Rais Samia anachapa kazi ila hazitangazwi ipasavyo. Wasaidizi wa Rais fanyeni kazi ipasavyo

Kasanzu The Great

JF-Expert Member
Dec 21, 2013
309
222
Pesa ambayo Mama Samia meipeleka kwa wananchi tangu aingie madarakani ni pesa nyingi Sana. Amejenga madarasa, vituo vya afya, ameanzisha utaratibu Wa kupeleka mil 500 kila jimbo kwa ajili ya Maendeleo ya barabara, ameinua uchumi wetu, amerejesha siasa za ushindani na demokrasia, maslahi ya wafanyakazi, elimu Bure, ajira mpya na kurejesha nchi kwenye utawala Wa sheria wenye kuzingatia haki za binadamu na utawala bora.

Anapambana kukamilisha miradi ya Maendeleo iliyoachwa na Hayati Magufuli ikiwemo Bwawa la Mwalimu Nyerere, SGR, Daraja la Busisi nk.

Watu Wa Ikulu wanao husika na branding hawajafanyakazi kubwa ya kuhakikisha kwamba wananchi wanaelewa kazi kubwa ambayo Mheshimiwa Rais anafanya.

Mambo yafuatayo Mama ajitahidi kufanya.

1. Arudishe siasa za hamasa
Ni ukweli kwamba nchi imetulia, siasa za hamasa zimepungua na inampa kazi kubwa Mama anapofanya ziara. Mwitikio Wa watu unakuwa Wa kulazimisha au kutumia nguvu kubwa ya ushawishi. Kupitia hili afanye mambo yafuatayo;

I. Ateue wakuu Wa MIKOA na Wilaya wenye ushawishi, wanasiasa wanaojua siasa vema na vijana wenye mbinu nyingi. Kupitia hili Dar es Salaam amepatia kumpeleka Chalamila. Kwa Maoni Yangu, Mwanza ampeleke Paul Makonda (wapinzani watalalama lakini sio jukumu la wapinzani kumpangia Rais Nani Wa kuteua, pia wale mahasimu Wa Makonda Ndani ya CCM sio jukumu la Mama kurithi maadui Wa mtu, wapigane vita vyao bila kumuingiza yeye).

Ii. Sio dhambi kuwarudisha vijana waliokuwa wakitumika katika utawala uliopita. Mfano, hakuna haja ya kumficha Pole pole Cuba, arudi apewe nafasi ya Sophia Mjema. Ukweli nikwamba Dada yetu Sophia Mjema siasa za ushindani bado hajazimudu bema, Mama anashambuliwa yuko kimya, vyombo vya Habari vinaona Hana mvuto, anapotoa taarifa zake pia zinakosa kishindo, uwezo Wa kupambanua mambo ili kumlinda Mheshimiwa Rais naona pia hautoshelezi, ule mchakamchaka Wa Pole pole au Nape Nnauye haonekani, Mwishowe Mama anashambuliwa na kukosa mtetezi.

Iii. Msemaji Wa Ikulu Dada yetu Zuhura Yunus anakuwa mkimya Sana, Ikulu inamambo mengi yanayohusu nchi lakini Dada yetu kama katulia Sana, Ikiwezekana Gerson Msigwa arejee pale halafu Zuhura akawe msemaji Wa Serekali kwa ujumla au apelekwe TBC akawe Mkurugenzi Wa Shirika.

IV. Nimefuatilia ziara ya mheshimiwa Kanda ya Ziwa, sikufurahishwa na Ziara hiyo. Amuondoe mheshimiwa Amos Makala a mpeleke maeneo mengine, Mkoa Wa Geita pia aende mwanasiasa kijana atakayefanya siasa za hamasa na usimamizi Wa shughuli za Maendeleo kwa weledi.

V. Awaite wabunge Wa majimbo ya Kanda ya Ziwa awasisitize kufanya mikutano ya hadhara wakiongozwa na Dr. Angeline Mabula, Mabula mbunge Wa Nyamagana, mbunge Wa Sumve, Magu nk. Wamejisahau, hawapendi kufanya mikutano ya hadhara na kuwaeleza wananchi mambo ambayo Mama Amefanya na anaendelea kufanya.

VI. Mwisho, Mama tatua changamoto ya uhaba Wa maji katika jiji la Mwanza. Hili bado ni tatizo kubwa ukizingatia Ziwa liko hapo hapo. MWAUWASA ipewe pesa za kutosha itekeleze miradi ya maji ili kila mtaa upate maji ya uhakika. Endelea mama kuchapakazi

IV. Celebrities watu Mike pia kuitangaza kazi za Mama, Mawaziri waingie field wakague miradi na wakemee uzembe na ubadhirifu, wale vijana walioko sea siku za nyuma wakaondoshwa kwenye nafasi warejeshwe Kisha warekebishwe. Mfano, Mrudishe Ally Hapi, Paul Makonda wachangamshe nchi.
 
Pesa ambayo Mama Samia. Ameipeleka kwa wananchi tangu aingilie madarakani ni pesa nyingi Sana. Amejenga madarasa, vituo vya afya, ameanzisha utaratibu Wa kupeleka mil 500 kila jimbo kwa ajili ya Maendeleo ya barabara nk.

Anapambana kukamilisha miradi ya Maendeleo iliyoachwa Hayati Magufuli ikiwemo Bwawa la Mwalimu Nyerere, SGR, Daraja la Busisi nk.

Watu Wa Ikulu wanao husika na branding hawajafanyakazi kubwa ya kuhakikisha kwamba wananchi wanaelewa kazi kubwa ambayo anafanya.

Mambo yafuatayo Mama a jitahidi kufanya.

1. Arudishe siasa za hamasa.
Ni ukweli kwamba nchi imetulia, siasa za hamasa zimepungua na inampa kazi kubwa Mama anapofanya ziara. Mwitikio Wa watu unakuwa Wa kulazimisha au kutumia nguvu kubwa ya ushawishi. Kupitia hili afanye mambo yafuatayo
I. Ateue wakuu Wa MIKOA na Wilaya wenye ushawishi, wanasiasa wanaojua siasa vema na vijana wenye mbinu nyingi. Kupitia hili Dar es Salaam amepatia kumpeleka Chalamila.

Ii. Sio dhambi kuwarudisha vijana waliokuwa wakitumika katika utawala uliopita. Mfano, hakuna haja ya kumficha Pole pole Cuba, arudi apewe nafasi ya Sophia Mjema. Ukweli nikwamba Dada yetu Sophia hawezi siasa za kujibu Mapigo, Mama anashambuliwa yuko kimya, vyombo vya Habari vinaona Hana mvuto, anapotoa taarifa zake pia zinakosa kishindo, uwezo Wa kupambanua mambo ili kumlinda Mheshimiwa Rais naona pia hautoshelezi. Mwishowe Mama anashambuliwa na kukosa mtetezi.
Iii. Msemaji Wa Ikulu Dada yetu Zuhura Yunus anakuwa mkimya Sana, Ikulu inamambo mengi yanayohusu nchi lakini Dada yetu kama katulia Sana. Ikiwezekana Gerson Msigwa arejee pale halafu Zuhura akawe msemaji Wa Serekali kwa ujumla au apelekwe TBC akawe Mkurugenzi Wa Shirika baada ya yule aliyepo kustaafu.

IV. Celebrities watu Mike pia kuitangaza kazi za Mama, Mawaziri waingie field wakague miradi na wakemee uzembe na ubadhirifu, wale vijana walioko sea siku za nyuma wakaondoshwa kwenye nafasi warejeshwe Kisha warekebishwe. Mfano, Mrudishe Ally Hapi, Paul Makonda wachangamshe nchi.
Hamasa inarudishwaji .utalazimisha mtu amshangilie raisi .kama kuna mema hatupaswi. Kutumia nguvu kubwa sana kwà wanachi
 
Pesa ambayo Mama Samia. Ameipeleka kwa wananchi tangu aingilie madarakani ni pesa nyingi Sana. Amejenga madarasa, vituo vya afya, ameanzisha utaratibu Wa kupeleka mil 500 kila jimbo kwa ajili ya Maendeleo ya barabara nk.

Anapambana kukamilisha miradi ya Maendeleo iliyoachwa Hayati Magufuli ikiwemo Bwawa la Mwalimu Nyerere, SGR, Daraja la Busisi nk.

Watu Wa Ikulu wanao husika na branding hawajafanyakazi kubwa ya kuhakikisha kwamba wananchi wanaelewa kazi kubwa ambayo anafanya.

Mambo yafuatayo Mama a jitahidi kufanya.

1. Arudishe siasa za hamasa.
Ni ukweli kwamba nchi imetulia, siasa za hamasa zimepungua na inampa kazi kubwa Mama anapofanya ziara. Mwitikio Wa watu unakuwa Wa kulazimisha au kutumia nguvu kubwa ya ushawishi. Kupitia hili afanye mambo yafuatayo

I. Ateue wakuu Wa MIKOA na Wilaya wenye ushawishi, wanasiasa wanaojua siasa vema na vijana wenye mbinu nyingi. Kupitia hili Dar es Salaam amepatia kumpeleka Chalamila.

Ii. Sio dhambi kuwarudisha vijana waliokuwa wakitumika katika utawala uliopita. Mfano, hakuna haja ya kumficha Pole pole Cuba, arudi apewe nafasi ya Sophia Mjema. Ukweli nikwamba Dada yetu Sophia hawezi siasa za kujibu Mapigo, Mama anashambuliwa yuko kimya, vyombo vya Habari vinaona Hana mvuto, anapotoa taarifa zake pia zinakosa kishindo, uwezo Wa kupambanua mambo ili kumlinda Mheshimiwa Rais naona pia hautoshelezi. Mwishowe Mama anashambuliwa na kukosa mtetezi.

Iii. Msemaji Wa Ikulu Dada yetu Zuhura Yunus anakuwa mkimya Sana, Ikulu inamambo mengi yanayohusu nchi lakini Dada yetu kama katulia Sana. Ikiwezekana Gerson Msigwa arejee pale halafu Zuhura akawe msemaji Wa Serekali kwa ujumla au apelekwe TBC akawe Mkurugenzi Wa Shirika baada ya yule aliyepo kustaafu.

IV. Celebrities watu Mike pia kuitangaza kazi za Mama, Mawaziri waingie field wakague miradi na wakemee uzembe na ubadhirifu, wale vijana walioko sea siku za nyuma wakaondoshwa kwenye nafasi warejeshwe Kisha warekebishwe. Mfano, Mrudishe Ally Hapi, Paul Makonda wachangamshe nchi.
Mwalimu Nyerere alifanya mengi kuliko Marais wote wa Tanzania, lakini hakupigiwa promo, kwa sababu alikuwa anatekeleza wajibu wake.

Iweje sasa mtu anayefanya kazi zake alizoomba kuzifanya mnataka apigiwe promo?
 
Pesa ambayo Mama Samia meipeleka kwa wananchi tangu aingie madarakani ni pesa nyingi Sana. Amejenga madarasa, vituo vya afya, ameanzisha utaratibu Wa kupeleka mil 500 kila jimbo kwa ajili ya Maendeleo ya barabara, ameinua uchumi wetu, amerejesha siasa za ushindani na demokrasia, maslahi ya wafanyakazi, elimu Bure, ajira mpya na kurejesha nchi kwenye utawala Wa sheria wenye kuzingatia haki za binadamu na utawala bora.

Anapambana kukamilisha miradi ya Maendeleo iliyoachwa na Hayati Magufuli ikiwemo Bwawa la Mwalimu Nyerere, SGR, Daraja la Busisi nk.

Watu Wa Ikulu wanao husika na branding hawajafanyakazi kubwa ya kuhakikisha kwamba wananchi wanaelewa kazi kubwa ambayo Mheshimiwa Rais anafanya.

Mambo yafuatayo Mama ajitahidi kufanya.

1. Arudishe siasa za hamasa.
Ni ukweli kwamba nchi imetulia, siasa za hamasa zimepungua na inampa kazi kubwa Mama anapofanya ziara. Mwitikio Wa watu unakuwa Wa kulazimisha au kutumia nguvu kubwa ya ushawishi. Kupitia hili afanye mambo yafuatayo
I. Ateue wakuu Wa MIKOA na Wilaya wenye ushawishi, wanasiasa wanaojua siasa vema na vijana wenye mbinu nyingi. Kupitia hili Dar es Salaam amepatia kumpeleka Chalamila. Kwa Maoni Yangu, Mwanza ampeleke Paul Makonda (wapinzani watalalama lakini sio jukumu la wapinzani kumpangia Rais Nani Wa kuteua, pia wale mahasimu Wa Makonda Ndani ya CCM sio jukumu la Mama kurithi maadui Wa mtu, wapigane vita vyao bila kumuingiza yeye).

Ii. Sio dhambi kuwarudisha vijana waliokuwa wakitumika katika utawala uliopita. Mfano, hakuna haja ya kumficha Pole pole Cuba, arudi apewe nafasi ya Sophia Mjema. Ukweli nikwamba Dada yetu Sophia Mjema siasa za ushindani bado hajazimudu bema, Mama anashambuliwa yuko kimya, vyombo vya Habari vinaona Hana mvuto, anapotoa taarifa zake pia zinakosa kishindo, uwezo Wa kupambanua mambo ili kumlinda Mheshimiwa Rais naona pia hautoshelezi, ule mchakamchaka Wa Pole pole au Nape Nnauye haonekani, Mwishowe Mama anashambuliwa na kukosa mtetezi.
Iii. Msemaji Wa Ikulu Dada yetu Zuhura Yunus anakuwa mkimya Sana, Ikulu inamambo mengi yanayohusu nchi lakini Dada yetu kama katulia Sana, Ikiwezekana Gerson Msigwa arejee pale halafu Zuhura akawe msemaji Wa Serekali kwa ujumla au apelekwe TBC akawe Mkurugenzi Wa Shirika.

IV. Nimefuatilia ziara ya mheshimiwa Kanda ya Ziwa, sikufurahishwa na Ziara hiyo. Amuondoe mheshimiwa Amos Makala a mpeleke maeneo mengine, Mkoa Wa Geita pia aende mwanasiasa kijana atakayefanya siasa za hamasa na usimamizi Wa shughuli za Maendeleo kwa weledi.

V. Awaite wabunge Wa majimbo ya Kanda ya Ziwa awasisitize kufanya mikutano ya hadhara wakiongozwa na Dr. Angeline Mabula, Mabula mbunge Wa Nyamagana, mbunge Wa Sumve, Magu nk. Wamejisahau, hawapendi kufanya mikutano ya hadhara na kuwaeleza wananchi mambo ambayo Mama Amefanya na anaendelea kufanya.

VI. Mwisho, Mama tatua changamoto ya uhaba Wa maji katika jiji la Mwanza. Hili bado ni tatizo kubwa ukizingatia Ziwa liko hapo hapo. MWAUWASA ipewe pesa za kutosha itekeleze miradi ya maji ili kila mtaa upate maji ya uhakika.
Endelea mama kuchapakazi


IV. Celebrities watu Mike pia kuitangaza kazi za Mama, Mawaziri waingie field wakague miradi na wakemee uzembe na ubadhirifu, wale vijana walioko sea siku za nyuma wakaondoshwa kwenye nafasi warejeshwe Kisha warekebishwe. Mfano, Mrudishe Ally Hapi, Paul Makonda wachangamshe nchi.
Kafanya mema 10 kavuruga 1 kwenye mkataba wa Bandari na wajomba zake Waarabu wa Dubai kaharibu kila kitu!
Tumepoteza Imani naye kwa kiasi kikubwa Sana, inaelekea ikibidi akae madarakani mpaka 2030 nchi hii kwishnei!
 
Pesa ambayo Mama Samia meipeleka kwa wananchi tangu aingie madarakani ni pesa nyingi Sana. Amejenga madarasa, vituo vya afya, ameanzisha utaratibu Wa kupeleka mil 500 kila jimbo kwa ajili ya Maendeleo ya barabara, ameinua uchumi wetu, amerejesha siasa za ushindani na demokrasia, maslahi ya wafanyakazi, elimu Bure, ajira mpya na kurejesha nchi kwenye utawala Wa sheria wenye kuzingatia haki za binadamu na utawala bora.

Anapambana kukamilisha miradi ya Maendeleo iliyoachwa na Hayati Magufuli ikiwemo Bwawa la Mwalimu Nyerere, SGR, Daraja la Busisi nk.

Watu Wa Ikulu wanao husika na branding hawajafanyakazi kubwa ya kuhakikisha kwamba wananchi wanaelewa kazi kubwa ambayo Mheshimiwa Rais anafanya.

Mambo yafuatayo Mama ajitahidi kufanya.

1. Arudishe siasa za hamasa.
Ni ukweli kwamba nchi imetulia, siasa za hamasa zimepungua na inampa kazi kubwa Mama anapofanya ziara. Mwitikio Wa watu unakuwa Wa kulazimisha au kutumia nguvu kubwa ya ushawishi. Kupitia hili afanye mambo yafuatayo
I. Ateue wakuu Wa MIKOA na Wilaya wenye ushawishi, wanasiasa wanaojua siasa vema na vijana wenye mbinu nyingi. Kupitia hili Dar es Salaam amepatia kumpeleka Chalamila. Kwa Maoni Yangu, Mwanza ampeleke Paul Makonda (wapinzani watalalama lakini sio jukumu la wapinzani kumpangia Rais Nani Wa kuteua, pia wale mahasimu Wa Makonda Ndani ya CCM sio jukumu la Mama kurithi maadui Wa mtu, wapigane vita vyao bila kumuingiza yeye).

Ii. Sio dhambi kuwarudisha vijana waliokuwa wakitumika katika utawala uliopita. Mfano, hakuna haja ya kumficha Pole pole Cuba, arudi apewe nafasi ya Sophia Mjema. Ukweli nikwamba Dada yetu Sophia Mjema siasa za ushindani bado hajazimudu bema, Mama anashambuliwa yuko kimya, vyombo vya Habari vinaona Hana mvuto, anapotoa taarifa zake pia zinakosa kishindo, uwezo Wa kupambanua mambo ili kumlinda Mheshimiwa Rais naona pia hautoshelezi, ule mchakamchaka Wa Pole pole au Nape Nnauye haonekani, Mwishowe Mama anashambuliwa na kukosa mtetezi.
Iii. Msemaji Wa Ikulu Dada yetu Zuhura Yunus anakuwa mkimya Sana, Ikulu inamambo mengi yanayohusu nchi lakini Dada yetu kama katulia Sana, Ikiwezekana Gerson Msigwa arejee pale halafu Zuhura akawe msemaji Wa Serekali kwa ujumla au apelekwe TBC akawe Mkurugenzi Wa Shirika.

IV. Nimefuatilia ziara ya mheshimiwa Kanda ya Ziwa, sikufurahishwa na Ziara hiyo. Amuondoe mheshimiwa Amos Makala a mpeleke maeneo mengine, Mkoa Wa Geita pia aende mwanasiasa kijana atakayefanya siasa za hamasa na usimamizi Wa shughuli za Maendeleo kwa weledi.

V. Awaite wabunge Wa majimbo ya Kanda ya Ziwa awasisitize kufanya mikutano ya hadhara wakiongozwa na Dr. Angeline Mabula, Mabula mbunge Wa Nyamagana, mbunge Wa Sumve, Magu nk. Wamejisahau, hawapendi kufanya mikutano ya hadhara na kuwaeleza wananchi mambo ambayo Mama Amefanya na anaendelea kufanya.

VI. Mwisho, Mama tatua changamoto ya uhaba Wa maji katika jiji la Mwanza. Hili bado ni tatizo kubwa ukizingatia Ziwa liko hapo hapo. MWAUWASA ipewe pesa za kutosha itekeleze miradi ya maji ili kila mtaa upate maji ya uhakika.
Endelea mama kuchapakazi


IV. Celebrities watu Mike pia kuitangaza kazi za Mama, Mawaziri waingie field wakague miradi na wakemee uzembe na ubadhirifu, wale vijana walioko sea siku za nyuma wakaondoshwa kwenye nafasi warejeshwe Kisha warekebishwe. Mfano, Mrudishe Ally Hapi, Paul Makonda wachangamshe nchi.
Huu ni ukweli mtupu.
Huyu Rais anajitahidi sana, mimi natamani aongoze mihula minne.
MUNGU mbariki Rais SAMIA,
MUNGU ibariki Tanzania.
 
Pesa ambayo Mama Samia meipeleka kwa wananchi tangu aingie madarakani ni pesa nyingi Sana. Amejenga madarasa, vituo vya afya, ameanzisha utaratibu Wa kupeleka mil 500 kila jimbo kwa ajili ya Maendeleo ya barabara, ameinua uchumi wetu, amerejesha siasa za ushindani na demokrasia, maslahi ya wafanyakazi, elimu Bure, ajira mpya na kurejesha nchi kwenye utawala Wa sheria wenye kuzingatia haki za binadamu na utawala bora.

Anapambana kukamilisha miradi ya Maendeleo iliyoachwa na Hayati Magufuli ikiwemo Bwawa la Mwalimu Nyerere, SGR, Daraja la Busisi nk.

Watu Wa Ikulu wanao husika na branding hawajafanyakazi kubwa ya kuhakikisha kwamba wananchi wanaelewa kazi kubwa ambayo Mheshimiwa Rais anafanya.

Mambo yafuatayo Mama ajitahidi kufanya.

1. Arudishe siasa za hamasa.
Ni ukweli kwamba nchi imetulia, siasa za hamasa zimepungua na inampa kazi kubwa Mama anapofanya ziara. Mwitikio Wa watu unakuwa Wa kulazimisha au kutumia nguvu kubwa ya ushawishi. Kupitia hili afanye mambo yafuatayo
I. Ateue wakuu Wa MIKOA na Wilaya wenye ushawishi, wanasiasa wanaojua siasa vema na vijana wenye mbinu nyingi. Kupitia hili Dar es Salaam amepatia kumpeleka Chalamila. Kwa Maoni Yangu, Mwanza ampeleke Paul Makonda (wapinzani watalalama lakini sio jukumu la wapinzani kumpangia Rais Nani Wa kuteua, pia wale mahasimu Wa Makonda Ndani ya CCM sio jukumu la Mama kurithi maadui Wa mtu, wapigane vita vyao bila kumuingiza yeye).

Ii. Sio dhambi kuwarudisha vijana waliokuwa wakitumika katika utawala uliopita. Mfano, hakuna haja ya kumficha Pole pole Cuba, arudi apewe nafasi ya Sophia Mjema. Ukweli nikwamba Dada yetu Sophia Mjema siasa za ushindani bado hajazimudu bema, Mama anashambuliwa yuko kimya, vyombo vya Habari vinaona Hana mvuto, anapotoa taarifa zake pia zinakosa kishindo, uwezo Wa kupambanua mambo ili kumlinda Mheshimiwa Rais naona pia hautoshelezi, ule mchakamchaka Wa Pole pole au Nape Nnauye haonekani, Mwishowe Mama anashambuliwa na kukosa mtetezi.
Iii. Msemaji Wa Ikulu Dada yetu Zuhura Yunus anakuwa mkimya Sana, Ikulu inamambo mengi yanayohusu nchi lakini Dada yetu kama katulia Sana, Ikiwezekana Gerson Msigwa arejee pale halafu Zuhura akawe msemaji Wa Serekali kwa ujumla au apelekwe TBC akawe Mkurugenzi Wa Shirika.

IV. Nimefuatilia ziara ya mheshimiwa Kanda ya Ziwa, sikufurahishwa na Ziara hiyo. Amuondoe mheshimiwa Amos Makala a mpeleke maeneo mengine, Mkoa Wa Geita pia aende mwanasiasa kijana atakayefanya siasa za hamasa na usimamizi Wa shughuli za Maendeleo kwa weledi.

V. Awaite wabunge Wa majimbo ya Kanda ya Ziwa awasisitize kufanya mikutano ya hadhara wakiongozwa na Dr. Angeline Mabula, Mabula mbunge Wa Nyamagana, mbunge Wa Sumve, Magu nk. Wamejisahau, hawapendi kufanya mikutano ya hadhara na kuwaeleza wananchi mambo ambayo Mama Amefanya na anaendelea kufanya.

VI. Mwisho, Mama tatua changamoto ya uhaba Wa maji katika jiji la Mwanza. Hili bado ni tatizo kubwa ukizingatia Ziwa liko hapo hapo. MWAUWASA ipewe pesa za kutosha itekeleze miradi ya maji ili kila mtaa upate maji ya uhakika.
Endelea mama kuchapakazi


IV. Celebrities watu Mike pia kuitangaza kazi za Mama, Mawaziri waingie field wakague miradi na wakemee uzembe na ubadhirifu, wale vijana walioko sea siku za nyuma wakaondoshwa kwenye nafasi warejeshwe Kisha warekebishwe. Mfano, Mrudishe Ally Hapi, Paul Makonda wachangamshe nchi.
Sijua mtaambiwa nn muelewe kuhusu maisha ya watanzania pesa inazidi kushuka thamani kila iitwapo leo mnasifu wala hamuelewi nn maana ya uchumi.
 
Pesa ambayo Mama Samia meipeleka kwa wananchi tangu aingie madarakani ni pesa nyingi Sana. Amejenga madarasa, vituo vya afya, ameanzisha utaratibu Wa kupeleka mil 500 kila jimbo kwa ajili ya Maendeleo ya barabara, ameinua uchumi wetu, amerejesha siasa za ushindani na demokrasia, maslahi ya wafanyakazi, elimu Bure, ajira mpya na kurejesha nchi kwenye utawala Wa sheria wenye kuzingatia haki za binadamu na utawala bora.

Anapambana kukamilisha miradi ya Maendeleo iliyoachwa na Hayati Magufuli ikiwemo Bwawa la Mwalimu Nyerere, SGR, Daraja la Busisi nk.

Watu Wa Ikulu wanao husika na branding hawajafanyakazi kubwa ya kuhakikisha kwamba wananchi wanaelewa kazi kubwa ambayo Mheshimiwa Rais anafanya.

Mambo yafuatayo Mama ajitahidi kufanya.

1. Arudishe siasa za hamasa.
Ni ukweli kwamba nchi imetulia, siasa za hamasa zimepungua na inampa kazi kubwa Mama anapofanya ziara. Mwitikio Wa watu unakuwa Wa kulazimisha au kutumia nguvu kubwa ya ushawishi. Kupitia hili afanye mambo yafuatayo
I. Ateue wakuu Wa MIKOA na Wilaya wenye ushawishi, wanasiasa wanaojua siasa vema na vijana wenye mbinu nyingi. Kupitia hili Dar es Salaam amepatia kumpeleka Chalamila. Kwa Maoni Yangu, Mwanza ampeleke Paul Makonda (wapinzani watalalama lakini sio jukumu la wapinzani kumpangia Rais Nani Wa kuteua, pia wale mahasimu Wa Makonda Ndani ya CCM sio jukumu la Mama kurithi maadui Wa mtu, wapigane vita vyao bila kumuingiza yeye).

Ii. Sio dhambi kuwarudisha vijana waliokuwa wakitumika katika utawala uliopita. Mfano, hakuna haja ya kumficha Pole pole Cuba, arudi apewe nafasi ya Sophia Mjema. Ukweli nikwamba Dada yetu Sophia Mjema siasa za ushindani bado hajazimudu bema, Mama anashambuliwa yuko kimya, vyombo vya Habari vinaona Hana mvuto, anapotoa taarifa zake pia zinakosa kishindo, uwezo Wa kupambanua mambo ili kumlinda Mheshimiwa Rais naona pia hautoshelezi, ule mchakamchaka Wa Pole pole au Nape Nnauye haonekani, Mwishowe Mama anashambuliwa na kukosa mtetezi.
Iii. Msemaji Wa Ikulu Dada yetu Zuhura Yunus anakuwa mkimya Sana, Ikulu inamambo mengi yanayohusu nchi lakini Dada yetu kama katulia Sana, Ikiwezekana Gerson Msigwa arejee pale halafu Zuhura akawe msemaji Wa Serekali kwa ujumla au apelekwe TBC akawe Mkurugenzi Wa Shirika.

IV. Nimefuatilia ziara ya mheshimiwa Kanda ya Ziwa, sikufurahishwa na Ziara hiyo. Amuondoe mheshimiwa Amos Makala a mpeleke maeneo mengine, Mkoa Wa Geita pia aende mwanasiasa kijana atakayefanya siasa za hamasa na usimamizi Wa shughuli za Maendeleo kwa weledi.

V. Awaite wabunge Wa majimbo ya Kanda ya Ziwa awasisitize kufanya mikutano ya hadhara wakiongozwa na Dr. Angeline Mabula, Mabula mbunge Wa Nyamagana, mbunge Wa Sumve, Magu nk. Wamejisahau, hawapendi kufanya mikutano ya hadhara na kuwaeleza wananchi mambo ambayo Mama Amefanya na anaendelea kufanya.

VI. Mwisho, Mama tatua changamoto ya uhaba Wa maji katika jiji la Mwanza. Hili bado ni tatizo kubwa ukizingatia Ziwa liko hapo hapo. MWAUWASA ipewe pesa za kutosha itekeleze miradi ya maji ili kila mtaa upate maji ya uhakika.
Endelea mama kuchapakazi


IV. Celebrities watu Mike pia kuitangaza kazi za Mama, Mawaziri waingie field wakague miradi na wakemee uzembe na ubadhirifu, wale vijana walioko sea siku za nyuma wakaondoshwa kwenye nafasi warejeshwe Kisha warekebishwe. Mfano, Mrudishe Ally Hapi, Paul Makonda wachangamshe nchi.
Naunga mkono hoja mama amefanya na anafanya vitu vikubwa sana ila havitangazwi, kubali kataa huo ndio ukweli

Sent from my I4113 using JamiiForums mobile app
 
Pesa ambayo Mama Samia meipeleka kwa wananchi tangu aingie madarakani ni pesa nyingi Sana. Amejenga madarasa, vituo vya afya, ameanzisha utaratibu Wa kupeleka mil 500 kila jimbo kwa ajili ya Maendeleo ya barabara, ameinua uchumi wetu, amerejesha siasa za ushindani na demokrasia, maslahi ya wafanyakazi, elimu Bure, ajira mpya na kurejesha nchi kwenye utawala Wa sheria wenye kuzingatia haki za binadamu na utawala bora.

Anapambana kukamilisha miradi ya Maendeleo iliyoachwa na Hayati Magufuli ikiwemo Bwawa la Mwalimu Nyerere, SGR, Daraja la Busisi nk.

Watu Wa Ikulu wanao husika na branding hawajafanyakazi kubwa ya kuhakikisha kwamba wananchi wanaelewa kazi kubwa ambayo Mheshimiwa Rais anafanya.

Mambo yafuatayo Mama ajitahidi kufanya.

1. Arudishe siasa za hamasa.
Ni ukweli kwamba nchi imetulia, siasa za hamasa zimepungua na inampa kazi kubwa Mama anapofanya ziara. Mwitikio Wa watu unakuwa Wa kulazimisha au kutumia nguvu kubwa ya ushawishi. Kupitia hili afanye mambo yafuatayo
I. Ateue wakuu Wa MIKOA na Wilaya wenye ushawishi, wanasiasa wanaojua siasa vema na vijana wenye mbinu nyingi. Kupitia hili Dar es Salaam amepatia kumpeleka Chalamila. Kwa Maoni Yangu, Mwanza ampeleke Paul Makonda (wapinzani watalalama lakini sio jukumu la wapinzani kumpangia Rais Nani Wa kuteua, pia wale mahasimu Wa Makonda Ndani ya CCM sio jukumu la Mama kurithi maadui Wa mtu, wapigane vita vyao bila kumuingiza yeye).

Ii. Sio dhambi kuwarudisha vijana waliokuwa wakitumika katika utawala uliopita. Mfano, hakuna haja ya kumficha Pole pole Cuba, arudi apewe nafasi ya Sophia Mjema. Ukweli nikwamba Dada yetu Sophia Mjema siasa za ushindani bado hajazimudu bema, Mama anashambuliwa yuko kimya, vyombo vya Habari vinaona Hana mvuto, anapotoa taarifa zake pia zinakosa kishindo, uwezo Wa kupambanua mambo ili kumlinda Mheshimiwa Rais naona pia hautoshelezi, ule mchakamchaka Wa Pole pole au Nape Nnauye haonekani, Mwishowe Mama anashambuliwa na kukosa mtetezi.
Iii. Msemaji Wa Ikulu Dada yetu Zuhura Yunus anakuwa mkimya Sana, Ikulu inamambo mengi yanayohusu nchi lakini Dada yetu kama katulia Sana, Ikiwezekana Gerson Msigwa arejee pale halafu Zuhura akawe msemaji Wa Serekali kwa ujumla au apelekwe TBC akawe Mkurugenzi Wa Shirika.

IV. Nimefuatilia ziara ya mheshimiwa Kanda ya Ziwa, sikufurahishwa na Ziara hiyo. Amuondoe mheshimiwa Amos Makala a mpeleke maeneo mengine, Mkoa Wa Geita pia aende mwanasiasa kijana atakayefanya siasa za hamasa na usimamizi Wa shughuli za Maendeleo kwa weledi.

V. Awaite wabunge Wa majimbo ya Kanda ya Ziwa awasisitize kufanya mikutano ya hadhara wakiongozwa na Dr. Angeline Mabula, Mabula mbunge Wa Nyamagana, mbunge Wa Sumve, Magu nk. Wamejisahau, hawapendi kufanya mikutano ya hadhara na kuwaeleza wananchi mambo ambayo Mama Amefanya na anaendelea kufanya.

VI. Mwisho, Mama tatua changamoto ya uhaba Wa maji katika jiji la Mwanza. Hili bado ni tatizo kubwa ukizingatia Ziwa liko hapo hapo. MWAUWASA ipewe pesa za kutosha itekeleze miradi ya maji ili kila mtaa upate maji ya uhakika.
Endelea mama kuchapakazi


IV. Celebrities watu Mike pia kuitangaza kazi za Mama, Mawaziri waingie field wakague miradi na wakemee uzembe na ubadhirifu, wale vijana walioko sea siku za nyuma wakaondoshwa kwenye nafasi warejeshwe Kisha warekebishwe. Mfano, Mrudishe Ally Hapi, Paul Makonda wachangamshe nchi.
Bila kutangazwa hazitaonekana? NB; Rais ni muajiriwa wa wananchi na yote afanyayo ni wajibu wake kwa mujibu wa ajira yake!!!
 
Samia anafanya meengi anashindwa kimoja Tu muhimu zaidi..
"Fitina za siasa"..
Hiko ndo kinamuangusha
 
Pesa ambayo Mama Samia meipeleka kwa wananchi tangu aingie madarakani ni pesa nyingi Sana. Amejenga madarasa, vituo vya afya, ameanzisha utaratibu Wa kupeleka mil 500 kila jimbo kwa ajili ya Maendeleo ya barabara, ameinua uchumi wetu, amerejesha siasa za ushindani na demokrasia, maslahi ya wafanyakazi, elimu Bure, ajira mpya na kurejesha nchi kwenye utawala Wa sheria wenye kuzingatia haki za binadamu na utawala bora.

Anapambana kukamilisha miradi ya Maendeleo iliyoachwa na Hayati Magufuli ikiwemo Bwawa la Mwalimu Nyerere, SGR, Daraja la Busisi nk.

Watu Wa Ikulu wanao husika na branding hawajafanyakazi kubwa ya kuhakikisha kwamba wananchi wanaelewa kazi kubwa ambayo Mheshimiwa Rais anafanya.

Mambo yafuatayo Mama ajitahidi kufanya.

1. Arudishe siasa za hamasa.
Ni ukweli kwamba nchi imetulia, siasa za hamasa zimepungua na inampa kazi kubwa Mama anapofanya ziara. Mwitikio Wa watu unakuwa Wa kulazimisha au kutumia nguvu kubwa ya ushawishi. Kupitia hili afanye mambo yafuatayo
I. Ateue wakuu Wa MIKOA na Wilaya wenye ushawishi, wanasiasa wanaojua siasa vema na vijana wenye mbinu nyingi. Kupitia hili Dar es Salaam amepatia kumpeleka Chalamila. Kwa Maoni Yangu, Mwanza ampeleke Paul Makonda (wapinzani watalalama lakini sio jukumu la wapinzani kumpangia Rais Nani Wa kuteua, pia wale mahasimu Wa Makonda Ndani ya CCM sio jukumu la Mama kurithi maadui Wa mtu, wapigane vita vyao bila kumuingiza yeye).

Ii. Sio dhambi kuwarudisha vijana waliokuwa wakitumika katika utawala uliopita. Mfano, hakuna haja ya kumficha Pole pole Cuba, arudi apewe nafasi ya Sophia Mjema. Ukweli nikwamba Dada yetu Sophia Mjema siasa za ushindani bado hajazimudu bema, Mama anashambuliwa yuko kimya, vyombo vya Habari vinaona Hana mvuto, anapotoa taarifa zake pia zinakosa kishindo, uwezo Wa kupambanua mambo ili kumlinda Mheshimiwa Rais naona pia hautoshelezi, ule mchakamchaka Wa Pole pole au Nape Nnauye haonekani, Mwishowe Mama anashambuliwa na kukosa mtetezi.
Iii. Msemaji Wa Ikulu Dada yetu Zuhura Yunus anakuwa mkimya Sana, Ikulu inamambo mengi yanayohusu nchi lakini Dada yetu kama katulia Sana, Ikiwezekana Gerson Msigwa arejee pale halafu Zuhura akawe msemaji Wa Serekali kwa ujumla au apelekwe TBC akawe Mkurugenzi Wa Shirika.

IV. Nimefuatilia ziara ya mheshimiwa Kanda ya Ziwa, sikufurahishwa na Ziara hiyo. Amuondoe mheshimiwa Amos Makala a mpeleke maeneo mengine, Mkoa Wa Geita pia aende mwanasiasa kijana atakayefanya siasa za hamasa na usimamizi Wa shughuli za Maendeleo kwa weledi.

V. Awaite wabunge Wa majimbo ya Kanda ya Ziwa awasisitize kufanya mikutano ya hadhara wakiongozwa na Dr. Angeline Mabula, Mabula mbunge Wa Nyamagana, mbunge Wa Sumve, Magu nk. Wamejisahau, hawapendi kufanya mikutano ya hadhara na kuwaeleza wananchi mambo ambayo Mama Amefanya na anaendelea kufanya.

VI. Mwisho, Mama tatua changamoto ya uhaba Wa maji katika jiji la Mwanza. Hili bado ni tatizo kubwa ukizingatia Ziwa liko hapo hapo. MWAUWASA ipewe pesa za kutosha itekeleze miradi ya maji ili kila mtaa upate maji ya uhakika.
Endelea mama kuchapakazi


IV. Celebrities watu Mike pia kuitangaza kazi za Mama, Mawaziri waingie field wakague miradi na wakemee uzembe na ubadhirifu, wale vijana walioko sea siku za nyuma wakaondoshwa kwenye nafasi warejeshwe Kisha warekebishwe. Mfano, Mrudishe Ally Hapi, Paul Makonda wachangamshe nchi.

Iko hivi, ccm sio chama cha kizazi hiki, wanachofanya sasa ni siasa za kulazimisha. Mlikuwa mnaona Magufuli anafanya kitu cha maana sana kuua upinzani kwa njia zisizokubalika, bila kujua anachofanya ni kwenda against nature. Hata hapa unaopendekeza warudishwe sio kwamba watarudisha hamasa, bali watakuja kufanya siasa za shombo maana hawana ushawishi wa kisiasa. Wenye ushawishi wa kisiasa walikuwa ni wapinzani, na walichokuwa wanafanya ccm ni kuhakikisha hawapotezwi kwenye siasa na kuporwa dola, hiyo ndio iliyoleta hamasa ya kisiasa nchini.

Kwa sasa wananchi wameipuuza ccm, hasa kutokana na kilichofanyika kwenye uchaguzi wa 2020, na chini ya utawala wote wa Magufuli. Hivyo unapoona wabunge wa CCM haiwaitishi mikutano ya hadhara ni wazi wanajua hawana mvuto wa kuita watu maana hawakuwachagua, na hawana hela za kuwahonga wananchi ili wajitokeze kwenye mikutano yao. madhara ya utawala wa Magufuli kwenye siasa za nchi yetu yapo wazi, ni kweli alifanikiwa kuuhujumu upinzani, lakini amepoteza rasmi mvuto wa chama chake, na kuua ladha ya siasa za ushindani hapa nchini. Sasa hivi ccm itakuwa inalazimisha kujiingiza kwenye shughuli za kijamii ambazo hazihusiani na siasa kama soka, matamasha mbalimbali nk, lengo ni kulazimisha mvuto ambao tayari ccm imeshaupoteza kutokana na uzee wake.
 
Mwalimu Nyerere alifanya mengi kuliko Marais wote wa Tanzania, lakini hakupigiwa promo, kwa sababu alikuwa anatekeleza wajibu wake.

Iweje sasa mtu anayefanya kazi zake alizoomba kuzifanya mnataka apigiwe promo?
Ukiona promo inalazimishwa ujue huo utawala uko madarakani bila ridhaa ya umma, hivyo njia pekee ni kulazimisha mvuto ili ionekane wako madarakani kwa ridhaa ya wananchi.
 
Pesa ambayo Mama Samia meipeleka kwa wananchi tangu aingie madarakani ni pesa nyingi Sana. Amejenga madarasa, vituo vya afya, ameanzisha utaratibu Wa kupeleka mil 500 kila jimbo kwa ajili ya Maendeleo ya barabara, ameinua uchumi wetu, amerejesha siasa za ushindani na demokrasia, maslahi ya wafanyakazi, elimu Bure, ajira mpya na kurejesha nchi kwenye utawala Wa sheria wenye kuzingatia haki za binadamu na utawala bora.

Anapambana kukamilisha miradi ya Maendeleo iliyoachwa na Hayati Magufuli ikiwemo Bwawa la Mwalimu Nyerere, SGR, Daraja la Busisi nk.

Watu Wa Ikulu wanao husika na branding hawajafanyakazi kubwa ya kuhakikisha kwamba wananchi wanaelewa kazi kubwa ambayo Mheshimiwa Rais anafanya.

Mambo yafuatayo Mama ajitahidi kufanya.

1. Arudishe siasa za hamasa.
Ni ukweli kwamba nchi imetulia, siasa za hamasa zimepungua na inampa kazi kubwa Mama anapofanya ziara. Mwitikio Wa watu unakuwa Wa kulazimisha au kutumia nguvu kubwa ya ushawishi. Kupitia hili afanye mambo yafuatayo
I. Ateue wakuu Wa MIKOA na Wilaya wenye ushawishi, wanasiasa wanaojua siasa vema na vijana wenye mbinu nyingi. Kupitia hili Dar es Salaam amepatia kumpeleka Chalamila. Kwa Maoni Yangu, Mwanza ampeleke Paul Makonda (wapinzani watalalama lakini sio jukumu la wapinzani kumpangia Rais Nani Wa kuteua, pia wale mahasimu Wa Makonda Ndani ya CCM sio jukumu la Mama kurithi maadui Wa mtu, wapigane vita vyao bila kumuingiza yeye).

Ii. Sio dhambi kuwarudisha vijana waliokuwa wakitumika katika utawala uliopita. Mfano, hakuna haja ya kumficha Pole pole Cuba, arudi apewe nafasi ya Sophia Mjema. Ukweli nikwamba Dada yetu Sophia Mjema siasa za ushindani bado hajazimudu bema, Mama anashambuliwa yuko kimya, vyombo vya Habari vinaona Hana mvuto, anapotoa taarifa zake pia zinakosa kishindo, uwezo Wa kupambanua mambo ili kumlinda Mheshimiwa Rais naona pia hautoshelezi, ule mchakamchaka Wa Pole pole au Nape Nnauye haonekani, Mwishowe Mama anashambuliwa na kukosa mtetezi.
Iii. Msemaji Wa Ikulu Dada yetu Zuhura Yunus anakuwa mkimya Sana, Ikulu inamambo mengi yanayohusu nchi lakini Dada yetu kama katulia Sana, Ikiwezekana Gerson Msigwa arejee pale halafu Zuhura akawe msemaji Wa Serekali kwa ujumla au apelekwe TBC akawe Mkurugenzi Wa Shirika.

IV. Nimefuatilia ziara ya mheshimiwa Kanda ya Ziwa, sikufurahishwa na Ziara hiyo. Amuondoe mheshimiwa Amos Makala a mpeleke maeneo mengine, Mkoa Wa Geita pia aende mwanasiasa kijana atakayefanya siasa za hamasa na usimamizi Wa shughuli za Maendeleo kwa weledi.

V. Awaite wabunge Wa majimbo ya Kanda ya Ziwa awasisitize kufanya mikutano ya hadhara wakiongozwa na Dr. Angeline Mabula, Mabula mbunge Wa Nyamagana, mbunge Wa Sumve, Magu nk. Wamejisahau, hawapendi kufanya mikutano ya hadhara na kuwaeleza wananchi mambo ambayo Mama Amefanya na anaendelea kufanya.

VI. Mwisho, Mama tatua changamoto ya uhaba Wa maji katika jiji la Mwanza. Hili bado ni tatizo kubwa ukizingatia Ziwa liko hapo hapo. MWAUWASA ipewe pesa za kutosha itekeleze miradi ya maji ili kila mtaa upate maji ya uhakika.
Endelea mama kuchapakazi


IV. Celebrities watu Mike pia kuitangaza kazi za Mama, Mawaziri waingie field wakague miradi na wakemee uzembe na ubadhirifu, wale vijana walioko sea siku za nyuma wakaondoshwa kwenye nafasi warejeshwe Kisha warekebishwe. Mfano, Mrudishe Ally Hapi, Paul Makonda wachangamshe nchi.
Umetumwa wewe. Huyu mama ukitaka kujua hapendwi na watanzania wengi angalia hotuba na ziara zake wanaofuatilia hakuna. Tofauti na mtangulizi wake. Kiuhalisia anaonekana ababwabwaja tu
 
Pesa ambayo Mama Samia meipeleka kwa wananchi tangu aingie madarakani ni pesa nyingi Sana. Amejenga madarasa, vituo vya afya, ameanzisha utaratibu Wa kupeleka mil 500 kila jimbo kwa ajili ya Maendeleo ya barabara, ameinua uchumi wetu, amerejesha siasa za ushindani na demokrasia, maslahi ya wafanyakazi, elimu Bure, ajira mpya na kurejesha nchi kwenye utawala Wa sheria wenye kuzingatia haki za binadamu na utawala bora.

Anapambana kukamilisha miradi ya Maendeleo iliyoachwa na Hayati Magufuli ikiwemo Bwawa la Mwalimu Nyerere, SGR, Daraja la Busisi nk.

Watu Wa Ikulu wanao husika na branding hawajafanyakazi kubwa ya kuhakikisha kwamba wananchi wanaelewa kazi kubwa ambayo Mheshimiwa Rais anafanya.

Mambo yafuatayo Mama ajitahidi kufanya.

1. Arudishe siasa za hamasa.
Ni ukweli kwamba nchi imetulia, siasa za hamasa zimepungua na inampa kazi kubwa Mama anapofanya ziara. Mwitikio Wa watu unakuwa Wa kulazimisha au kutumia nguvu kubwa ya ushawishi. Kupitia hili afanye mambo yafuatayo
I. Ateue wakuu Wa MIKOA na Wilaya wenye ushawishi, wanasiasa wanaojua siasa vema na vijana wenye mbinu nyingi. Kupitia hili Dar es Salaam amepatia kumpeleka Chalamila. Kwa Maoni Yangu, Mwanza ampeleke Paul Makonda (wapinzani watalalama lakini sio jukumu la wapinzani kumpangia Rais Nani Wa kuteua, pia wale mahasimu Wa Makonda Ndani ya CCM sio jukumu la Mama kurithi maadui Wa mtu, wapigane vita vyao bila kumuingiza yeye).

Ii. Sio dhambi kuwarudisha vijana waliokuwa wakitumika katika utawala uliopita. Mfano, hakuna haja ya kumficha Pole pole Cuba, arudi apewe nafasi ya Sophia Mjema. Ukweli nikwamba Dada yetu Sophia Mjema siasa za ushindani bado hajazimudu bema, Mama anashambuliwa yuko kimya, vyombo vya Habari vinaona Hana mvuto, anapotoa taarifa zake pia zinakosa kishindo, uwezo Wa kupambanua mambo ili kumlinda Mheshimiwa Rais naona pia hautoshelezi, ule mchakamchaka Wa Pole pole au Nape Nnauye haonekani, Mwishowe Mama anashambuliwa na kukosa mtetezi.
Iii. Msemaji Wa Ikulu Dada yetu Zuhura Yunus anakuwa mkimya Sana, Ikulu inamambo mengi yanayohusu nchi lakini Dada yetu kama katulia Sana, Ikiwezekana Gerson Msigwa arejee pale halafu Zuhura akawe msemaji Wa Serekali kwa ujumla au apelekwe TBC akawe Mkurugenzi Wa Shirika.

IV. Nimefuatilia ziara ya mheshimiwa Kanda ya Ziwa, sikufurahishwa na Ziara hiyo. Amuondoe mheshimiwa Amos Makala a mpeleke maeneo mengine, Mkoa Wa Geita pia aende mwanasiasa kijana atakayefanya siasa za hamasa na usimamizi Wa shughuli za Maendeleo kwa weledi.

V. Awaite wabunge Wa majimbo ya Kanda ya Ziwa awasisitize kufanya mikutano ya hadhara wakiongozwa na Dr. Angeline Mabula, Mabula mbunge Wa Nyamagana, mbunge Wa Sumve, Magu nk. Wamejisahau, hawapendi kufanya mikutano ya hadhara na kuwaeleza wananchi mambo ambayo Mama Amefanya na anaendelea kufanya.

VI. Mwisho, Mama tatua changamoto ya uhaba Wa maji katika jiji la Mwanza. Hili bado ni tatizo kubwa ukizingatia Ziwa liko hapo hapo. MWAUWASA ipewe pesa za kutosha itekeleze miradi ya maji ili kila mtaa upate maji ya uhakika.
Endelea mama kuchapakazi


IV. Celebrities watu Mike pia kuitangaza kazi za Mama, Mawaziri waingie field wakague miradi na wakemee uzembe na ubadhirifu, wale vijana walioko sea siku za nyuma wakaondoshwa kwenye nafasi warejeshwe Kisha warekebishwe. Mfano, Mrudishe Ally Hapi, Paul Makonda wachangamshe nchi.

..Samia hafanyi kwa kutumia fedha binafsi.

..Yote anayoyafanya yanawezeshwa na:

1. Kodi.

2. Ushuru + Tozo.

3. Mikopo.

4. Misaada.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom