Mwanza inapokea 10% tu ya mizigo kutoka Dar huku Kigoma ikipokea 41% ya mizigo. SGR ya Mwanza ni White Elephant project

Lini wewe ulishawahi ona Mwanza na lake zone kwa ujumla inanufaika na Serengeti? Ng'ombe gani wote wako kwetu Kusini,Mashariki,Kaskazini na Nyanda za Juu,mpunga gani huo mnabipu tuu na mvua ya kuunga unga.Mpunga uko Katavi,Mbeya,Rukwa na Morogoro.

Watu wengi ila wamejaa umaskini wanakusaidia nini

Ni hivi siku huto tu migodi 3 tuki shut down hakuna rangi mtaacha kuona ndio maana Takwimu zinawakataa
Alaaa kumbe wewe wa Kusini. Pole sana kusini kuilinganisha na kanda kuu ni sawa na kulinganisha ziwa victorua na ziwa jipe
 
Wew jamaa ukiwa unaongelea Kanda ya ziwa unaikwepa Sana bukoba na Mara . Kanda ya ziwa sio wasukuma peke yao.

Unasema Kanda ya ziwa pakame? !! Hivi unajua kuwa bukoba inapata zaidi ya mm 2000 kwa mwaka ikizidi mikoa yote nchini.


Bado mkoa wa Mara Kuna mvua za kutosha!!



Tazama hapa karibia kahawa yote nchini inatoka mkoa mmoja wa Kanda ya ziwa.

Na ni moja ya top 3 ya mazao nchiniView attachment 1829435
Sina tatizo na nshomile Mara mimi consern yangu ni Mwanza,Shinyanga,Simiyu na Geita
 
Hiyo 41% ya kigoma ni sawasawa na - 0.0000001 ya Mwanza.

Kumbuka Kigoma nzima ni sawasawa na mtaa mmoja wa MWANZA

Kumbuka methali ya kiha isemayo

" Eee bhana KIGOMA NI MUJI ILA MWANZA NI CHIBOKO " MWANZA NI KABAMBE
 
Hivi wewe unafikiri SGR inajengwa kwa ajili ya nchi jirani tu??!! Mbona hujaelezea mizigo ya ndani ya nchi upande wa Kanda ya Ziwa??
Well said kabisa,kwani tunajenga kuhudumia nje ya mipaka tuu.Kuna hata mazo kama Pamba, Denge yatasombwa na reli hiyo poa
 
Niliwahi kusema hili. Kipande cha mwanza-isaka ilikuwa ni kukosa maono, labda kama sababu za mradi sehemu hii ni upendeleo au siasa!! Ile kutaka kufurahisa jimbo kubwa la kiuchaguzi!!! Tungepanua bandari ya Kigoma na kuweka reli huko! Tena tungekuwa na akili SGR ingefika Dodoma na kisha kwenda Zambia tukaachana na Dodoma Kigali! Mizigo ya Zambia, DRC ni zaidi sana kuliko ya Rwanda Burundi!!

Sio mizigo ya Uganda ikipita mwanza!!
 
Niliwahi kusema hili. Kipande cha mwanza-isaka ilikuwa ni kukosa maono, labda kama sababu za mradi sehemu hii ni upendeleo au siasa!! Ile kutaka kufurahisa jimbo kubwa la kiuchaguzi!!! Tungepanua bandari ya Kigoma na kuweka reli huko! Tena tungekuwa na akili SGR ingefika Dodoma na kisha kwenda Zambia tukaachana na Dodoma Kigali! Mizigo ya Zambia, DRC ni zaidi sana kuliko ya Rwanda Burundi!!

Sio mizigo ya Uganda ikipita mwanza!!
Zambia mizigo yao inapita Tazara mkuu. Ukipata nafasi ya kuchangia Toa mchango wenye tija.

Sent from my PIC-LX9 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom