True, sijaona ukuaji wowote, kila kitu kiko vile vile tu.Kwani kuna lipi Arusha
Mpaka kuidharau Mwanza!?
Arusha hakuna lolote mji wenyewe kilometa 1 za mraba
Mwanza level nyingine bwana
Arusha imeizidi mwanza kwenye suala la ukeketajiKwani kuna lipi Arusha
Mpaka kuidharau Mwanza!?
Arusha hakuna lolote mji wenyewe kilometa 1 za mraba
Mwanza level nyingine bwana
Haiwezi kuifikia Arusha kivipi!?Acha ije fasta mkuu lakini haiwezi kufikia Mwanza.
Kwani ni ipi ambayo ilikuja kasi...?!Haiwezi kuifikia Arusha kivipi!?
Chukulia mfano
Dar iliachwa mbali na Nairobi
Lakini kwa sasa ni vitu vichache sana tumebakiza kuipindua Nairobi
Tuache mzaha Arusha itaipindua Mwanza kwa kasi hii
Mwoneni huja jamani! Tatizo siyo udogo nadhani umesha nielewa!Kwani kuna lipi Arusha
Mpaka kuidharau Mwanza!?
Arusha hakuna lolote mji wenyewe kilometa 1 za mraba
Mwanza level nyingine bwana
We jamaa naona unatumia nguvu nyingi sana kupigana na ukweli! wew umesema kama wakiondoa ofisi za kimataifa! je na mim nikipendekeza baadhi ya vitu viondolewe Mwanza si itabaki kama gofu au kakijiji?!Ukiondoa ofisi za kimataifa, kuna umaarufu gani mwingine?
We jamaa naona unatumia nguvu nyingi sana kupigana na ukweli! wew umesema kama wakiondoa ofisi za kimataifa! je na mim nikipendekeza baadhi ya vitu viondolewe Mwanza si itabaki kama gofu au kakijiji?!Ukiondoa ofisi za kimataifa, kuna umaarufu gani mwingine?