venine
JF-Expert Member
- Nov 11, 2010
- 1,458
- 1,567
Wanafikiri bandari ya KG inapeleka mizigo DRC, Rwanda, Burundi hadi UG. Hawaelewi hata kwa nini Isaka inaitwa Bandari kavu. Huyo jamaa hajui logistic za kanda ya ziwa na magharibi. Anatakiwa ajue pia kuna mizigo kwenda DRC na Zambia inapita Katanga Bay, Sumbawanga na siyo Kigoma.Good analysis. Now lets dig deeper.
Katika hizo Tani 3.4m za Congo only Tani 136,573 zilihudumiwa na badari ya Kigoma ktk huo mwaka 2017/18 sawa na 4%. Means 96% ya mizigo ya Congo ilipita Isaka to Congo via kigali kwa kutumia njia ya barabara.
What does that tells you?
Kigoma or Isaka?