nizakale
JF-Expert Member
- Oct 23, 2019
- 4,029
- 2,902
Alaaa kumbe wewe wa Kusini. Pole sana kusini kuilinganisha na kanda kuu ni sawa na kulinganisha ziwa victorua na ziwa jipeLini wewe ulishawahi ona Mwanza na lake zone kwa ujumla inanufaika na Serengeti? Ng'ombe gani wote wako kwetu Kusini,Mashariki,Kaskazini na Nyanda za Juu,mpunga gani huo mnabipu tuu na mvua ya kuunga unga.Mpunga uko Katavi,Mbeya,Rukwa na Morogoro.
Watu wengi ila wamejaa umaskini wanakusaidia nini
Ni hivi siku huto tu migodi 3 tuki shut down hakuna rangi mtaacha kuona ndio maana Takwimu zinawakataa