Mwanza inarudi nyuma huku Arusha ikiendelea

Mwanza inarudi nyuma huku Arusha ikiendelea

Kumbe mliinuliwa kwa upendeleo na mtu.. Huku Arusha tunainua mji bila msaada wa mtu.. Hata hii Mall inayojengwa ni ya wazawa wa hapa
Acha ganja wewe, kwani shughuli za serikali mara nyingi huwa zipo wapi...?! Kama sio Arusha, Dodoma na Dar es salaam...

Tena Mwanza hakuna upendeleo...
 
Ingia www.tra.go.tz angalia tax collection statistics za mikoa mbali mbali uone.
ationally in Revenue Collection
Tagged:
BusinessEast AfricaLegal AffairsTanzania
Tweet
Share
Google+
By Happy Lazaro
Arusha — The Tanzania Revenue Authority (TRA) in Arusha region is second in tax collection nationwide just behind Dar es Salaam region which tops the list.

Arusha took that position after overcoming a myriad of challenges in tax collections. TRA's Regional Manager for Arusha, Evarist Kileva told the Arusha Times in an interview that the major challenge in tax collection was poor record keeping by many tax payers.
 
Toa siasa weka uhalisia,
kwanza mie sio mwanalumumba
ukuaji wa mji mwanasiasa mmoja atasifiwaje?
kwa sasa kwa kuwa wameshika jiji wanaweza wakawa na nafasi ila watakaochukua sifa ni baraza la madiwani na sio mtu mmoja.

wote waliosema mwanza imedumazwa na cdm kwahiyo now ccm imeingia jiji litakua au Arusha imefanikishwa na Lema sijakubaliana nao, ndo nilichomaanisha hapo
 
Ukweli ni kwamba kasi ya ukuaji wa arusha in terms of magorofa ya biashara,biznesses,viwanda,mahoteli etc ni kubwa kwa sasa kuliko mwanza.Ukweli mchungu wa ngosha mezeni boom imekata,mji umerejea enzi zake za kujikongoja kama mbeya..Tunakoelekea tutakua tunalinganisha dodoma,arusha na mtwara ila kuzaa mwanza mtakua juu

Mtwara inakuja juu.. Miaka 10 ijayo itakuwa inapambana na haya majiji makubwa hapa nchini...
 
ationally in Revenue Collection
Tagged:
BusinessEast AfricaLegal AffairsTanzania
Tweet
Share
Google+
By Happy Lazaro
Arusha — The Tanzania Revenue Authority (TRA) in Arusha region is second in tax collection nationwide just behind Dar es Salaam region which tops the list.

Arusha took that position after overcoming a myriad of challenges in tax collections. TRA's Regional Manager for Arusha, Evarist Kileva told the Arusha Times in an interview that the major challenge in tax collection was poor record keeping by many tax payers.

Gazeti lenyewe Arusha times ulitegemea lisie wapi? weka source ya kueleweka
 
Acha ganja wewe, kwani shughuli za serikali mara nyingi huwa zipo wapi...?! Kama sio Arusha, Dodoma na Dar es salaam...

Tena Mwanza hakuna upendeleo...

Kwahiyo shughuli za serikali ndio zinasababisha ukusanyaji uwe juu?? Mbona Dodoma inazidiwa hadi na Moshi Mjini tu??
 
Nyie vijana acheni kubishania issues ndogo na ambazo majibu yapo wazi. Nimeishi Arusha kwa zaidi ya miaka 10 kabla sijarejea Dsm. Nilifanikiwa kupita ktk jiji la Mwanza mwaka jana mwishoni. Mwanza ndilo jiji kubwa namba mbili baada ya Dsm. Ni mjI wenye CBA kubwa ambayo ukilinganisha na Arusha utakuwa ni utani mbaya sana. Mwaka huu nimetembelea Arusha mara mbili ni ukweli kwamba Arusha ya miaka 5 imepiga hatua ktk miundombinu na ujenzi lakini ukubwa niliyo ona Mwanza bado sana!!
 
Nyie vijana acheni kubishania issues ndogo na ambazo majibu yapo wazi. Nimeishi Arusha kwa zaidi ya miaka 10 kabla sijarejea Dsm. Nilifanikiwa kupita ktk jiji la Mwanza mwaka jana mwishoni. Mwanza ndilo jiji kubwa namba mbili baada ya Dsm. Ni mjI wenye CBA kubwa ambayo ukilinganisha na Arusha utakuwa ni utani mbaya sana. Mwaka huu nimetembelea Arusha mara mbili ni ukweli kwamba Arusha ya miaka 5 imepiga hatua ktk miundombinu na ujenzi lakini ukubwa niliyo ona Mwanza bado sana!!
Suporting evidence??
 
Back
Top Bottom