Unamaanisha mapato yanayotokana na kodi tu!Nahisi Mwanza inakusanya kodi zaidi ya Arusha
Mwanza miaka ya 2002 ilikuwa ni vumbi tupu, pamoja na kuwa jiji, sasa hivi ni fresh, we unasema kasi imepungua imepungua kiaje...?!Ipi Arusha - Mwanza
Au Dar. -Nairobi?
Usiogope hoteli za kitalii zipo jijini pia.Aah!!
Nadhani hatujaelewana
Nshu ni jiji
Sio uanze na mambo ya National park
Mwanza ilikuwa na kasi sanaMwanza miaka ya 2002 ilikuwa ni vumbi tupu, pamoja na kuwa jiji, sasa hivi ni fresh, we unasema kasi imepungua imepungua kiaje...?!
Mkapa aliiinua sana...
Kuna mtu amekuuliza hivi zile Manispaa mbili zinazounda jiji ni urembo tu wamejiwekea...?!Mwanza ilikuwa na kasi sana
Lakini kasi ile imepungua kiukweli
Ukisema habari za vumbi
Kila mji ulikuwa vumbi
Lakini sasahivi hadi wilaya zina Lami mitaani
Huko ambapo jengo lenye lift mmeanza kupanda juzi juzi tu eeehBishaneni weeeeee lakini Mbeya city ndo penyewe , jiji linakua Kwa kasi ya ajabu na limepanuka zaidi ya kilometa 20 nje ya jiji
Arusha.Haya kaka
Nipe ukweli ni jiji gani huchangia mapato makubwa??
Acha uwongo weweArusha.
Weka data za mapato mwanza.Acha uwongo wewe
Wekeni data za mapato ya mwanza sasa mbwembwe za nini!Sio kweli