Mwanza inarudi nyuma huku Arusha ikiendelea

Mwanza inarudi nyuma huku Arusha ikiendelea

kwahiyo lift ndo kipimo cha kukua Kwa jiji? kuna miji kibao Ulaya majengo mwisho ghorofa tatu au nne na imepangika vizuri.....Arusha bado sana halafu watu pia bado ni washamba kweli huwezi tofautisha yupi mmasai na yupi si mmasai ndo maana mnakimbia mji wenu tofauti na watu wa Mbeya na mwanza . Yaani watu wa Arusha wanashobokea Dar kama Paris vile
Umenena mkuu
 
MOTOCHINI unapenda league brother...

Yote kwa yote,sisi NI watanzania na tunapaswa kujivunia sehemu zote za nchi yetu na ndio maana logo zetu hazijali ukanda ambao wanajamii forum mnajitahidi kuupalilia...

Haya bhana ila southern collidor ndo inakua kwa kasi kwa sasa maana miundombinu imeboreshwa...
Kwangu mimi ,miji ambayo ninaijua inakua kwa kasi ni mtwara,kahama na dodoma.....
HII NI FURSA YA KUPAJUA WAPI PA KUWEKEZA PESA YAKO NA SI KUSHABIKIA JUHUDI ZA WENZIO HUKU WEWE UKIWA MWANAJESHI WA MTANDAONI........
 
Mwanza imeanza kurudi kwenye Mstari baada ya kupiga mark time kwa miaka MITANO.... Niliamia MWANZA mwaka 2005..kwa ukweli mambo yalikuwa MPWITO MPWITO.... kama mnakumbuka miaka hiyo Arusha na Tanga Zilipokwa hadhi ya kuitwa jiji...TZ kukawa na MAJIJI MAWILI ...Dar and Rocky CITY..... katika kasi ya ukuaji na kuanza kumalizika majengo mazuri pale mjini....NSSF na PPF pamoja na miradi Mikubwa kama ya KISEKE ESTATE...Shetani akawaingia wana Mwanza....wakafanya mabadiliko....wakalikabidhi JIJI kwa Wachumia MATUMBO kutoka Kaskazini na yule jamaa mwingine WANJA....Duuh retardation kubwa ikafanyika kuanzia 2010 mpaka 2014....Kuanzia 2015 mambo yameanza kuwa MPITWO MPITWO.... ROCKY CITY imeanza kurudi kwenye ubora wake....asante sana CHAMA KUBWA kwa kazi mlioianza..... WANANZENGO hawatarudia TENA MAKOSA!
Wewe umeongea ukweli bila kuficha
Mwanza ilikuwa na kasi nzuri sana
Lakini hapa karibuni imepwaya
 
Shida ya MOTOCHINI ni ukereketwa wa kujaribu kuiangalia CDM wamefanya nini. Uwezo mdogo wa kufikiri
Kwahio Mimi hapo nimeipinga CDM au !
Maana nimeisifia Arusha kule kwa wana CDM

Ndugu wacha chuki
 
Sasa humu jf anakujua nani mpaka ushindane nae!Kama unapenda ushindani wafate wapangaji wenzako muwe mnashindana nani atatupa sana maganda ya mayai na mabox ya maziwa kila siku kwenye shimo lenu la taka
Kwa hiyo unapiga kelele humu kuwa Arusha iko juu ya Mwanza kisa hujulikani?
 
Mbeya usiingize huku maana hamna kitu...eti watu wa arusha ni washamba...unataka uwalinganishe watu wa arusha na mbeya unaanzia wapi..arusha utalii arusha kuna muingiliano wa watu wa mataifa mbalimbali huo ushamba utoke wapi..kwanza hujawahi kufika arusha so ni vema upige kimya.
Hehehe mbeya wanajivunia
Kuona watu wa Zambia
 
MOTOCHINI unapenda league brother...

Yote kwa yote,sisi NI watanzania na tunapaswa kujivunia sehemu zote za nchi yetu na ndio maana logo zetu hazijali ukanda ambao wanajamii forum mnajitahidi kuupalilia...

Haya bhana ila southern collidor ndo inakua kwa kasi kwa sasa maana miundombinu imeboreshwa...
Kwangu mimi ,miji ambayo ninaijua inakua kwa kasi ni mtwara,kahama na dodoma.....
HII NI FURSA YA KUPAJUA WAPI PA KUWEKEZA PESA YAKO NA SI KUSHABIKIA JUHUDI ZA WENZIO HUKU WEWE UKIWA MWANAJESHI WA MTANDAONI........
Mkuu naskia na mikoa ya kusini pia inakuja vzur kama lindi ,mtwara is it true...?
 
Sasa humu jf anakujua nani mpaka ushindane nae!Kama unapenda ushindani wafate wapangaji wenzako muwe mnashindana nani atatupa sana maganda ya mayai na mabox ya maziwa kila siku kwenye shimo lenu la taka
Hahaha unajuaje kama kapanga?
 
Wa kupongezwa na Spora liana aliyewezesha mapato kukua...sio lema aliyesababisha fujo...hadi leo tunamdai hospitali ya mama na mtoto
Lema juzi ameanza kuongea ya maana japo
Bado anachanhanya na Viroba humohumo
 
Sio kweli labda upambanishe Arusha na Tanga. Mwanza inakua kila siku.
Hata kwa Tanga bado. Kamji ka Arusha ni kadogo sana. Naona watu wanachanganywa na hivyo vimajengo viwili vitatu vya mahoteli! Alafu huenda hao wanaoandika hawajatembea vizuri miji ya watu. Tanga eneo la mji ni kubwa na limepangiliwa vizuri. Kuna gardens za kupumzika,etc vitu ambavyo Arusha hakuna. Alafu Chuga uswahilini sana
 
Hakuna aliyepaniki braza ni katika harakati za kutetea jiji langu pendwa la arusha.Huyu motochini kimeo kweli sijui hana kazi za kufanya eti mwanza imeizidi arusha.
Hehehe una chuki na mimi
 
MOTOCHINI unapenda league brother...

Yote kwa yote,sisi NI watanzania na tunapaswa kujivunia sehemu zote za nchi yetu na ndio maana logo zetu hazijali ukanda ambao wanajamii forum mnajitahidi kuupalilia...

Haya bhana ila southern collidor ndo inakua kwa kasi kwa sasa maana miundombinu imeboreshwa...
Kwangu mimi ,miji ambayo ninaijua inakua kwa kasi ni mtwara,kahama na dodoma.....
HII NI FURSA YA KUPAJUA WAPI PA KUWEKEZA PESA YAKO NA SI KUSHABIKIA JUHUDI ZA WENZIO HUKU WEWE UKIWA MWANAJESHI WA MTANDAONI........
Du! Sijui nikujibu lipi mkuu
Ila OK poa nimekusoma
 
Hata kwa Tanga bado. Kamji ka Arusha ni kadogo sana. Naona watu wanachanganywa na hivyo vimajengo viwili vitatu vya mahoteli! Alafu huenda hao wanaoandika hawajatembea vizuri miji ya watu. Tanga eneo la mji ni kubwa na limepangiliwa vizuri. Kuna gardens za kupumzika,etc vitu ambavyo Arusha hakuna. Alafu Chuga uswahilini sana
Sehemu za kupumzika zipo kwa mbele ya palace hotel,,sokoine road upande wa kushoto inatazamana na NBC bank,na pembeni ya mzunguko wa impala au ulitaka mji mzima uwe ni garden tu za kupumzikia..next time ukija arusha omba utembezwe
 
Hata kwa Tanga bado. Kamji ka Arusha ni kadogo sana. Naona watu wanachanganywa na hivyo vimajengo viwili vitatu vya mahoteli! Alafu huenda hao wanaoandika hawajatembea vizuri miji ya watu. Tanga eneo la mji ni kubwa na limepangiliwa vizuri. Kuna gardens za kupumzika,etc vitu ambavyo Arusha hakuna. Alafu Chuga uswahilini sana
Nshu ni kukua kwa mji
Tanga ilikuwa zamani
Kwasasa imepoa
Arusha naona inakua haraka
 
Back
Top Bottom