Mwanza inarudi nyuma huku Arusha ikiendelea

Mwanza inarudi nyuma huku Arusha ikiendelea

Anaeona ona Arusha panamfaa afanye kwenda mi mtanikutaga Mwanza
 
Paka sasa naishi mwanza ila mwanza aina uzuri wa arusha mwanza ni kubwa sawa ila ina uswazi nyingi sana kirumba mabatini igogo igoma uhuru etc
Kwani za arusha hatuzijui?ziko umbali wa 1.5km from CBD.eg mianzini
 
Fast jet inaenda Mwanza mara 5 kwa siku kutoka Dar es salaam..
Asubuhi saa 12
Saa 5
Saa 8
Saa 11
Saa 2 usiku
Je ni mkoa gani Tanzania ndege kubwaa zaidi inafanya safari zake mara 5 kwa siku alafu ndege inajaa? shkamoo Mwanza

Wanaopanda fastjet ya Mwanza sio wote wanaenda Mwanza.. Kuna wanaoenda Kagera, Mara, Shinyanga, Geita na Tabora.. Wote hawa wanashuka Mwanza ndio wanaonganisha kwa mabasi
 
Back
Top Bottom