Mwanza inarudi nyuma huku Arusha ikiendelea

Mwanza inarudi nyuma huku Arusha ikiendelea

Mwanza tafuteni size yenu mbishane... Huo mji wenyewe mmejengewa na Mkapa kama wenyewe mlivyosema.. Arusha imejengwa na inajengwa na wazawa... Someni hapo ili iwaume zaidi..

hdi3.png
 
Makusanyo ya kodi TRA 2013/14
1. Mikoa Dar (1,100 bilioni), Arusha (242 bilioni), Kilimanjaro (100 bilioni), Tanga (83 bilioni), Mbeya (68 Bilioni), Mwanza (117 bilioni).

Regional Tax Statistics
Millions TShs.
REGION (TZ Mainland)2002/032013/14

Large Taxpayer 4,491,991.0
Ilala (Previously DSM) 643,856.9
Kinondoni 365,770.7
Temeke 159,231.5
DSM Service Centre 3,158,744.8
JNIA 110,895.9
Arusha 242,054.6
Coast 14,853.5
Dodoma 28,368.1
Iringa 35,830.6
Kagera 27,239.9
Kigoma 9,168.6
Kilimanjaro 100,922.2
Lindi 4,992.4
Mara 75,537.7
Mbeya 68,332.9
Morogoro 39,080.3
Mtwara 41,923.5
Mwanza 117,691.1
Ruvuma 7,084.2
Shinyanga 17,699.0
Singida 4,166.4
Tabora 15,468.3
Tanga 83,084.7
Rukwa 6,334.0
Manyara 8,408.5
Total (GROSS)9,878,731.4
Less Refunds (VAT & Others) 520,326.8
Net collections9,358,404.5
Add:Treasury Vouchers & Other Non-targets 24,642.1
Total TRA Mainland9,383,046.7
REGION (Zanzibar)2002/032013/14

TRA Zanizbar 136,690.8
 
Kuna biashara kubwa ambazo aziwanufaishi wananchi wa eneo husika moja kwa moja. Na upelekea maendeleo ya eneo husika kuwa na umasikini mkubwa, mfano mzuri
1. Migodi na mbuga za wanyama
Sehemu kama za Migodi na mbuga za wanyama watu wanaozunguka Wana umasikini wa hatari kwa iyo sio kana kwamba sehemu inavyokuwa na ivyo vitu kwamba watu wake wapo vizuri. Unakaa karibu na mbuga ya wanyama ujawai kumuona Kifaru au chui {Leopard}. Tena nikizungumzia chui watu wanafikiria wale duma. Chui ni mnyama tofauti na duma, ingawa watu wengi wanawachanganya. Kwa iyo sehemu nyingi zenye Vitega uchumi akuna maendeleo yoyote
 
Tatizo hamjaitembelea vizuri hii miji.kwa Mara ya kwanza nafika arusha niliiona ni kubwa kuliko mwz.ila nilipouzoea mji nikakata mitaa kutoka chekelen mpaka town.kutoka pale leopard round about kwenda njiro.kutoka town kwenda uwanja wa ndege na kutoka town kwenda usa river.arusha inakuwa ndogo sana kwa mwanza.arusha sehem ya uzungun ni njiro.na majengo yake nikama isamilo mwz.hawana sehem kama capripoint ya mwz.mwenye udhibitisho aseme.mwanza pande zote ni uzunguni njoo bwiru.nendà busweru.nenda Nyamongoro nenda ilemela upande wa malaika beach.nenda mwananchi huko kote ni sehem za kishefa tu.sio arusha.pili idadi ya watu.3 ni mzunguko wa pesa wa mwz ni mkubwa.4 ni kimagorofa tunagorofa ndefu kuliko arusha .Ghorofa 18 lipo capripoint.5 tuna mill kubwa east Africa nzima.6 tunamasoko makubwa kuliko arusha.kina changanya watu ni ukubwa wa center ya mji arusha ni tambalale na kubwa na inamagholofa mengi ila mwanza center ya mji ni ndogo kulingana na kubanwa na milima na maghorofa in machache..HK Ndio kinachowasumbua wengi.mwanza kieneo in kubwa sana sehem za makazi kuliko arusha na hatuna mashamba mjin.ila arusha ina misitu na mashamba yanayoiongezea kuitanua arusha bila watu kujua.mwz ni majumba kuanzia unapoingia mpaka unatoka.karibun sana mwz
Sasa apo ndo umetembea arusha yote?
 


mtapiga kelele za Aina zote hamtabadilisha ile Maana, kwamba mwanza is the second biggest
in tz, wengine mtasubiri Sana.

hypo juu Ni jengo litakaloanzwa kujengwa mwaka huu maeneo ya nyakato.
 
  • Thanks
Reactions: nao
Wasiwasi wako tu, wala haziwagawi watu kikanda. Labda tukisema, zamani Tanga kulikuwa na ushirikina sana, lakini leo Kilimanjaro mkoa wa wasomi ndiyo unaongoza kwa ushirikina na kuwa na watoto mazezeta. Ni nini kimeisibu Kilimanjaro? Hivi maneno haya yana nguvu gani ya kuwagawa watu kikanda wakati nd'o ukweli.
kilimanjaro inaongoza kwa kuwa na watoto mazezeta na tanga kuongoza kwa uchawi huo utafiti umefanywa na nani? ni maneno ya kipuuzi tu ya kuwapaka matope watu na kuwagawa
 
kilimanjaro inaongoza kwa kuwa na watoto mazezeta na tanga kuongoza kwa uchawi huo utafiti umefanywa na nani? ni maneno ya kipuuzi tu ya kuwapaka matope watu na kuwagawa
Hahahaha...unataka tulete majengo yote yatakayoanza kujengwa si mtakimbia weka picha za vitu vilivopo na ambavyo ujenzi unaendelea sahivi hayo mengine tukisema tuanze league hapa mtakimbia.
 
mkuu naona unawapa taarifa documented na verified, sio picha , matusi na blah blah
Haha hii ripoti nmeipitia mkuu asa apo ndo kuna ukweli hadi gdp mwanza inapitwa na kilimanjaoro sembuse arusha wanakataa ukweli ee huku level nynge afu hao ni according to un.
 
Haha hii ripoti nmeipitia mkuu asa apo ndo kuna ukweli hadi gdp mwanza inapitwa na kilimanjaoro sembuse arusha wanakataa ukweli ee huku level nynge afu hao ni according to un.
wanabishana kwa mihemko zaidi kuliko reason, hawa wana ego kubwa inawasumbua
 
Hahahaha...unataka tulete majengo yote yatakayoanza kujengwa si mtakimbia weka picha za vitu vilivopo na ambavyo ujenzi unaendelea sahivi hayo mengine tukisema tuanze league hapa mtakimbia.
nahisi umekosea kuni quote mkuu
 
Back
Top Bottom