Mwanmke anaekimbilia kuvunja ndoa kisa mali furaha yake hudumu kwa muda mfupi kwenye nyumba isiyo na mume wa kumheshimisha kwenye jamii

sky soldier

JF-Expert Member
Mar 30, 2020
5,408
19,034
Nimetoka kwenye mitandao ya wanawake huko njkiwa natumia fake id kuna hawa wanawake ambao wanaingia kwa lengo la mali tu, unamuoa mnakaa miaka mitano huyooo, ndukii !! wapo wanaojutia maamuzi waliyofanya baada ya muda kwenda

Mbaya zaidi umri umeenda hata soko la kuolewa linakuwa limeshuka, nyumba na mali za mgao wa kuachana mwanamke ana enjoy ila siku akija kusikia aliekuwa mme wake kasha move on na kaoa mwengine huku yeye kabaki na lijumba itamuuma sana akifiria kwamba nafasi yake ya kuwa mwanamke alieolewa iliyomheshimisha kwenye jamii na hata kwa ndugu au wazazi wake imeenda kwa mwanamke mwengine,

Hapa wengi huwa wanaingia panic mode, wengine akili huwaruka wanaanza kukuomba msamaha kabisa mrudiane, wengine huingia kwenye lindi la mawazo linalipelekea kuanza hata ulevi uliopindukia, wengine wanajaribu kukupa wivu kwa kutoka na wanaume wengine ila wanaume hawa mara nyingi wanaishia kuwachakaza tu, wengine huanza kuhonga vijana wadogo viben 10, n.k.

Hapo mwanaume ameshaoa umeweka chombo ndani huku aliekimbilia mali anazeeka single na kwenye jamii hana tena title ya kuolewa, waweza chukulia poa lakini maumivu atayopata huyo ex wife sio kitoto, Tena kama upo dhaifu kiroho hakikisha unajisakafia
 
Ndoa huwa haimuachi mtu salama hasa aliyeamua kumuacha mwenzie kwa makusudi au matakwa yake binafsi,
Na bora mwanaume huwa na nafuu anaweza kuoa kuliko mwanamke kumuacha mwanaume, anaweza jikuta njia aliyopanda miba wakati wa kuondoka anairudia kwa taabu sana kwa kuomba msamaha
 
Huwa najiuliza hivi wanaume ukitoa hizo pesa na mali huwa mnataka mpendewe nini kingine, maana kama ni mionekano wengi mna mionekano ya kawaida ambayo haiwashitui wanawake na kama ni tabia ndio kabisa wenyewe tabia zenu mnazijua, utasikia "oo nataka unipende kama nilivyo" mbona hata ninyi huwa hamuwapendi wanawake kama walivyo ni either mtapenda mionekano au tabia nk

Huwa mnasema pesa na mali vinaisha kwani uzuri na mvuto ndio haviishi, tena binafsi naona bora hata yule ambaye anampendea mtu pesa maana zinatafutwa kuliko yule anayempendea mtu uzuri maana uzuri hautafutwi na binadamu hajiumbi, si kila mtu anapenda hayo ma surgery na ma make up maana mengi yana madhara tu

Na kingine ninyi wenyewe mkishawaweka ndani hao wanawake huwa mnachepuka kama mnavyosema wenyewe, mwanaume hatosheki na mwanamke mmoja hivyo tunaassume hakuna mwanaume asiyechepuka na ukiacha kuchepuka pia wengi ni walevi au wanywaji, hivyo mkitoka kwenye shughuli za utafutaji huwa mnaamua kukaa baa na washikaji hadi kupelekea kuchelewa kurudi nyumbani

Mara nyingi mnajikuta mnakosa muda wa kukaa na familia zenu either wake tu au wake na watoto, na wake zenu wakihoji huwa mna kauli zenu eti ninyi ndio mmetoa mahari hivyo mna haki ya kurudi muda wowote mnaotaka bila kuulizwa, mara sijui mnataka turudi mapema ili tukae tuanze kupiga umbea na kuangalia tamthilia mara oo kwani wewe humu ndani unakosa nini si unavaa, unakula, unalala na mahitaji yako mengine unapata sasa unataka nini

Mwisho wa siku mke anaona kwahiyo kumbe hivyo unavyompa (ambavyo ni pesa na mali) unaona ndio vya muhimu zaidi kwake kuliko uwepo wako, ndipo hapo naye anapoanza kujenga interest na mali zako zaidi kuliko wewe, na akiona unaendelea na tabia zako za kuchepuka na kuchelewa kurudi nyumbani hana budi kuvunja hiyo ndoa ili mgawane hizo mali maana wewe humpi muda wako
 
Huwa najiuliza hivi wanaume ukitoa hizo pesa na mali huwa mnataka mpendewe nini kingine, maana kama ni mionekano wengi mna mionekano ya kawaida ambayo haiwashitui wanawake na kama ni tabia ndio kabisa wenyewe tabia zenu mnazijua, utasikia "oo nataka unipende kama nilivyo" mbona hata ninyi huwa hamuwapendi wanawake kama walivyo ni either mtapenda mionekano au tabia nk

Huwa mnasema pesa na mali vinaisha kwani uzuri na mvuto ndio haviishi, tena binafsi naona bora hata yule ambaye anampendea mtu pesa maana zinatafutwa kuliko yule anayempendea mtu uzuri maana uzuri hautafutwi na binadamu hajiumbi, si kila mtu anapenda hayo ma surgery na ma make up maana mengi yana madhara tu

Na kingine ninyi wenyewe mkishawaweka ndani hao wanawake huwa mnachepuka kama mnavyosema wenyewe, mwanaume hatosheki na mwanamke mmoja hivyo tunaassume hakuna mwanaume asiyechepuka na ukiacha kuchepuka pia wengi ni walevi au wanywaji, hivyo mkitoka kwenye shughuli za utafutaji huwa mnaamua kukaa baa na washikaji hadi kupelekea kuchelewa kurudi nyumbani

Mara nyingi mnajikuta mnakosa muda wa kukaa na familia zenu either wake tu au wake na watoto, na wake zenu wakihoji huwa mna kauli zenu eti ninyi ndio mmetoa mahari hivyo mna haki ya kurudi muda wowote mnaotaka bila kuulizwa, mara sijui mnataka turudi mapema ili tukae tuanze kupiga umbea na kuangalia tamthilia mara oo kwani wewe humu ndani unakosa nini si unavaa, unakula, unalala na mahitaji yako mengine unapata sasa unataka nini

Mwisho wa siku mke anaona kwahiyo kumbe hivyo unavyompa (ambavyo ni pesa na mali) unaona ndio vya muhimu zaidi kwake kuliko uwepo wako, ndipo hapo naye anapoanza kujenga interest na mali zako zaidi kuliko wewe, na akiona unaendelea na tabia zako za kuchepuka na kuchelewa kurudi nyumbani hana budi kuvunja hiyo ndoa ili mgawane hizo mali maana wewe humpi muda wako
Mwambie shem wetu ajirekebishe mkuu.
 
Huwa najiuliza hivi wanaume ukitoa hizo pesa na mali huwa mnataka mpendewe nini kingine, maana kama ni mionekano wengi mna mionekano ya kawaida ambayo haiwashitui wanawake na kama ni tabia ndio kabisa wenyewe tabia zenu mnazijua, utasikia "oo nataka unipende kama nilivyo" mbona hata ninyi huwa hamuwapendi wanawake kama walivyo ni either mtapenda mionekano au tabia nk

Huwa mnasema pesa na mali vinaisha kwani uzuri na mvuto ndio haviishi, tena binafsi naona bora hata yule ambaye anampendea mtu pesa maana zinatafutwa kuliko yule anayempendea mtu uzuri maana uzuri hautafutwi na binadamu hajiumbi, si kila mtu anapenda hayo ma surgery na ma make up maana mengi yana madhara tu

Na kingine ninyi wenyewe mkishawaweka ndani hao wanawake huwa mnachepuka kama mnavyosema wenyewe, mwanaume hatosheki na mwanamke mmoja hivyo tunaassume hakuna mwanaume asiyechepuka na ukiacha kuchepuka pia wengi ni walevi au wanywaji, hivyo mkitoka kwenye shughuli za utafutaji huwa mnaamua kukaa baa na washikaji hadi kupelekea kuchelewa kurudi nyumbani

Mara nyingi mnajikuta mnakosa muda wa kukaa na familia zenu either wake tu au wake na watoto, na wake zenu wakihoji huwa mna kauli zenu eti ninyi ndio mmetoa mahari hivyo mna haki ya kurudi muda wowote mnaotaka bila kuulizwa, mara sijui mnataka turudi mapema ili tukae tuanze kupiga umbea na kuangalia tamthilia mara oo kwani wewe humu ndani unakosa nini si unavaa, unakula, unalala na mahitaji yako mengine unapata sasa unataka nini

Mwisho wa siku mke anaona kwahiyo kumbe hivyo unavyompa (ambavyo ni pesa na mali) unaona ndio vya muhimu zaidi kwake kuliko uwepo wako, ndipo hapo naye anapoanza kujenga interest na mali zako zaidi kuliko wewe, na akiona unaendelea na tabia zako za kuchepuka na kuchelewa kurudi nyumbani hana budi kuvunja hiyo ndoa ili mgawane hizo mali maana wewe humpi muda wako
Umemwagika sana Mama
 
Mwambie shem wetu ajirekebishe mkuu.
Kama kawaida yenu wazee wa ad hominem attacks, nikikuuliza una uhakika gani kama hayo yananihusu mimi sidhani kama utanipa jibu la maana, hizo nilizoongelea ni tabia za wanaume wengi sana kwa ninayoyaona haihitaji eti niwe mmoja wa wanaoyapitia hayo ndio niseme
 
Kama kawaida yenu wazee wa ad hominem attacks, nikikuuliza una uhakika gani kama hayo yananihusu mimi sidhani kama utanipa jibu la maana, hizo nilizoongelea ni tabia za wanaume wengi sana kwa ninayoyaona haihitaji eti niwe mmoja wa wanaoyapitia hayo ndio niseme
Ni kwel kabsa mkuu ila nmekomenti kukuonyesha sio kila mtu mwenye hizo tabia na pia wapo wanawake wanao zipenda pia.
 
Huwa najiuliza hivi wanaume ukitoa hizo pesa na mali huwa mnataka mpendewe nini kingine, maana kama ni mionekano wengi mna mionekano ya kawaida ambayo haiwashitui wanawake na kama ni tabia ndio kabisa wenyewe tabia zenu mnazijua, utasikia "oo nataka unipende kama nilivyo" mbona hata ninyi huwa hamuwapendi wanawake kama walivyo ni either mtapenda mionekano au tabia nk

Huwa mnasema pesa na mali vinaisha kwani uzuri na mvuto ndio haviishi, tena binafsi naona bora hata yule ambaye anampendea mtu pesa maana zinatafutwa kuliko yule anayempendea mtu uzuri maana uzuri hautafutwi na binadamu hajiumbi, si kila mtu anapenda hayo ma surgery na ma make up maana mengi yana madhara tu

Na kingine ninyi wenyewe mkishawaweka ndani hao wanawake huwa mnachepuka kama mnavyosema wenyewe, mwanaume hatosheki na mwanamke mmoja hivyo tunaassume hakuna mwanaume asiyechepuka na ukiacha kuchepuka pia wengi ni walevi au wanywaji, hivyo mkitoka kwenye shughuli za utafutaji huwa mnaamua kukaa baa na washikaji hadi kupelekea kuchelewa kurudi nyumbani

Mara nyingi mnajikuta mnakosa muda wa kukaa na familia zenu either wake tu au wake na watoto, na wake zenu wakihoji huwa mna kauli zenu eti ninyi ndio mmetoa mahari hivyo mna haki ya kurudi muda wowote mnaotaka bila kuulizwa, mara sijui mnataka turudi mapema ili tukae tuanze kupiga umbea na kuangalia tamthilia mara oo kwani wewe humu ndani unakosa nini si unavaa, unakula, unalala na mahitaji yako mengine unapata sasa unataka nini

Mwisho wa siku mke anaona kwahiyo kumbe hivyo unavyompa (ambavyo ni pesa na mali) unaona ndio vya muhimu zaidi kwake kuliko uwepo wako, ndipo hapo naye anapoanza kujenga interest na mali zako zaidi kuliko wewe, na akiona unaendelea na tabia zako za kuchepuka na kuchelewa kurudi nyumbani hana budi kuvunja hiyo ndoa ili mgawane hizo mali maana wewe humpi muda wako
Jinsia yako tafadhali mkuu, nna maana yangu
 
Huwa najiuliza hivi wanaume ukitoa hizo pesa na mali huwa mnataka mpendewe nini kingine, maana kama ni mionekano wengi mna mionekano ya kawaida ambayo haiwashitui wanawake na kama ni tabia ndio kabisa wenyewe tabia zenu mnazijua, utasikia "oo nataka unipende kama nilivyo" mbona hata ninyi huwa hamuwapendi wanawake kama walivyo ni either mtapenda mionekano au tabia nk

Huwa mnasema pesa na mali vinaisha kwani uzuri na mvuto ndio haviishi, tena binafsi naona bora hata yule ambaye anampendea mtu pesa maana zinatafutwa kuliko yule anayempendea mtu uzuri maana uzuri hautafutwi na binadamu hajiumbi, si kila mtu anapenda hayo ma surgery na ma make up maana mengi yana madhara tu

Na kingine ninyi wenyewe mkishawaweka ndani hao wanawake huwa mnachepuka kama mnavyosema wenyewe, mwanaume hatosheki na mwanamke mmoja hivyo tunaassume hakuna mwanaume asiyechepuka na ukiacha kuchepuka pia wengi ni walevi au wanywaji, hivyo mkitoka kwenye shughuli za utafutaji huwa mnaamua kukaa baa na washikaji hadi kupelekea kuchelewa kurudi nyumbani

Mara nyingi mnajikuta mnakosa muda wa kukaa na familia zenu either wake tu au wake na watoto, na wake zenu wakihoji huwa mna kauli zenu eti ninyi ndio mmetoa mahari hivyo mna haki ya kurudi muda wowote mnaotaka bila kuulizwa, mara sijui mnataka turudi mapema ili tukae tuanze kupiga umbea na kuangalia tamthilia mara oo kwani wewe humu ndani unakosa nini si unavaa, unakula, unalala na mahitaji yako mengine unapata sasa unataka nini

Mwisho wa siku mke anaona kwahiyo kumbe hivyo unavyompa (ambavyo ni pesa na mali) unaona ndio vya muhimu zaidi kwake kuliko uwepo wako, ndipo hapo naye anapoanza kujenga interest na mali zako zaidi kuliko wewe, na akiona unaendelea na tabia zako za kuchepuka na kuchelewa kurudi nyumbani hana budi kuvunja hiyo ndoa ili mgawane hizo mali maana wewe humpi muda wako
Kua uyaone,
nna imani bado Ni mdg kiumri,
pia ujaoa au kuolewa, huyajui vzur maisha ya ndoa
 
Huwa najiuliza hivi wanaume ukitoa hizo pesa na mali huwa mnataka mpendewe nini kingine, maana kama ni mionekano wengi mna mionekano ya kawaida ambayo haiwashitui wanawake na kama ni tabia ndio kabisa wenyewe tabia zenu mnazijua, utasikia "oo nataka unipende kama nilivyo" mbona hata ninyi huwa hamuwapendi wanawake kama walivyo ni either mtapenda mionekano au tabia nk

Huwa mnasema pesa na mali vinaisha kwani uzuri na mvuto ndio haviishi, tena binafsi naona bora hata yule ambaye anampendea mtu pesa maana zinatafutwa kuliko yule anayempendea mtu uzuri maana uzuri hautafutwi na binadamu hajiumbi, si kila mtu anapenda hayo ma surgery na ma make up maana mengi yana madhara tu

Na kingine ninyi wenyewe mkishawaweka ndani hao wanawake huwa mnachepuka kama mnavyosema wenyewe, mwanaume hatosheki na mwanamke mmoja hivyo tunaassume hakuna mwanaume asiyechepuka na ukiacha kuchepuka pia wengi ni walevi au wanywaji, hivyo mkitoka kwenye shughuli za utafutaji huwa mnaamua kukaa baa na washikaji hadi kupelekea kuchelewa kurudi nyumbani

Mara nyingi mnajikuta mnakosa muda wa kukaa na familia zenu either wake tu au wake na watoto, na wake zenu wakihoji huwa mna kauli zenu eti ninyi ndio mmetoa mahari hivyo mna haki ya kurudi muda wowote mnaotaka bila kuulizwa, mara sijui mnataka turudi mapema ili tukae tuanze kupiga umbea na kuangalia tamthilia mara oo kwani wewe humu ndani unakosa nini si unavaa, unakula, unalala na mahitaji yako mengine unapata sasa unataka nini

Mwisho wa siku mke anaona kwahiyo kumbe hivyo unavyompa (ambavyo ni pesa na mali) unaona ndio vya muhimu zaidi kwake kuliko uwepo wako, ndipo hapo naye anapoanza kujenga interest na mali zako zaidi kuliko wewe, na akiona unaendelea na tabia zako za kuchepuka na kuchelewa kurudi nyumbani hana budi kuvunja hiyo ndoa ili mgawane hizo mali maana wewe humpi muda wako
Mwanaume atampa vipi muda wake mwanamke mjuwaji?

Mtu mwingine amani anapata asipokuwa Nyumbani, akiwa nyumbani kama yupo gerezani kwa visa na vituko vya mke.

Inashangaza sana na Nina ushahidi kuna mwanamke ana sura mbili, akiwa na rafiki zake au hata wanaume wengine au akiongea na simu ana tabasamu lote, ila akifika mume wake anambadirishia USO anamvalia USO wa kazi, hili nimelishuhudia ni tabia ya makusudi wanawake wengi wanawafanyia waume zao.

Mbaya zaidi wanaume wenzetu wanaongea wakitaka haki ya tendo la ndoa ni afadhali utongoze demu mtaani mtaelewana kuliko mke wako mwenyewe.

Amiin Amiin nakuambia, mwanaume unayempa Wewe attention yako wa nje hawezi kuwa life partner wako, kwako anatowa nyege tu, aliyeolewa ndiye aliyependwa.

Sasa mkitaka kunusuru mahusiano yenu msilete mashindano kwenye ndoa, na haitokaa itokee mwanamke atake usawa na mwanaume wanasiasa wanawadanganya tu.

Mimi kwa research yangu isiyo rasmi katika wanaume 10 wenye ukiwasikiliza ni mmoja tu ndio anafurahia ndoa yake au hawazidi Wawili.
 
Ni kwel kabsa mkuu ila nmekomenti kukuonyesha sio kila mtu mwenye hizo tabia na pia wapo wanawake wanao zipenda pia.
Mkuu hakuna mwanamke timamu na anayejiheshimu anayezipenda hizo tabia labda awe mpumbavu na malaya tu, ila ni jamii ndio inalazimisha wanawake wakubaliane nazo, sababu wameambiwa hizo ndio tabia za wanaume wote hivyo hakuna namna wanatakiwa wavumilie tu
 
Mwanaume atampa vipi muda wake mwanamke mjuwaji?

Mtu mwingine amani anapata asipokuwa Nyumbani, akiwa nyumbani kama yupo gerezani kwa visa na vituko vya mke.

Inashangaza sana na Nina ushahidi kuna mwanamke ana sura mbili, akiwa na rafiki zake au hata wanaume wengine au akiongea na simu ana tabasamu lote, ila akifika mume wake anambadirishia USO anamvalia USO wa kazi, hili nimelishuhudia ni tabia ya makusudi wanawake wengi wanawafanyia waume zao.

Mbaya zaidi wanaume wenzetu wanaongea wakitaka haki ya tendo la ndoa ni afadhali utongoze demu mtaani mtaelewana kuliko mke wako mwenyewe.

Amiin Amiin nakuambia, mwanaume unayempa Wewe attention yako wa nje hawezi kuwa life partner wako, kwako anatowa nyege tu, aliyeolewa ndiye aliyependwa.

Sasa mkitaka kunusuru mahusiano yenu msilete mashindano kwenye ndoa, na haitokaa itokee mwanamke atake usawa na mwanaume wanasiasa wanawadanganya tu.

Mimi kwa research yangu isiyo rasmi katika wanaume 10 wenye ukiwasikiliza ni mmoja tu ndio anafurahia ndoa yake au hawazidi Wawili.
Mkuu labda niulize kinachofanya hao wanawake wanakuwa na tabia hizo ni nini, na je kwenye ndoa zote zenye migogoro ina maana ni wanawake tu ndio chanzo na ndio wenye matatizo, kwamba wanaume hawana matatizo yoyote kwenye ndoa
 
Mkuu labda niulize kinachofanya hao wanawake wanakuwa na tabia hizo ni nini, na je kwenye ndoa zote zenye migogoro ina maana ni wanawake tu ndio chanzo na ndio wenye matatizo, kwamba wanaume hawana matatizo yoyote kwenye ndoa
Tatizo kuu ni wanawake kuishi kinyume na mpango wa Mungu.

Kibiblia Mwanamke ni msaidizi wa mwanaume, jaribio lolote la kuleta ujuwaji ndani ya nyumba na kutaka kuwa Wewe ndio mtawala wa nyumba na ndio sauti ya mwisho hili peke yake tayari unashindana na mpango wa Mungu.

Mwanamke mpumbavu huibomowa nyumba yake kwa mikono yake yeye mwenyewe.
 
Tatizo kuu ni wanawake kuishi kinyume na mpango wa Mungu.

Kibiblia Mwanamke ni msaidizi wa mwanaume, jaribio lolote la kuleta ujuwaji ndani ya nyumba na kutaka kuwa Wewe ndio mtawala wa nyumba na ndio sauti ya mwisho hili peke yake tayari unashindana na mpango wa Mungu.

Mwanamke mpumbavu huibomowa nyumba yake kwa mikono yake yeye mwenyewe.
Mwanamke ni msaidizi wa mume wake kwenye vitu kama nini mkuu
 
Asilimia 80 ya waliopeana talaka baada ya miaka kumi ujutia maamuzi Yao na kutamani siku zirudi nyuma waungane tena hasa kama walishazaa sema ndio hivyo tena.
Ule muunganiko wa kiroho ni muunganiko wa kiMungu
 
Back
Top Bottom