KalamuTena
JF-Expert Member
- Jul 7, 2018
- 13,189
- 17,157
Na kweli imegeuka kuwa kero.bado siku mbili,kero hii iishe
Na kweli imegeuka kuwa kero.bado siku mbili,kero hii iishe
Mnataka kumkalisha princess dianaNdio bwashee tunataka tuvunje records ya Dunia
Aisee wanamzungurusha tu,na mwamba anaweza kuamka ghafla akawambia "EMBU mkanizike Ebo msilete mchezo mchezo "Nna kazi zingine kule nikawatumikie wafu.Zikeni, mnamcheleweshea marehemu raha zake za kaburi au adhabu zake
Wamekeshaa wakiwa wapiii?Sijapata kuona heka heka za kiwango hiki katika jiji la Mwanza ambapo watu wamekesha kumsubiri mpendwa wao hayati Magufuli waweze kutoa heshima za mwisho.
Kwa kweli hayati Magufuli anakubalika kanda ya ziwa maana nimeshuhudia wageni kutoka pembe zote za kanda hii wakiwa tayari kumpokea, kumuaga na hatimaye kumsindikiza hadi Chato kipenzi chao.
Vituo vya mafuta viko busy kuuza maana kila mmoja ameshakaa mkao wa mapokezi, kuaga kisha msafara kuelekea Chato baada ya zoezi la kumuaga hayati Magufuli kukamilika katika uwanja wa CCM Kirumba.
Updates;
Wacha uwongo wewe jamaa.Sijapata kuona heka heka za kiwango hiki katika jiji la Mwanza ambapo watu wamekesha kumsubiri mpendwa wao hayati Magufuli waweze kutoa heshima za mwisho.
Kwa kweli hayati Magufuli anakubalika kanda ya ziwa maana nimeshuhudia wageni kutoka pembe zote za kanda hii wakiwa tayari kumpokea, kumuaga na hatimaye kumsindikiza hadi Chato kipenzi chao.
Vituo vya mafuta viko busy kuuza maana kila mmoja ameshakaa mkao wa mapokezi, kuaga kisha msafara kuelekea Chato baada ya zoezi la kumuaga hayati Magufuli kukamilika katika uwanja wa CCM Kirumba.
Updates;
.Sifa kuu ya kuwa kada wa mataga ni lazima uwe mwongo
huna ndugu au rafiki mwanza?Bila picha habari ni batili kwa mujibu wa mkalimani
Sio kweli. Mimi niko mwanzaSijapata kuona heka heka za kiwango hiki katika jiji la Mwanza ambapo watu wamekesha kumsubiri mpendwa wao hayati Magufuli waweze kutoa heshima za mwisho.
Kwa kweli hayati Magufuli anakubalika kanda ya ziwa maana nimeshuhudia wageni kutoka pembe zote za kanda hii wakiwa tayari kumpokea, kumuaga na hatimaye kumsindikiza hadi Chato kipenzi chao.
Vituo vya mafuta viko busy kuuza maana kila mmoja ameshakaa mkao wa mapokezi, kuaga kisha msafara kuelekea Chato baada ya zoezi la kumuaga hayati Magufuli kukamilika katika uwanja wa CCM Kirumba.
Updates;
Labda kama angekuwa mummified.Kila wilaya haitawexekana bwashee!
Jina la Magufuli lihifadhiwe katika makabati yote ya Africa 😂Bila picha habari ni batili kwa mujibu wa mkalimani