu Mwanza.

Mwaka 2002 Nikiwa shuleni Mwanza nilijiona kama nipo Dar ndogo.Mwanza ilikuwa motoMambo yalikwenda faster mji ulikua unakua kwa kasi sana

Nilikuwa nikiamini kufikia 2015 jiji la Mwanza litakuwa la mfano kwa ukuaji wake cha ajabu na kushangaza Arusha ndio inakuja faster huku Mwanza ikidorola kama mtoto mwenye utapia mlo kulikoni.

Tatizo nini Mwanza?Kama kuongozwa imeongozwa na CDM muda mzuri tu kwanini Haipai kwa kasi ilee!?

Nashindwa hata kulinganisha Mwanza VS Arusha maana Arusha kwasasa ipo moto vibaya kama hali itaendelea kuwa hivi tutegemee Arusha kuwa ndio jiji la pili kwa ukubwa Mwanza inakuja kupitwa na Dodoma itanikera sana.

Huo mwaka 2002 Mza ilikuwa hot kwenye nini? Kwa kiwango gani?

Hayo mambo yaliyokuwa yanaenda faster ni yepi? Faster kuliko ya wapi? Kwa utofauti wa kiwango kipi?

Yawezekana ulii-overrate Mwanza sababu ya hisia tu na sasa unafanya hivyo hivyo kwa Arusha sababu hujaweka bayana ni kipi hasa kimekufanya uje na hiyo conclusion.

Huwezi kueleza kitu/jambo ukaeleweka kwa watu wenye akili timamu mpaka uweke tarakimu.


Where're the figures???
 
Kumbe wakati mwingine huwa una akili eeeh.

mie akili iko muda wote, kwa id yako tu nina uhakika 'ule wa kukaya gete' lakin tatizo lako 'uli na masala mado, bongo bugehu gete' tafauti kabisa sie wenzako.
 
Arusha ndo habari ya mjini miaka michache ijayo itakua next level..
1463129807321.jpg
1463129820364.jpg
1463129832610.jpg
1463129876610.jpg
1463129900474.jpg
1463129913429.jpg
1463129931499.jpg
1463129949122.jpg
1463129964580.jpg
1463129985794.jpg
 
Back
Top Bottom