Mwanza inarudi nyuma huku Arusha ikiendelea

Mwanza inarudi nyuma huku Arusha ikiendelea

Tanga ni mji wa Kiswahili ni mchafu hatari! Ktktk ya Mji kuna nyumba za Makuti!

Sijui kigezo gani kilitumika kuita Tanga jiji
 
Hivi arusha gani inayosifiwa hapa? Sijaona jiji lenye miundo mbinu mibovu kuzidi arusha, mji hauna hata stand ya maana, Pale mjini stand ya daladala ya hovyo mno hata lami tu wameshindwa kuweka, nenda njia za mitaani sasa huko, ngusero, sombetini, daraja 2,majengo, mbauda, mitaa iko hovyo kama una gari ni speed 10 mwisho ukienda zaidi unavunja gari kama biscuit,mji wa arusha ni mji wa hovyo mno, Arusha Jina ni kubwa kuzidi mji ulivyo

Arusha stand ya vifodi haina rami?? Aya tafuta wajinga wenzako wa kuwadanganya.. Hivi Dar kule Kimara, Sinza, Kinondoni, Mbagala, Temeke huko Mitaani utathubutu kukimbiza gari?? Katika mtu aliyekuja na argument ya kitoto kabisa basi ni wewe
 
Mbeya usiingize huku maana hamna kitu...eti watu wa arusha ni washamba...unataka uwalinganishe watu wa arusha na mbeya unaanzia wapi..arusha utalii arusha kuna muingiliano wa watu wa mataifa mbalimbali huo ushamba utoke wapi..kwanza hujawahi kufika arusha so ni vema upige kimya.


ni kweli huwezi mfananisha Masai au muarusha na Mnyakyusa , ni sawa na mbingu na ardhi. Hata saivi naandika nipo Arusha ilihali wewe utakuwa umekimbilia mataa ya Dar
 
ni kweli huwezi mfananisha Masai au muarusha na Mnyakyusa , ni sawa na mbingu na ardhi. Hata saivi naandika nipo Arusha ilihali wewe utakuwa umekimbilia mataa ya Dar
Tunaongelea jijj la arusha hatuongelei mkoa wa arusha...nani amakuambia hapa mjini ni wamasai na wa arusha pekee ndo wanaishi apa...apa kuna muingiliano wa makabila sio ya tz tu hadi ya nchi nyingine kutokana na utalii,usilete ubishi wa mambo ambayo yapo wazi
 
pia hilo swali muulize Mlumumba mwenzio chadema wanahusika vipi kudumaa Kwa mji wa Mwanza kama anavyosema

Toa siasa weka uhalisia,
kwanza mie sio mwanalumumba
ukuaji wa mji mwanasiasa mmoja atasifiwaje?
kwa sasa kwa kuwa wameshika jiji wanaweza wakawa na nafasi ila watakaochukua sifa ni baraza la madiwani na sio mtu mmoja.
 
Back
Top Bottom