Mwanza inapokea 10% tu ya mizigo kutoka Dar huku Kigoma ikipokea 41% ya mizigo. SGR ya Mwanza ni White Elephant project

Iko hivi mleta mada ni mtu wa kaskazini, huwa ana chuki na wivu na kanda ya ziwa na watu wake hasa wasukuma, nina mjua kupitia nyuzi nyingi huwa anapondea sana waskuma. Kwa hiyo ni mwendelezo wa wivu wa jamaa kwa MWANZA.
Kaakazini ilikuwa zamani sasa hivi wamebaki kuforge vyeti na nyaraka na kutanga tanga kwenye mikoa ya Kanda ya Ziwa na mingine iliyobarikiwa.
 
Kuna meli ya Kubeba mabehewa ya tani 3000 ikikamilika itabeba behewa za treni kupekeka n kutoa mizigo uganda
 
Kaakazini ilikuwa zamani sasa hivi wamebaki kuforge vyeti na nyaraka na kutanga tanga kwenye mikoa ya Kanda ya Ziwa na mingine iliyobarikiwa.
Kuna sehm sijawahi tamani kuishi ikiwemo huko jangwani na machimboni lake zone
 
Kuna sehm sijawahi tamani kuishi ikiwemo huko jangwani na machimboni lake zone
Kanda ya ziwa ni jangwa sio

Hebu tazama huu mji ulivyo na mandhari tamu.


Bukoba
FB_IMG_16245086287538446.jpg
FB_IMG_16243721059347382.jpg
2620657_Allsocial-1605763701701.jpg
 
Wakuu mnogage.

Kwa mujibu wa BBC ikimhoji mtaalam wa Uchumi imebainika kwamba mzigo unaoingia bandari ya Dar es Salaam kuelekea Nchi za jirani via Central corridor ni asilimia 10% tu ya mzigo huo unaelekea bandari ya Mwanza wakati asilimia 41% huelekea bandari ya Kigoma.

Cha kushangaza imekuaje reli ya SGR ijengwe kuelekea Mwanza? Wananchi wa nchi hii tunazidi kubebeshwa mizigo ya misumari Kisa maamuzi ya kisiasa.Mpaka hapo tunazika pesa na kuzalisha white elephant project,very sad.
Ujinga mi mzigo.
karudie shule ya msingi
 
Mleta maada Opportunity Cost ana hoja nzito ambazo zinajibiwa kikanda na kisiasa. Binafsi naamini kama kungekuwa na umuhimu sana basi hii SGR ingeelekezwa Kigoma na Tunduma. Bahati mbaya huko Tunduma kuna TAZARA shirika la hovyo lililojaa masharti ya kikoloni. Mwisho wa siku, hatukuwa tunahitaji mradi mkubwa kama huu sasa, hasa kuupeleka sehemu ambazo si viable. Bora ungejengwa kwa hatua ndogondogo.
 
Wakuu mnogage.

Kwa mujibu wa BBC ikimhoji mtaalam wa Uchumi imebainika kwamba mzigo unaoingia bandari ya Dar es Salaam kuelekea Nchi za jirani via Central corridor ni asilimia 10% tu ya mzigo huo unaelekea bandari ya Mwanza wakati asilimia 41% huelekea bandari ya Kigoma.

Cha kushangaza imekuaje reli ya SGR ijengwe kuelekea Mwanza? Wananchi wa nchi hii tunazidi kubebeshwa mizigo ya misumari Kisa maamuzi ya kisiasa.Mpaka hapo tunazika pesa na kuzalisha white elephant project,very sad.
Mchimia tumbo kama mchumia, akili zimehamia tumboni badala ya kichwani ndiyo maana umeandika upupu wa hali ya juu sana
 
Bila huto tumigodi 3 kuna nini huko usukumani?
Kuna watu wengi, samaki, dhahabu isiyoisha, mbuga ya Serengeti, wanawake wenye shape nzuri siyo yale masorongngo ya kaskazini yenye meno kama kashata na miguu kama mirunda. Kuna mpunga, kuna pamba, kuna ng'ombe, kuna kahawa ya Bukoba, kuna dengu, kuna almasi. Sema jingine.
 
Mleta maada Opportunity Cost ana hoja nzito ambazo zinajibiwa kikanda na kisiasa. Binafsi naamini kama kungekuwa na umuhimu sana basi hii SGR ingeelekezwa Kigoma na Tunduma. Bahati mbaya huko Tunduma kuna TAZARA shirika la hovyo lililojaa masharti ya kikoloni. Mwisho wa siku, hatukuwa tunahitaji mradi mkubwa kama huu sasa, hasa kuupeleka sehemu ambazo si viable. Bora ungejengwa kwa hatua ndogondogo.
Wewe ni wale wale waliokunywa uji wa mgojwa
 
Kuna watu wengi, samaki, dhahabu isiyoisha, mbuga ya Serengeti, wanawake wenye shape nzuri siyo yale masorongngo ya kaskazini yenye meno kama kashata. Kuna mpunga, kuna pamba, kuna ng'ombe, kuna kahawa ya Bukoba, kuna dengu, kuna almasi. Sema jingine.
Lini wewe ulishawahi ona Mwanza na lake zone kwa ujumla inanufaika na Serengeti? Ng'ombe gani wote wako kwetu Kusini,Mashariki,Kaskazini na Nyanda za Juu,mpunga gani huo mnabipu tuu na mvua ya kuunga unga.Mpunga uko Katavi,Mbeya,Rukwa na Morogoro.

Watu wengi ila wamejaa umaskini wanakusaidia nini

Ni hivi siku huto tu migodi 3 tuki shut down hakuna rangi mtaacha kuona ndio maana Takwimu zinawakataa
 
Lini wewe ulishawahi ona Mwanza na lake zone kwa ujumla inanufaika na Serengeti? Ng'ombe gani wote wako kwetu Kusini,Mashariki,Kaskazini na Nyanda za Juu,mpunga gani huo mnabipu tuu na mvua ya kuunga unga.Mpunga uko Katavi,Mbeya,Rukwa na Morogoro.

Watu wengi ila wamejaa umaskini wanakusaidia nini

Ni hivi siku huto tu migodi 3 tuki shut down hakuna rangi mtaacha kuona ndio maana Takwimu zinawakataa
Kwa jinsi unavyoichukia Mwanza ungekuwa na uwezo ungeliiangamiza yote, nakushauri 2025 gombea urais ili uzuie maendeleo yote ya kanda ya ziwa.
 
Lini wewe ulishawahi ona Mwanza na lake zone kwa ujumla inanufaika na Serengeti? Ng'ombe gani wote wako kwetu Kusini,Mashariki,Kaskazini na Nyanda za Juu,mpunga gani huo mnabipu tuu na mvua ya kuunga unga.Mpunga uko Katavi,Mbeya,Rukwa na Morogoro.

Watu wengi ila wamejaa umaskini wanakusaidia nini

Ni hivi siku huto tu migodi 3 tuki shut down hakuna rangi mtaacha kuona ndio maana Takwimu zinawakataa
Wew jamaa ukiwa unaongelea Kanda ya ziwa unaikwepa Sana bukoba na Mara . Kanda ya ziwa sio wasukuma peke yao.

Unasema Kanda ya ziwa pakame? !! Hivi unajua kuwa bukoba inapata zaidi ya mm 2000 kwa mwaka ikizidi mikoa yote nchini.


Bado mkoa wa Mara Kuna mvua za kutosha!!



Tazama hapa karibia kahawa yote nchini inatoka mkoa mmoja wa Kanda ya ziwa.

Na ni moja ya top 3 ya mazao nchini
Screenshot_20210622-152326.jpg
 
Wew jamaa ukiwa unaongelea Kanda ya ziwa unaikwepa Sana bukoba na Mara . Kanda ya ziwa sio wasukuma peke yao.

Unasema Kanda ya ziwa pakame? !! Hivi unajua kuwa bukoba inapata zaidi ya mm 2000 kwa mwaka ikizidi mikoa yote nchini.


Bado mkoa wa Mara Kuna mvua za kutosha!!



Tazama hapa karibia kahawa yote nchini inatoka mkoa mmoja wa Kanda ya ziwa.

Na ni moja ya top 3 ya mazao nchiniView attachment 1829435

..kuna kanda ya ziwa kulingana na uhalisia wa jiografia.

..halafu kuna "kanda ya ziwa" kwa minajili ya mabishano, malumbano, ubaguzi, na chuki za kisiasa za awamu ya 5.

..vivyo hivyo kuna kanda ya kaskazini kulingana na uhalisia.

..halafu kuna "kanda ya kaskazini" kwa minajili ya mabishano, malumbano, ubaguzi na chuki za kisiasa za awamu ya 5.
 
Back
Top Bottom